Swali zuri sana hili. China wameigeuza Tanzania kama Dumping place kwa bidhaa zao mbovu.Hivi Mchina nae ni mshirika wa kujivunia. Mikopo yake migumu sana kulipika, anapata tender za miradi mikubwa lakini wafanyakazi wote wachina hadi store keeper.
Lakini bado tunachokiona mtaani ni funded by EU, UKAID, USAID etc.
Au kwa sababu Mchina anatuletea vitu vibovu kwa bei nafuu. Au niulize tu swali Tanzania tunanufaika na nini kutoka China?
Sasa nchi yenu imepigwa pini, hakika mtamjua kwanini alijiita JiweMjinga na mshamba kamsambaratisha Shoga wa Ubeleji hana kahama nchi! Ahahahahahaha! Msalimie na Amsterdam. Mwambie huku tuna Jiwe!!!!!
HapanaMwambie jiwe maneno hayo maana ndio kasababisha
Pini ipi mkuu, hakuna Pini Wala sindanoSasa nchi yenu imepigwa pini, hakika mtamjua kwanini alijiita Jiwe
Sisi ndio tumeiba trilion moja na kujenga airport chato,sisi tunateka watu,sisi tumeiba kura,sisi tumefungia vyombo vya habari na kutesa wapinzani,Hapana
Aliyesababisha ni wewe na wenzako wachache ambao mmetaka sana kuizingua nchi ili ujambazi wenu uendelee
Wewe na nani mliiba hizo trilion?Sisi ndio tumeiba trilion moja na kujenga airport chato,sisi tunateka watu,sisi tumeiba kura,sisi tumefungia vyombo vya habari na kutesa wapinzani,
Huna la maana kuwa huko,rudi nyumbani. Waambie wenzio walichofanya sicho.Wanatufanya tuvune tusichopanda wote.Habari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dkt. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa Bunge la Ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya Demokrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja Demokrasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama Demokrasia inavyotaka.
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Bunge lipi lilipitisha,kuhusu trilioni muulize cag aliyefukuzwa kwa kusema ukweli usiniulize mimiWewe na nani mliiba hizo trilion?
Chato ambayo ipo Tanzania imejengwa kwa pesa iliyotoka Hazina kwa utaratibu wa procurement ya Serikali. Huo upuuzi mnaolishana mitandaoni hauna tofauti na uraibu wa mihadarati.
Basi sawa. Imepigwa pini. Umefurahi nyumbu?Sasa nchi yenu imepigwa pini, hakika mtamjua kwanini alijiita Jiwe
Samaki nyama korosho etcSi tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China? Au nako pia haitowezekana?
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya?
Na kutembeza bakuri la msaada ?Kujieleza kwa beberu? Halafu iwe nini? watuache.
Dona kantri inatishwa na kutofanya biashara na jumuiya ya ulaya ? Dona kantri si mko uchumi wa kati shida nini? Endeleeni tu . Dokta Slaa aache kulialia .Tulipewa nafasi ya kusikilizwa tukaitumia vibaya kwa kujinasibu na kujigamba kwamba sisi nchi kubwa tunaweza kujitegemea
sasa unashabakia nini mbwa wewe, tanzania kuwekewa vikwazo ndiyo unapongeza ?Safi sana
Hao China wenyewe wakisikia wazungu wanaweka vikwazo huwa wanakuwa wadogo,issue ya vikwazo siyo ya kipolepole tujitafakar tunakosea wapi kama Taifa,sasahv tunawekwa kundi moja na kina Somalia,Zimbabwe na Uganda why!!?Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China? Au nako pia haitowezekana?
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya?
Kenge mweusi wewe si mnasema nchi yenu tajiri pumbaffu wewesasa unashabakia nini mbwa wewe, tanzania kuwekewa vikwazo ndiyo unapongeza ?
Akili zetu watanzania zinahitaji mageuzi makubwa sana ya kifikra
Kweli kuna watu ni weupe kichwani ! Hiyo video hujaiona? Au unajua kuiba kura tu? Wasukuma wengine bwana.Bila video ni porojo