Dkt. Slaa: Bunge la bajeti ni takwa la kikatiba haliwezi kuahirishwa, Chadema wanatafuta huruma ya kisiasa lakini wamechelewa

Ukishiba sana mpaka ukaanza kujamba Jamba hovyo hujijui kama unajivunjia heshima mpaka njaa itakapokukuta tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana hata mtoa mada hujamuelewa? Nini maana ya kuahirishwa? Au ndio kupinga kupinga kupinga tu.
 
Heshima sana mkuu P.
Kwa stage ya corona tuliyonayo sasa, na hasa kwa shughuli za bunge na tahadhari zote zilizochukuliwa, ni sahihi kuita "janga" kubwa hivyo ku warrant kusimamisha bunge?

Na Kama bunge ni sahihi kusimamisha, then by the same token tusimamishe shughuli za polisi, jeshi, mahakama, usafiri wote, masoko, na wengine wanasema hata hospitali sababu wa kwenye fani hii wana haki ya kujikinga na ugonjwa wenyewe hauna tiba, labda wachache wao wawaelekeze wananchi namna ya kujihudumia huko majumbani.
 
Dah!

Unataka kusema China na Tanzania katiba zao zinafanana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…