Dkt. Slaa: Freeman Mbowe aachane na Maridhiano maana hayafai, Katiba sio mali yake binafsi au mali ya Rais Samia

Dkt. Slaa: Freeman Mbowe aachane na Maridhiano maana hayafai, Katiba sio mali yake binafsi au mali ya Rais Samia

Unaelewa unazungumza nini lakini? Unaelewa maana ya "chama cha siasa" kweli wewe?

Vyama vya siasa ndiyo hao watu. Utasemaje wafanye shughuli zao nje ya vyama vyao?

Mimi bado naamini huelewi unazungumza nini...!!

Hujui unasema nini wewe. Unahitaji kuelimishwa..!!

Wewe unadhani chama cha siasa ni kitu gani? Ni mlima au mnyama fulani?

Kama ulikuwa hujui, ngoja nikufundishe:

Kwamba, chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu ambaao ndiyo hao wananchi unaowasema. Hawa nao katiba inawahusu na ni ya kwao pia Kwa sababu imebeba maslahi yao kama wananchi..

Muhimu ni makundi yote ya kijamii (all social fractions) kuungana na kuidai hiyo katiba...

Ingia na wewe kwenye harakati hizo za kudai katiba mpya ili uhakikishe maslahi yako yanaingia kwenye katiba mpya...

Cha ajabu wewe unataka vyama vya siasa visishiriki. Je, maslahi yao yatawakilishwa na nani kwenye katiba mpya itakayoandikwa?

Kwanini huelewi simple logic kama hii? Umesomea shule gani wewe?

Hapa kidogo akili zimekurudia na umeandika something sensible...

Lakini kabla ya kuundwa hiyo taasisi, lazima wananchi wa makundi yote ya kijamii (ukiwemo wewe bodaboda) mshirikiane na taasisi zingine huru kama vyama vya siasa (CCM, CHADEMA, ACT WAZALENDO, CHAUMA nk); NGOs, vyama vya kitaaluma kama TALGWU, MEWATA, CWT, RAAWU nk; vyama vya wakulima na wafugaji nk nk ili kutia pressure kwa watawala wenye mamlaka ya kisheria kukubali matakwa ya wananchi na kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya..

Hakuna unajisi hapo. Ni haki yao pia maana nao ni sehemu ya wananchi wa nchi hii na katiba inawahusu na imebeba maslahi ya kisiasa vile vile...

Nisome huko☝️☝️☝️☝️huko juu utaelewa

Huelewi. Nisome kuleeeee juu☝️☝️☝️

Vyama siasa ni vinaundwa na wananchi pia. Nao katiba mpya inawahusu. Unataka waende wapi..?

Hujui unaandika nini!!

Katiba mpya inatakiwa ibebe Kila aina ya "mihemko" toka makundi yote ya kijamii kama vile:

1. Wafanyakazi wa sekta ya umma (walimu, madaktari, wahasibu, wanasheria nk)

2. Wakulima & wafugaji..

3. Wanasiasa na vyama vya siasa.

4. Bodaboda, mamantilie, mafundi sherehani nk nk...

WHY? Kwa sababu hawa wote ni wananchi na katiba ni yao!!
Kama utakuwa hujaelewa mpaka hapo, basi wewe utakuwa na roho ngumu kwelikweli..!!

Kwa heri..
Katiba ya wananchi italetwa na wananchi wasio na mihemko ya vyama vya siasa ili iwesheria mama Kwa vyama vyenu.
 
Katiba ya wananchi italetwa na wananchi wasio na mihemko ya vyama vya siasa ili iwesheria mama Kwa vyama vyenu.
Hao wa namna hiyo hawapo Tanzania wala huko duniani...!!

Kipi usichokielewa wewe.!!!???

Kwanini umeshindwa kujibu swali rahisi tu la unaposikia "chama cha siasa", wewe unaelewa ni kitu gani?

Bila shaka wewe unadhani ni Jiwe fulani hivi au tembo wa Mikumi National Park au nyumba fulani usiyoipenda, au siyo?

Chama cha siasa ni watu. Na hao ndiyo wanaotia pressure ili mchakato wa kupata katiba mpya uanze. Lakini wewe umejikalia nyuma ya keyboard ya ka - TECNO POP3 Kako hako ukidhania katiba mpya inapatikana hivyo..
 
Yupi yule barbaig aliyemsifia muuaji yule na kumtetea ili aendelee kuula ubalozi. Kwamba TAL alishambuliwa na CDM.
Slaa hana moral authority ya kupambania demokrasia! Huyu padre bado laana ya kanisa inamtafuta! CDM msije mkalogwa mkamwamini huyu mult-standards hypocrite. Hivi Canada alimpeleka nani? Na yule Delila yupo au waswedish wameshasepa nae!

Daah ujuaji mwingine bhana. Yaani hapo nawe unaona umeweka point? Aisee izi tecno hizi.
 
Hao wa namna hiyo hawapo Tanzania wala huko duniani...!!

Kipi usichokielewa wewe.!!!???

Kwanini umeshindwa kujibu swali rahisi tu la unaposikia "chama cha siasa", wewe unaelewa ni kitu gani?

Bila shaka wewe unadhani ni Jiwe fulani hivi au tembo wa Mikumi National Park au nyumba fulani usiyoipenda, au siyo?

Chama cha siasa ni watu. Na hao ndiyo wanaotia pressure ili mchakato wa kupata katiba mpya uanze. Lakini wewe umejikalia nyuma ya keyboard ya ka - TECNO POP3 Kako hako ukidhania katiba mpya inapatikana hivyo..
Chama chenu tafadhali kisinajisi mchakato. Kaeni pembeni kabisaa, kama mnataka jivueni uchama muwe neutral. Halafu mje tutafute katiba ambayo ni Sheria mama isiyo na mlengo uvyamaaa. Sawaa
 
Apeleke njaa na unafiki huko alipoteuliwa balozi mbona hakusema hayo??? Kina Mbowe walipofungwa hakuongea alechekelea mshahara wake leo ndio analeta kiherehere cha uzeeni!!! Unafiki nikitu kibaya sana
 
Kila
Confrontational politics hazijawahi kuisaidia CDM sana sana zimewaumiza mno (Rip Mawazo, Saanane)......Mbowe apongezwe kwa hatua hii ya maridhiano angalau yataipa Chadema Uhuru wa kufanya siasa.
zitto junior
Wakati unabebwa na mbinu mpya kwenye siasa kwa mazingira mapya ya kisiasa ya leo, siasa za maridhiano ni muhimu. Mbowe yuko sahihi. Mbinu ile ile cnfrotational politics miaka 20 haijasaidia,CDM inaanzishwa miaka ya nyuma na Mtei ilianza na constructive politics kumbukeni! Na ilikua sana.
 
Akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii Aprili 20, 2023, Dkt Slaa amesema akipata nafasi ya kukutana na mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe atamshauri aachane na maridhiano kwa kuwa hayafai.


“Nikipata nafasi ya kukutana nitamwambia kwamba fuata principle za siasa safi, simamia, kwa sababu kwa sasa unatakiwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Maridhiano hayafai” amesema

Amesisitiza, “Maridhiano hayafai kwasababu yanakaa zaidi ya mwaka, hakuna taarifa kwa wananchi. Maridhiano si mali ya Samia na ya Mbowe. Katiba inayodaiwa ni ya watanzania. Katiba si mali ya watu wawili, wala sio ya CCM na CHADEMA, ni ya watanzania. Watanzania lazima wajue wanataka katiba ya aina gani”
Dkt Slaa amesema amemsikia mara kadhaa Rais Samia akisema kuwa wataangalia katiba ya mwaka 1977 kwa kuwa Rasimu ya Warioba imepitwa na wakati, yeye anasema haya ni makosa makubwa sana.

“Someni preamble pale kwenye katiba mwanzoni imeandikwa nini, imeandikwa sisi watanzania tumeamua, kwenye katiba”

Kuhusu kusubiria uteuzi, amesema kwa umri wake hasubirii tena fursa hiyo, pia amemsfia Freeman Mbowe kuwa mwanasiasa mzuri, mkonge na mpambanaji wa siku nyingi.


Chanzo: East Africa Radio
Huyu SSH ampe tu mnofu kidogo utamsikia akisema "katiba siyo kipaumbele kama watu wanapata chakula malazi na mavazi katiba ya nini tena??" Huyu HAAMINIKI TENA.
 
Chama chenu tafadhali kisinajisi mchakato. Kaeni pembeni kabisaa, kama mnataka jivueni uchama muwe neutral. Halafu mje tutafute katiba ambayo ni Sheria mama isiyo na mlengo uvyamaaa. Sawaa
Ujamaa ni mhimu Hilo utakalo halipo na haliwezekani

Tatizo lako ni kuwa HUJUI na HUELEWI usemalo..!!

Na bahati mbaya kabisa kwako ni kuwa, hujui kuwa hujui na umeshupaza shingo vibaya huku ukijifanya unajua!!

Shauri lako. Utavunjika ooooho😶😶😶😶

Pole na Kwa heri...
 
Ujamaa ni mhimu Hilo utakalo halipo na haliwezekani

Tatizo lako ni kuwa HUJUI na HUELEWI usemalo..!!

Na bahati mbaya kabisa kwako ni kuwa, hujui kuwa hujui na umeshupaza shingo vibaya huku ukijifanya unajua!!

Shauri lako. Utavunjika ooooho😶😶😶😶

Pole na Kwa heri...
Chama kitafute katiba ya chama chenu, hatutaki katiba yetu ya wananchi kunajisiwa na chama chochote Cha kisiasa. Anayetaka kutafuta katiba yetu jivue uanaharakati wa chama Chako Cha kisiasa jivike uraia ijapokuwa uanamapenzi ya chama chako. Tunataka mchakato wa katiba ya wananchi isinajisiwe na vyama vyenu, tunataka kama walivyokuwa akina walioba na wenzake, waliweka mapenzii ya vyama vyao pembeni, ndio maana wakaja na kitu kizuriii. Sawaaa?
 
Ujamaa ni mhimu Hilo utakalo halipo na haliwezekani

Tatizo lako ni kuwa HUJUI na HUELEWI usemalo..!!

Na bahati mbaya kabisa kwako ni kuwa, hujui kuwa hujui na umeshupaza shingo vibaya huku ukijifanya unajua!!

Shauri lako. Utavunjika ooooho😶😶😶😶

Pole na Kwa heri...
Nakushukuru sana
 
Chama kitafute katiba ya chama chenu, hatutaki katiba yetu ya wananchi kunajisiwa na chama chochote Cha kisiasa. Anayetaka kutafuta katiba yetu jivue uanaharakati wa chama Chako Cha kisiasa jivike uraia ijapokuwa uanamapenzi ya chama chako. Tunataka mchakato wa katiba ya wananchi isinajisiwe na vyama vyenu, tunataka kama walivyokuwa akina walioba na wenzake, waliweka mapenzii ya vyama vyao pembeni, ndio maana wakaja na kitu kizuriii. Sawaaa?
Bado hujui usemalo wala hujui ujualo..!

Unahitaji kuelimishwa zaidi na zaidi...

Bahati mbaya kwako ni kuwa hutaki kukubali kuelimishwa..

Pole sana, Kaa na ujinga wako na Kwa heri🚶🚶🚶🚶🚶
 
Bado hujui usemalo wala hujui ujualo..!

Unahitaji kuelimishwa zaidi na zaidi...

Bahati mbaya kwako ni kuwa hutaki kukubali kuelimishwa..

Pole sana, Kaa na ujinga wako na Kwa heri🚶🚶🚶🚶🚶
Msinajisi katiba yetuu. Akina walioba walifanya KAZI nzuriii saaana Wala hawakuweka uanaharakati wa vyama, waliweka pembeni wakawa sehem ya wananchi wakatuletea kitu kizuriii.
 
Back
Top Bottom