The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Bila kusahau NtungamoNaikumbuka comment yako, kuwa ni Itaga moja hiyo nami nikaongezea kuwa sio Itaga tu na Kipalapala pia tumepitia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau NtungamoNaikumbuka comment yako, kuwa ni Itaga moja hiyo nami nikaongezea kuwa sio Itaga tu na Kipalapala pia tumepitia
CCM ni kusanyiko la watu wajinga snHata hao CCM hawajui wanachofanya kwenye kunyamazisha watu juu ya jinamizi hili la mkataba Mbovu. Naona kama wana beti tu
Wameisha au walikuwa hawajui kitu kinaitwa RomaBila kusahau Ntungamo
The last time I checked, Dkt. Slaa alikua ni muumini wa Gwajima.Wameisha au walikuwa hawajui kitu kinaitwa Roma
Mbwembwe hawajaanza Leo kipya hakunaDr Slaa hatoki leo waende mahakamani kufile case
Usilolijua ni kama usiku wa giza😂😂Dkt. Slaa kamww si mhaini na wala hana vinasaba vya uhaini balu ana historia na vinasaba vya Uasi.
Alipoacha upadre, alienda kuoa, na kujiunga CCM
Baadaye akaicha CCM halafu akaja akaiacha ndoa.
Akajiunga na CHADEMA, akaungana na Josephine.
Akahama Katoliki akahamia kwa Gwajima na huko akawa Mtumishi wa kawaida na Gwajima akiwa Baba yake wa Kiroho
Akaiacha CHADEMA, akajiunga na serikali.
Akamuacha Josephine.
Aliporudi nchini akaiasi serikali
Wanamaliziwa Kulegezwa Kimedani.Vipi wale wengine wawili?
Du....uhaini una dhamana?Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .
Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.
Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.
Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi
Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
Hahahaaa na mkeka unachanika tuHata hao CCM hawajui wanachofanya kwenye kunyamazisha watu juu ya jinamizi hili la mkataba Mbovu. Naona kama wana beti tu
Kesi za kijinga tu hizi!Naona kesi ya uhaini imefutwa ndio maana anaweza kupewa dhamana.
Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hataniiMpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .
Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.
Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.
Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi
Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
Hao ni watu wa Gizani ndugu yangu usiangalie kwa jicho la nyama tu mkuuThe last time I checked, Dkt. Slaa alikua ni muumini wa Gwajima.
Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hatanii
Waliolikoroga watalinywa, lakini acheni uchawa, mnampotosha mama!Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hatanii
Kumbe wahaini hupata dhamana!!Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .
Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.
Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.
Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi
Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya