Dkt. Slaa haaminiki, msimuamini kabisa. Akipewa Ubalozi atawasaliti. Nina uhakika angelibakizwa Sweden asingelikuwa ndani ya Sauti ya Watanzania

Dkt. Slaa haaminiki, msimuamini kabisa. Akipewa Ubalozi atawasaliti. Nina uhakika angelibakizwa Sweden asingelikuwa ndani ya Sauti ya Watanzania

Kama Hayati Magufuli alimrubuni kirahisi hivyo na kuwasaliti Chadema na wapenda mageuzi kisa Ubalozi, basi wala msimuamini.

Fikiri kwa kina, Kama Rais Samia angelimbakiza Sweden Ubalozini mnadhani angelikuwa na Mwabukutu, hii movement ya SautI ya Watanzania angelikuwa Member? MUWE MNATUMIA AKILI NDOGO KUYAONA HAYA YA HUYU MTU

KAMA ALIDIRIKI KUSEMA "KUPIGWA LISU RISASI NI KITU CHA KAWAIDA", HUYU MSIMUAMINI KATU!
Inaonekana basi watu wa chadema hawana misingi ya uzalendo wa kweli, ni maslahi tu yanawasumbua. Wanategemea sana mtu fulani. Kumbe wananunulika kirahisi. Tizama gaidi Mbowe, kawekwa ndani, kesi za kubambikiwa, katolewa, kwa masharti, kaufyata kimya!! Na sasa anataka kuwanyamazisha wengine wasinyanyue sauti
 
Unachokisema ndo nilikisema wakanishambulia humu. Huyo Mzee hana credibility yoyote hata ya kukataza vijana kuvuta bangi.
 
Back
Top Bottom