SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyu Mzee toka ashikiwe akili na lile pashkuna Josephine Mushumbushi nilimtoa thamani,wakati ule angewakatalia kabisa Chadema kutompokea Lowasa na kuondoka ningemkubali lakini walikubalia wote kumpokea Lowasa lakini baada ya TISS kumtumia yule pashkuna kumbadilisha mawazo naye akakubali nilimuona hana msimamo. Na laana ilimuandama baada ya lile pashkuna kuja kumpiga kibuti baada ya hela waliyopewa na Magufuli kukata.Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Peter Slaa, amekosoa vikali viongozi wa sasa wa chama hicho...
Na amepata tumaini kuwa Samia anaweza kumpa shavu baada ya Rais kufanya rejea ya kitabu chake kuihuisisha Chadema na utekaji,ndiyo anatumia njia hii kujisogeza kwa Samia.Huyu ni bwana maslahi! toka mama aanze kushughulikia pro magufulis alikengeuka!! Sasa kawaona wanarudishwa anatafuta kuonekana!! kaishaharibu mno!! tupa kule et sauti ya watz!! hifadhini hiyo taka taka! alijiunga CCM toka kipindi cha jiwe
Mkiambiwa ukweli badala ya kuufanyia kazi ili muimarishe chama, nyie mnasema mzee anatafuta uteuzi. Bakini hivyo hivyo na ka chama kenu legelege mpaka kawafie mikononi.Mzee bado anatafuta uteuzi!!!
Wewe acha uhuni na upotoshaji. Dr Slaa aliongoza kundi letu la kupinga kupokelewa kwa Lowassa kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Tundu Lissu na Mnyika walikuwa kundi letu, Lissu akakatiwa cha juu akatusaliti na kukubali. Sisi wenye misimamo isiyoyumba tukaamua kujiweka kando. Acha kudanganya watu. Ukweli kuhusu Dr Slaa tunaujua A to Z.wakati ule angewakatalia kabisa Chadema kutompokea Lowasa na kuondoka ningemkubali lakini walikubalia wote kumpokea Lowasa lakini baada ya TISS kumtumia yule pashkuna kumbadilisha mawazo naye akakubali nilimuona hana msimamo.
Wacha uwongo mzee alikuja kubadilishwa mawazo na Jose hadi kutupiwa mabegi nje na kulala kibarazani hadi asubuhi.Wewe acha uhuni na upotoshaji. Dr Slaa aliongoza kundi letu la kupinga kupokelewa kwa Lowassa kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Tundu Lissu na Mnyika walikuwa kundi letu, Lissu akakatiwa cha juu akatusaliti na kukubali. Sisi wenye misimamo isiyoyumba tukaamua kujiweka kando. Acha kudanganya watu. Ukweli kuhusu Dr Slaa tunaujua A to Z.
Na amepata tumaini kuwa Samia anaweza kumpa shavu baada ya Rais kufanya rejea ya kitabu chake kuihuisisha Chadema na utekaji,ndiyo anatumia njia hii kujisogeza kwa Samia.
Msimo wetu ulikuwa ni kama lowassa anakuja, basi aje kama mtu mwingine tu. Apokelewe kama mwanachama wa kawaida, lakini asipewe nafasi ya kugombea urais. Naona ulikuwa bado mdogo wakati huo hukumbuki mambo vizuri.Wacha uwongo mzee alikuja ku adilishwa mawazo na Jose hadi kutupiwa mabegi nje na kulala kibarazani hadi asubuhi.
Haya kaandike kitabu sasa maana naona unataka ligiMsimo wetu ulikuwa ni kama lowassa anakuja, basi aje kama mtu mwingine tu. Apokelewe kama mwanachama wa kawaida, lakini asipewe nafasi ya kugombea urais. Naona ulikuwa bado mdogo wakati huo hukumbuki mambo vizuri.
Kwani choice wewe ndio kipaza chake au chanzo nini tagadhali?My Take
1.Utaamini chama ambacho kwanachaguana Kwa rushwa?
2.Utaamini chama ambacho kina viongozi wanaonunulika kama nyanya?
3.Utaamini chama ambacho hakina Sera?
4.Utaamini chama ambacho kinatumia vurugu kulazimisha mambo Yao?
5.Utaamini chama ambacho kinatukana Watanzania?
6.Utaamini chama ambacho ni wakala na kibaraka wa Mabeberu?
7.Utaamini chama ambacho Viongozi wake wanafamilia Nje ya Nchi,wakikiwasha wanakimbia huko.
8.Utaamini chama ambacho kinategemea ushawishi wa mtu mmja mmja badala ya taasisi?
9.Utaamini chama ambacho kinahubiri Demokrasia huku wao Wakiwa hawana Demokrasia?
10.Utaamini chama Cha msimu wa uchaguzi?
11.Utaamini chama ambacho hakina itikadi kinaenda kama genge la wahuni au Mali ya mtu binafsi?
Mengine ongezeni wenyewe 😁😁😁😁👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBaya1fC1lM/?igsh=aHBxemJ0Z3RrMWtu
Dk.Slaa apewe Ulinzi Kwa kusema ukweli huu maana Hawa Jamaa Huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
Na ieleweke vyema kwamba Watanzania wamekubali sera na utekelezaji wa ilani ya CCM ndio maana wamewapuuza Wapinzani uchwara 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBazOvIC1hg/?igsh=NGwzc2dhc2MzZTV0
Hili mbona liko wazi kabisa, halafu dogo anamwaga dolari tupu, Dr. ame compromise.Lissu amenukuliwa katika clip moja akisema kuwa, alifuata na Abduli(mtoto wa Bi. Mkubwa) kwa lengo la kuhongwa ili aachje kupiga kelele kwa maana ya kumkosoa Mama kwa matendo yak...
Ila mkuu, jitahidi ukiandika thread isiwe na makosa mengi ya kiuandishi, yaani mpaka title.Lissu amenukuliwa katika clip moja akisema kuwa, alifuata na Abduli(mtoto wa Bi. Mkubwa) kwa lengo la kuhongwa ili aache kupiga kelele kwa maana ya kumkosoa Mama kwa matendo yake. Hata hivyo, kwa maelezo yake...
Dr. Mihoga ni mjasiriamali wa kisiasa.Hili mbona liko wazi kabisa, halafu dogo anamwaga dolari tupu, Dr. ame compromise.
Kukosea kupo, ila kutofanya editing, ndio kosa kubwa zaidi. Usisahau unaweza hata kukosea kwenye matamshi unapoongea.Ila mkuu, jitahidi ukiandika thread isiwe na makosa mengi ya kiuandishi, yaani mpaka title.
Sawa mkuu, mada nimeielewa naendelea kusoma comments za wadau. Dr Slaa haaminiki sana na hajui asimame wapi kwa sasa. Tunamuona anavyocomments na inawezekana bahasha ilishatembea.Kukosea kupo, ila kutofanya editing, ndio kosa kubwa zaidi. Turudi kwenye mada.
🔨🔨Kwani choice wewe ndio kipaza chake au chanzo nini tagadhali?
Completely the opposite.Baada ya kujaribu kutumia mtutu wa bunduki kubackfire Jiwe akaamua Kutumia Rupia kununua wanachadema kimbelembele. Baada ya wananchi kuona kuwa hawa jamaa wananulika kirahisi wakaanza kuipuuza Chadema.
Lakini kingine kilichowakatisha watu tamaa ni kuona CHADEMA inaflipflop kwenye misimamo ya msingi. Kumleta Lowasa ambaye hakuwa anaamini hata kwenye misingi ya CHADEMA kuliwapa CHADEMA temporary gain lakini longterm damage, maana ilibidi CHADEMA wajifanye hamnazo ili kumnadi wakati walimuita fisadi kwa miaka mingi sana. Wananchi wanaziona hizi flipflops