Watu wa ajabu sana, eti wanashabikia tuwekewe vikwazo,Zimbabwe mkate uliuzwa 100000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa ajabu sana, eti wanashabikia tuwekewe vikwazo,Zimbabwe mkate uliuzwa 100000
Uwezo wa Kufikiri kwa mtu mjinga ni matusi!!Samahan binti pia punguza povu
Hivi Mchina nae ni mshirika wa kujivunia. Mikopo yake migumu sana kulipika, anapata tender za miradi mikubwa lakini wafanyakazi wote wachina hadi store keeper.wewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
KitovuMie sio Muha na kwetu lina tafsiri nzuri tu
HATUHITAJI MISAADA YA MABEBERU.TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA JAMBO LOLOTE.TUTALINDA HESHIMA YETU.HATUHITAJI VIMSAADA VYAO.HII NCHI NI TAJIRI.SISI NI DONA KANTRI,TUNAFANYA MIRADI MIKUBWA KWA HELA ZA NDANI.
Hao watalii wanatoka mbinguni?Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China? Au nako pia haitowezekana?
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya?
Nenda post za mwanzo utaona swali langu. Hao wadau wamenielimisha na ndio naitikia okay okay au ulitaka nianze kubishana???Ulikuwa huna mchango we ni okay okay tu
Hivi Mchina nae ni mshirika wa kujivunia. Mikopo yake migumu sana kulipika, anapata tender za miradi mikubwa lakini wafanyakazi wote wachina hadi store keeper.
Lakini bado tunachokiona mtaani ni funded by EU, UKAID, USAID etc.
Au kwa sababu Mchina anatuletea vitu vibovu kwa bei nafuu. Au niulize tu swali Tanzania tunanufaika na nini kutoka China?
Watu wanashabikia vikwazo si kwa kupenda au kuona watanufaika navyo, la, watu wamekataa tamaa, watu wamechoka na uduni wa maisha ulioletwa utawala wa chama kisichotaka mawazo mbadala, na kutumia raslimali za nchi kuhakikisha kinaendelea kutawala. Maji hayajachemka. Boiling point ni pale mbinyo wa maisha mtu atakapo tamani mauti badala ya maisha. Jamii kubwa itakayo shinda bila mlo, bila tiba huku mfukoni hata jero hawana huku V8 za wakubwa zikiwatimulia vumbi, na tv ya taifa ikiinadi serikali ya wanyonge.Nimegundua hujui maana ya kuwekewa vikwazo, kwa kukusaidia, bei ya petrol/diesel itapanda na itapelekea vitu kama mfano:-sukari ikipanda hadi 10,000 tsh, cement 50,000, unga 5000/kg, watakao umia ni sisi wa chini au ni viongozi waliopo madarakani, napima IQ yako ili nijue unachoshabikia vikwazo unaelewa athari zake ama la. MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI SHABIKIA VIKWAZO
Tufanye biashara na Asia India ndiyo walio tupiga ban ya mbaaziSi tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China? Au nako pia haitowezekana?
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya?
Hawana uwezo wa kutushusha, upumbafu wa EU wanafanya judgement ya kidikteta kidiktetaAthari ni kubwa sana. Uchumi wa nchi utadorora sana. Tujitafakari juu ya kukwezwa kuwa nchi ya uchumi wa kati.
Huenda tukashushwa kurudi kwenye nchi maskini duniani. Yaliyotokea Zimbabwe sasa yananukia Tanzania.
Yes. Kumbe we wa kwetu.Kitovu
Si nyumba ni msitu . Nyoka si mmoja ni wengi yaani system nzima , inabidi msitu utiwe moto , tupate kulima kwa salamaSawa, ila nadhani si kila mtu atakubali uchome nyumba yake ili kumsaidia kuua nyoka.
Hawana uwezo wa kutushusha, upumbafu wa EU wanafanya judgement ya kidikteta kidikteta
Watu wa ajabu sana, eti wanashabikia tuwekewe vikwazo,
Hivyo vitu anavyouza mchina huko ulaya na Marekani huwa vinatengenezwa na wenyewe wazungu. Viwanda vyao wamevipeleka China ili wapate cheap labour na kukimbia kodi.Kuhusu city vibovu ni sisi wenyewe mchina ameshika solo la Ulaya Hadi Malekani
Nashukuru kwa kuliona hilo Sasa huoni athari yake hapo? Inamaana kiasi Cha bidhaa rulizokuwa tukisafirisha kwenda nje na kuangiza nchini litakuwa kimepungia. Kiuchumi Kuna athari kubwa tu katika maendeleo ya nchiNi kweli watakuwa wamepungua.