Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Ukishiba sana mpaka ukaanza kujamba Jamba hovyo hujijui kama unajivunjia heshima mpaka njaa itakapokukuta tenaBalozi wetu huko Sweden amesema bunge la bajeti ni takwa la kikatiba hivyo haliwezi kuahirishwa kwa sababu zozote.
Katiba inatamka wazi kuwa bunge la kbajeti litakaa kwa siku zisizozidi 45 ukiondoa week end na sikukuu hivyo hakuna namna unaweza kuahirisha na wabunge wanalijua hilo.
Pili Dr Slaa amesema haiwezekani kusimamisha miradi mikubwa kwa kisiñgizio cha Corona maana hata Sweden hawafanyi hivyo.
Balozi amewaponda wanaosema " maisha kwanza uchumi baadae " kwamba hawana hoja kwa madai uchumi ndio unabeba maisha.
Amewataka Chadema kutoitumia Corona kama sababu ya wao kushindwa kutimiza majukumu yao ya kikatiba.
Chanzo: Channel ten!
Sent using Jamii Forums mobile app