My Take
1.Utaamini chama ambacho kwanachaguana Kwa rushwa?
2.Utaamini chama ambacho kina viongozi wanaonunulika kama nyanya?
3.Utaamini chama ambacho hakina Sera?
4.Utaamini chama ambacho kinatumia vurugu kulazimisha mambo Yao?
5.Utaamini chama ambacho kinatukana Watanzania?
6.Utaamini chama ambacho ni wakala na kibaraka wa Mabeberu?
7.Utaamini chama ambacho Viongozi wake wanafamilia Nje ya Nchi,wakikiwasha wanakimbia huko.
8.Utaamini chama ambacho kinategemea ushawishi wa mtu mmja mmja badala ya taasisi?
9.Utaamini chama ambacho kinahubiri Demokrasia huku wao Wakiwa hawana Demokrasia?
10.Utaamini chama Cha msimu wa uchaguzi?
11.Utaamini chama ambacho hakina itikadi kinaenda kama genge la wahuni au Mali ya mtu binafsi?
Mengine ongezeni wenyewe 😁😁😁😁👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBaya1fC1lM/?igsh=aHBxemJ0Z3RrMWtu
Dk.Slaa apewe Ulinzi Kwa kusema ukweli huu maana Hawa Jamaa Huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
Na ieleweke vyema kwamba Watanzania wamekubali sera na utekelezaji wa ilani ya CCM ndio maana wamewapuuza Wapinzani uchwara 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBazOvIC1hg/?igsh=NGwzc2dhc2MzZTV0