Ndio bwashee, lakini umeshawahiwa, bibi anampenda Dr.Una Uhakika Huyo ni bibi?[emoji3][emoji91]
Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Mama anatakiwa kauchana na hawa wahuni wanaomuingiza ktk mkenge!Wamepitisha mkataba wanaouita ni Maridhiano, Lakini cha Moto wanakiona.
Angalia hata ongeaji ya mheshimiwa Raisi Jana inaonekana kabisa Hana furaha na huu mkataba lakini Hana jinsi ya kufanya.
Haya 😀😀Ndio bwashee, lakini umeshawahiwa, bibi anampenda Dr.
bora cha Pombe kuliko Delilah muuajiHuyo cha pombe atupishe, ana maadili gani ya kuongea na viongozi wa dini?
Hana haya?
Usimsumbue, ngoma tayari ina mwenyewe!.Haya [emoji3][emoji3]
Delilah anaandamwa na damu ya SamsoniNani alewe na huyo cha pombe, muulize anaelewa nae.
Kaacha yale mambo ya kanisa katoliki?bora cha Pombe kuliko Delilah muuaji
Jitu lenye Miguvu!Delilah anaandamwa na damu ya Samsoni
Katoliki ndio wameunda BakwataKaacha yale mambo ya kanisa katoliki?
Nasikia yale ndiyo yalimtowa upadri. Kuvunga huku mitaani akajidai eti kaoa.
Hilo mbina linajulikana, siyo siri. Kwani Nyerere siyo mkatoliki? Uzuri ni kuwa bakwata haifiki visiwani kama vile DP World haifiki huko.Katoliki ndio wameunda Bakwata
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Naona bandari imeleta sekeseke mkanganyiko humu [emoji1]Una Uhakika Huyo ni bibi?[emoji3][emoji91]
Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Ndio naona, asijeenda kupandikiza chuki tu, ninachoona mm viongoz wa hiyo dini ya faiza fox hawatoweza kuhudhuria mjadala huo wakijua fika kwamba alieandaa huo mjadala ni muumin mkubwa wa kile kitab cha Alif lelaUlela. Hivyo najiuliza anaenda kuwahubiria nani, au kueneza chuki tu kwa wasomi mahiri wa kitabu hicho dhidi ya kiongoz wetu.Anayetawala ni dini moja na FaizaFoxy ndo maana unaona kafufuka Toka mafichoni
Eee ndio naona, ninachoamini mm viongozi wa hiyo dini ya faiza fox hawatAnayetawala ni dini moja na FaizaFoxy ndo maana unaona kafufuka Toka mafichoni
We kibibi huwa unaniudhi sana, ukijichanganya kwenye 18 zangu hama zangu hama zako ntakupiga pu.bu kavu kavu hadharaniHuyo cha pombe atupishe, ana maadili gani ya kuongea na viongozi wa dini?
Hana haya?
Labda Kisiwa cha Pemba Lakini Unguja yupo Baba askofu Massawe ndio unaona ni Kisiwa cha kupumzikia WaitalianoHilo mbina linajulikana, siyo siri. Kwani Nyerere siyo mkatoliki? Uzuri ni kuwa bakwata haifiki visiwani kama vile DP World haifiki huko.
WITO WA KUHUDHURIA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA: BANDARI ZETU! URITHI WETU!
Kwa viongozi wa dini zote na Madhehebu yote nchini Tanzania!
Sisi Watanzania tulioko ndani na nje tumeamua kulinda rasilimali za nchi tulizopewa na Mungu sisi na vizazi vyetu kama ilivyoanishwa kwenye Ibara ya 27 (1) na (2) ya Katiba yetu. Tunaomba waumini wote wafike kwa wingi na kuwaalika wengine kufika Mkutano Mkubwa wa Hadhara kupata elimu kuhusu Mkataba wa Bandari wa DP World siku ya Jumamosi 22 Julai 2023.
Viongozi wa dini, wanasiasa, mawakili, vyama vya kiraia na wanaharakati mbalimbali nchini watashiriki kwenye mkutano huo.
Taarifa itatolewa kuhusu mahali lakini muda ni kuanzia Saa 4 asubuhi mpaka saa 12 Jioni.
Imetolewa na
Dr. Wilbroad Peter Slaa, kwa niaba ya Sauti ya Watanzania (SYW).
Dar es Salaam, 14 Julai 2023
Duh huogopi ukimwi?We kibibi huwa unaniudhi sana, ukijichanganya kwenye 18 zangu hama zangu hama zako ntakupiga pu.bu kavu kavu hadharani
Hiki chama kipate usajili mapema.....Imetolewa na
Dr. Wilbroad Peter Slaa, kwa niaba ya Sauti ya Watanzania (SYW).
Dar es Salaam, 14 Julai 2023
asideme hatukumshauri juu ya wanaomzunguka na mitego ya kisiasa.....Angalia hata ongeaji ya mheshimiwa Raisi Jana inaonekana kabisa Hana furaha na huu mkataba lakini Hana jinsi ya kufanya.
Si usiku si mchana upo active unaupambania mkataba wa dhuluma wa dp world wewe ni nani ? Unanufaika vipi na utetezi wa mkataba huuHuyo cha pombe atupishe, ana maadili gani ya kuongea na viongozi wa dini?
Hana haya?