Dkt Slaa atoa wito kwa Viongozi wa dini zote na madhehebu yote na wananchi wote kwa ujumla kuhudhuria mkutano mkubwa wa kujadili hatma ya bandari zetu

Dkt Slaa atoa wito kwa Viongozi wa dini zote na madhehebu yote na wananchi wote kwa ujumla kuhudhuria mkutano mkubwa wa kujadili hatma ya bandari zetu

Hawa ndio wazalendo wa Nchi hii, hawa wengine wanataka tuunge mkono udalali wao wa raslimali za nchi!
Kibaya zaidi wameanza kukamata watu na kuwahoji kwanini wanakataa raslimali za Taifa kuuzwa!
 
Wamepitisha mkataba wanaouita ni Maridhiano, Lakini cha Moto wanakiona.

Angalia hata ongeaji ya mheshimiwa Raisi Jana inaonekana kabisa Hana furaha na huu mkataba lakini Hana jinsi ya kufanya.
Mama anatakiwa kauchana na hawa wahuni wanaomuingiza ktk mkenge!
Kibaya zaidi mhusika mkuu ni yuleyule aliyeliingiza Taifa ktk mikataba michafu mno!
 
Katoliki ndio wameunda Bakwata

Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Hilo mbina linajulikana, siyo siri. Kwani Nyerere siyo mkatoliki? Uzuri ni kuwa bakwata haifiki visiwani kama vile DP World haifiki huko.
 
Anayetawala ni dini moja na FaizaFoxy ndo maana unaona kafufuka Toka mafichoni
Ndio naona, asijeenda kupandikiza chuki tu, ninachoona mm viongoz wa hiyo dini ya faiza fox hawatoweza kuhudhuria mjadala huo wakijua fika kwamba alieandaa huo mjadala ni muumin mkubwa wa kile kitab cha Alif lelaUlela. Hivyo najiuliza anaenda kuwahubiria nani, au kueneza chuki tu kwa wasomi mahiri wa kitabu hicho dhidi ya kiongoz wetu.
Anayetawala ni dini moja na FaizaFoxy ndo maana unaona kafufuka Toka mafichoni
Eee ndio naona, ninachoamini mm viongozi wa hiyo dini ya faiza fox hawat
 
Hilo mbina linajulikana, siyo siri. Kwani Nyerere siyo mkatoliki? Uzuri ni kuwa bakwata haifiki visiwani kama vile DP World haifiki huko.
Labda Kisiwa cha Pemba Lakini Unguja yupo Baba askofu Massawe ndio unaona ni Kisiwa cha kupumzikia Waitaliano

Ilipo Katoliki na mwanae bakuata yupo😃

Kanisa Moja Takatifu la Mitume
 
WITO WA KUHUDHURIA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA: BANDARI ZETU! URITHI WETU!

Kwa viongozi wa dini zote na Madhehebu yote nchini Tanzania!

Sisi Watanzania tulioko ndani na nje tumeamua kulinda rasilimali za nchi tulizopewa na Mungu sisi na vizazi vyetu kama ilivyoanishwa kwenye Ibara ya 27 (1) na (2) ya Katiba yetu. Tunaomba waumini wote wafike kwa wingi na kuwaalika wengine kufika Mkutano Mkubwa wa Hadhara kupata elimu kuhusu Mkataba wa Bandari wa DP World siku ya Jumamosi 22 Julai 2023.

Viongozi wa dini, wanasiasa, mawakili, vyama vya kiraia na wanaharakati mbalimbali nchini watashiriki kwenye mkutano huo.
Taarifa itatolewa kuhusu mahali lakini muda ni kuanzia Saa 4 asubuhi mpaka saa 12 Jioni.

Imetolewa na
Dr. Wilbroad Peter Slaa, kwa niaba ya Sauti ya Watanzania (SYW).
Dar es Salaam, 14 Julai 2023

Dr Slaa Mzalendo kwanini tusimpe Urais?
 
....Angalia hata ongeaji ya mheshimiwa Raisi Jana inaonekana kabisa Hana furaha na huu mkataba lakini Hana jinsi ya kufanya.
asideme hatukumshauri juu ya wanaomzunguka na mitego ya kisiasa.

Sasa wanamuacha ahangaike peke yake.

Napebdabujasiri wake maana bado ataendelea kuwaamini walimuingiza chaka
 
Huyo cha pombe atupishe, ana maadili gani ya kuongea na viongozi wa dini?


Hana haya?
Si usiku si mchana upo active unaupambania mkataba wa dhuluma wa dp world wewe ni nani ? Unanufaika vipi na utetezi wa mkataba huu
 
Back
Top Bottom