Pre GE2025 Dkt. Slaa: CHADEMA imeshindwa Kuwashawishi Watanzania Wakiamini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Babuuuuuuu!! Teh teh teh
Njaa ikiuma unatoka na single mpyaa!!
 
Unaweza kiamini chama ambacho kinawafundisha watu kutengeneza value ya kununuliwa?

Wanaofika bei watakuja kupiga bei Nchi.
Endeleeni kuwachotea mabilioni ya pesa za walipa kodi huku mkijisifu kufanikiwa kuwanunua "wanaofika bei kirahisi rahisi"!

Very ironic!
 
Alirubuniwa na magufuli akakubli kuusaliti upinzani. Kamwe msimuamini, alijitutumua siku za nyuma akitishia ili apate uteuzi! Naona kuna ahadi kapewwwwwwwwwwww...haimsaidii kwa loloyte.
 
Dr Slaa ni mkubwa kuliko CHADEMA. Aliyoyaongea ni ukweli mtupu.
Ni kweli kuonyesha jinsi chadema ya sasa inavyo ongozwa na wapumbavu basi watakuja kupinga kama majuwa 😁😁😁 chadema kinataka katiba mpya ila hata wao awana hiyo. Katiba ambayo wataitumia kama watapata uongozi .. watusomee katiba yao itakuwa na nini na nini tuone ubora .
 
Mbona mbowe alilubuniwa na mafisadi Lowasa...sasa sibora huyo aliye lubuniwa kushikamana na mzalendo no 1 tanzania JPM...mbowe kalubuniwa na samia kipumbavu sana ...sasa mtu mpuuzi namna hiyo kweli tumwite kiongozi wetu si uanithi kabisa
 
Jf ukiwa na stress ni za kujutakia tu!!!
 
Mzee wa maana kisiana sasa hivi amebaki Mzee Warioba tuu. Mzee kama Slaa hana hoja zozote za msingi, ni mvurugaji wa Siasa zetu.
 
Hapana. Magufuli alitaka kuiua CHADEMA ila akafa yeye.
Ccm ilipata mshtuko baada ya upinzani mkali walioupata mwaka 2015, hivyo walidhamiria kuuvunja nguvu upinzani kwa namna yeyote Ile.

Tatizo kubwa ni Ccm, Magufuli alikuwa sehemu yake tu.....hata Sasa Magufuli hayupo ila bado Upinzani umeminywa.

zitto junior Tindo
 
Upuuzi wenu ndio huu hampendi kuambiwa ukweli wakati mnapotea!
 
Ajiandae kutukanwa matusi yote ayajuayo na asiyotajua. Maana Nchi hii ukitaka kuogeshwa matusi wakosoe CHADEMA
 
Haya ndiyo yanayokwenda kutokea chadema,
Rai - Dr Slaa apewe uenyekiti ili chama kiamke upya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…