Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Siku ameitisha press pale Serena siku anatangaza kuacha siasa za majukwaani alitakiwa kulisema swala la utekaji na utesaji ndani ya chadema ili kina Mwigulu walishikie bango kuzunguka nchi nzima kuichafua Chadema. AJABU KUBWA ANASEMA LEO
Labda alisahau [emoji28][emoji28]
 
Huyu ambaye ukatibu wa baraza la maaskofu ulimshinda
 
Sikutarajia Slaa aongee tofauti na hivyo, eti wawekezaji walikuja awamu ya tano. Slaa anadhani kwakuwa aliwahi kuamini hapo nyuma basi na sasa ataaminika.
Slaa tokea asaliti yeye na Lipumba, hakuna anayewaskiliza tena
 
huyu mzee kiazi sana
 
Anafikiria kwa kutumia tumbo Mzee huyo
 
HAKUNA JAMBO LISILO NA MWISHO,UNAFIKI WA MTU UTAJULIKANA TU.Njaa
 
[emoji28][emoji28][emoji28] dingi kalazwa Sana kwenye Noah. Alaf nackia mkewe kabaki mbele, analiwa na mzungu huko
 
Huenda Slaa ameamua kiusafisha awamu ya 5 dhidi ya hizo tuhuma maana alikuwa mtumishi wake.
Siyo 'huenda' hakika ndiyo kazi anayofanya. Kitendo cha kutuletea mfano usiolingana na mazingira halisi si cha kiungwana! ni kitendo cha kukosa utu

Dr Slaa angeuliza Camera ziko wapi, nani aliondoa walinzi?
Kwanini mkuu alisema maneno yale masaa machache kabla ya TL kupigwa risasi

Haya ndiyo maswali ya maana siyo kutuletea habari zake na red brigade ambazo hakuwahi kuzisema hadi leo anapotumiwa kama WAKALA. Hana moral compass amejawa na chuki na moral decay
 
Kwamba chadema ndio waliotoa CCTV camera kwenye eneo la tukio pamoja na kuwafukuza polisi wa doria wanaolinda eneo hilo ili kupisha shambulizi?
Halafu, yule kijana aliyetekwa na kuteswa, ametuambia kuwa, hakufa. Kwa mazingira hayo, bila shaka taarifa zake zilifika polisi. Kwa hiyo, hakuwaambia hao polisi ni kina nani waliomfanya vile?
 
Hoja hapa ni kuwa ikiwa Dr Slaa anadhani tukio linaweza kufanywa na yoyote asingetutolea mfano wa red brigade. Pili, kama ametoa mfano huo hakutakiwa kuacha facts nyingine kama za Walinzi kuondolewa eneo lile, Camera kuondolewa hadi leo

Dr Slaa alitakiwa apige kelele tujue kwanini Walinzi waliondolewa ili kama ni njama za Chadema zijulikane. Alitakiwa apiga kelele kuhusu Camera ili tujue waliofanya unyama ni red brigade au wasiojulikana. Alichokifanya ni kuchukua upande akisukuma ''agenda'' kwamba TL alitendewa na wenzake.

Huu ni upuuzi na tuuite hivyo kwasababu Dr Slaa ni mhanga wa matukio kama hayo leo tunajiuliza 'bei yake ni kiasi gani' kwamba anaweza kufanya kazi chafu kama hiyo tena akiwa Padre

Si mara moja watu wamemvumilia lakini sasa anavuka mipaka aelezwe ukweli.
Kwa maneno ya Dr Slaa usidhani watu kama TL na Wahanga wengine wanajisikia vizuri

Kauli zake binafsi kwa matamanio yake ya kusikika asizifanyie mzaha kwa damu za wanadamu
 
Mzee Slaa,anajiongezea laana....Damu ya Lissu pale Area D,itawatesa wengi sana Maisha yao yote!
 
Kama watekaji hawajulikani! Kwanini tusiwe na mashaka kwamba wenyewe kwa wenyewe wanaweza kutekana na kupigana risasi!
Kama hawajulikani uchunguzi unatakiwa. Tuelezwe nani aliondoa Walinzi, Camera ziliondolewa na nani. Tukipata majibu hayo tutajua akina nani wamehusika

Hizi habari za Dr Slaa kusema ni red brigade bla bla bla hazina maana kabisa

Ni masikitiko sana mtu wa ''kaliba yake na heshima'' yake anaingia katika malumbano ya kipuuzi kama haya. Tunajua heshima yake imepotea lakini basi hata aibu!

Hawezi kubeza tukio lililomwacha TL na risasi na ulemavu kwasababu tu ya chuki na pengine kusikika ili apate utezi wa bodi. Alipokuwa Balozi hatukusema kitu akijiunga na mwendazake.
Kwasasa anapotumia matukio yenye uchungu kwa matamanio yake ni jambo la kulaaniwa
 
Baada ya kumuasi Mungu kwa kuasi upadre mapepo yamemurudia mara saba na madhara yake ndio haya.
 
Ndo shida ya wafuasi wa chadema.
Kushughulisha akili hamtaki .
mna mwenyekiti,mna makamu mwenyekiti ,mna katibu MKUU n.k
Wakashindwa kutolewa ufafanuzi haya madai ya slaa?
Kawaulize Polisi wewe mfuasi wa Jiwe, hao ndio wana mamlaka na nyenzo za uchunguzi.
 
Mbona CCM hawakutoa ufafanuzi wa kufukunyuliwa gheto la Polepole na wahuni
Ndo shida ya wafuasi wa chadema.
Kushughulisha akili hamtaki .
mna mwenyekiti,mna makamu mwenyekiti ,mna katibu MKUU n.k
Wakashindwa kutolewa ufafanuzi haya madai ya slaa?
 
Nenda leo uniambie pale kuna walinzi?

Chini hapo kuna picha ya V8 inaonesha seat na button za seat, je! Unajua kuwa ule upande wa dereva kutoka kule kuja huku kuja kulaza seat kuna ugumu kiasi gani huku mkiwa mnashambuliwa tena kwa risasi? Unajua katika mkao uo lissu aliumia mguu wa kulia na sio kushoto? Unajua dereva mara baada ya kulaza seat alifungua mlango kule kwake akatoka according to wao? Unajua dereva hakuumia popote? Unajua dereva alitoroshwa? Unaju dereva kafichwa mpaka leo? Unajua dereva uenda usimuone tena katika maisha yako? Unajua kama ni bora ata umuone Lissu kuliko Dereva wake yule?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Slaa ni mzee wa hovyo kabisa,Hela alizohongwa na jiwe zimeisha,mke wake kamfukuza huko Canada,so stress zinamsumbua mbaya Zaid mkewe ni secretary wa lijamaa hapo ubalozi inauma asikwambie mtu lazma udate
 
Siasa ni kubeba Siri mbaya sana! Lakini yote huwa wazi mbele za Mungu, Mnauwa na kutesa ili tuu muwe na cheyo na kushibisha matumbo yenu?

Asante Dr Slaa Kwa kusema haya, Gazeti la mmliki mmoja huko chadema, siku moja nalo liliripoti kuhusu SAA 8 kuwa Mara ya mwisho alionekana Kwa mkuu wa chama,

Siku moja nayo yatawekwa wazi, Chadema na mauwaji ya watu, wanywa damu nyie!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…