Dkt. Slaa hata azungumze nini sitakaa nimsikilize au kumuamini

Dkt. Slaa hata azungumze nini sitakaa nimsikilize au kumuamini

usichokijua, wanasiasa wooote hata hao unaowaamini wapo hivyohivyo. kwa slaa ilikuwa lazima afanye alichokifanya, manake lowasa ambaye yeye kwa msimamo wake hakutaka aje walimleta na aliona uozo wote wa pesa aliyokuwa ameimwaga. kulinda credibility yake akataka ang'atuke, kutaka kuondoka anajua jamaa zake walivyo mafia wangemmaliza,akamaamua kulikabidhi mikononi mwa adui ili apote, na ilikuwa lazima afanye vile, lasivyo tusingemsikia hivi leo. wanasiasa woote hao washahongwa sana, washauza sana wananchi, hatuna pa kukimbilia tu ndio maana tunatafuta aliye nafuu, ila mtakatifu huwezi kumpata. though kwa uwezo wa siasa, watu wachache sana wanamzidi akili na uwezo Dr slaa. huyu ndio mwanasiasa aliyeweka historia kwenye taifa hili.
historia gani?
 
Sawa. Hizo mbinu za kujiteka kama zilikuwa ni za kweli utajuaje?
Je Lowasa walivyomuita fisadi na mchafu namba moja, na baadae Mbowe, Lissu na wengine kumteua mgombea wao, walimsafisha kwa sabuni gani?
Cha kuambiwa changanya na zako
 
Unamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa

Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu

Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Kwani slaa alitaka aaminiwe yaani wewe ni brainwashed kweli
 
Hutakiwa kuwa mfuasi wa mtu bali mfuasi wa hoja za mtu.

Nijuavyo Dr. Slaa hajawahi kueleza popote kama aliwahi kurudi CCM na kuchukua kadi ya CCM. Alivyotoka CHADEMA alisema kuwa yeye anaachana na siasa za vyama, atabakia kuwa mwanasiasa huru.

Na hivi karibuni aliulizwa kama atarudi CHADEMA, alikataa na kusisitiza kuwa aliishasema kuwa ameachana na siasa za vyama. Sasa, labda useme wewe, ni lini alichukua tena kadi ya CCM? Hata hizi hoja zake za msingi kuhusu uhuni uliofanywa kwenye bandari, serikali yenye mashaka ya uhalali, bunge batili, ni masuala ya uzalendo, hayaangukii kwenye siasa za vyama.

Mpaka hapo, naamini kuwa wale wanaolitazama taifa kwanza, siyo vyama vya siasa kwanza, kwa vyovyote vile wataungana na Dr. Slaa katika hoja zake za kizalendo kuliko ujinga mwingine wowote.
 
[emoji851] sure Padre Dr.W.P.Slaa haaminiki tena na hafai kuongoza kwani hana ustahimilivu wala ustaarabu amebaki na ujasiri wa madharau, matusi na dhihaka kwa watunga Sheria, serikali na Dollar yenyewe. Dola Lazima imdhibiti ipasavyo
Umeandika ujinga wa hali ya juu. Bunge batili litaheshimika na watu batili.
 
[emoji851] sure Padre Dr.W.P.Slaa haaminiki tena na hafai kuongoza kwani hana ustahimilivu wala ustaarabu amebaki na ujasiri wa madharau, matusi na dhihaka kwa watunga Sheria, serikali na Dollar yenyewe. Dola Lazima imdhibiti ipasavyo
Endelea kuwa Chawa wa Mama
 
Ni aheri kumwamini Dr Slaa aliyekaa kimya wakati wa Magufuli kama wengi walivyokaa kimya, kuliko kuliamini bunge batili lililojaa watu majuha au Serikali inayokiuka katiba bila aibu.

Uporwaji wa bandari na ujuha wa bunge, ubatili wa bunge uliothibitishwa na mahakama, na ubatili wa Serikali kutokana na kiongozi mkuu wa wa serikali bungeni bwana Majaliwa kutokuwa mbunge wa kuchaguliwa kama katiba inavyoelekeza, ni hoja za Dr Slaa zitakazosimama daima, na hakuna mwenye hoja za kuweza kupinga, japo wanaweza kuwepo watu wanaoropoka na kupiga kelele, kama walivyo hawa wanafiki wengu na watu wenye akili kibaba, wanaoshindwa kujibu hoja muhimu za Dr. Slaa na kubakia kushambulia maisha ya ndoa ya Dr. Slaa. Yaani hawa wajinga wanataka tupime maisha ya ndoa ya Samia yalivyo, badala ya kuangalia utendaji wake kazi kwa mujibu wa katiba.

Hongera sana Dr. Slaa kwa kusimama imara kwenye maslahi ya Taifa.
 
Unamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa

Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu

Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Muamini Sa100 na Mba Rawa basi
 
Hutakiwa kuwa mfuasi wa mtu bali mfuasi wa hoja za mtu.

Nijuavyo Dr. Slaa hajawahi kueleza popote kama aliwahi kurudi CCM na kuchukua kadi ya CCM. Alivyotoka CHADEMA alisema kuwa yeye anaachana na siasa za vyama, atabakia kuwa mwanasiasa huru.

Na hivi karibuni aliulizwa kama atarudi CHADEMA, alikataa na kusisitiza kuwa aliishasema kuwa ameachana na siasa za vyama. Sasa, labda useme wewe, ni lini alichukua tena kadi ya CCM? Hata hizi hoja zake za msingi kuhusu uhuni uliofanywa kwenye bandari, serikali yenye mashaka ya uhalali, bunge batili, ni masuala ya uzalendo, hayaangukii kwenye siasa za vyama.

Mpaka hapo, naamini kuwa wale wanaolitazama taifa kwanza, siyo vyama vya siasa kwanza, kwa vyovyote vile wataungana na Dr. Slaa katika hoja zake za kizalendo kuliko ujinga mwingine wowote.
Mbona alivokua anakula ubalozi alikaa kimya au njaa saiv ndo inampa mdomo
 
Unamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa

Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu

Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Dr slaa ni mtu makini. Ni mtu ambaye ni result oriented. Ni mtu ambaye anapenda kuona watu wa chini wanapata maendeleo. Ni mwanamapinduzi. Ni msema ukweli.

Yeye na Magufuli walikuwa wanafanana kwa kiasi kikubwa na mengi yaliyo tekelezwa ndiyo yalikuwa matakwa yake. Mimi binafsi namuunga mkono na hata akigombea leo naweza mpa kura nikishawishika. Hapendi matapeli. Chadema ni matapeli wa kisiasa na madalali wa kisiasa kama ilivyo kwa ACT nao ni madalali wa kisiasa hawana jipya.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Lakini uliamini ambao kwa miaka zaidi ya 10 walisema lowassa ni fisadi, ni furaha kwa mwenyezi Mungu wananchi wakimpiga lowassa mawe halafu mara hao hao wakampa kijiti agombee uraisi na wakakwambia mwenye ushahidi wa ufisadi wake aupeleke mahakamani.
Slaa pale kwangu ndipo alionyesha msimamo zaidi ya kuwa anasimamia anachokiamini si masuala ya siasa siasa tu za uongo uongo.
Madalali wa kisiasa wa nchi hii ni chadema.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Upande wa hoja yake kuhusu DP world yupo sahihi kwa jinsi alivyoweka hoja zake!! Hayo mengine nadhan ni tabia za wanasiasa wa bongo kwa ujumla!! Hakuna mwanasiasa wa bongo ambae hali matapishi yake!!
Matapishi yapi. Ulitaka abaki ndani ya uongozi amsafishe Lowasa ambaye yeye mwenyewe alimtangaza kwenye list of shame. Dr slaa yuko makini mno. Na ni miongoni mwa watu wachache sana makini taifa kuwahi kupata. Dr slaa baada ya kujiuzulu ukatibu mkuu hakuwahi kujiunga na chama chochote wala hakuwa kuacha kuwa mwanachama wa cha demand. Bali yeye alijuzulu ukatibu mkuu. Pili yeye alipata uteuzi wa Rais mienendo na misimamo yake ilikuwa sawa kabisa na Rais Magufuli. Isingekuwa rahisi kukataa uteuzi ule. Kwa mwanachama wa kawaida. Sendiga aliteuliwa, mgombea wa ACT aliteuliwa kwanini sasa ukatae uteuzi wa Rais wa nchi. Hapa ni swala la uzalendo na kuitumikia nchi. Na lazima tujue lengo la chama chochote ni kushika dola na kuwatumikia watanzania. Sasa kama majukum ambayo anakupa rais hata kama siyo wa chama chako but ni kuwatumikia wananchi kwanini ukatae. Hoja ya kukubali uteuzi no hoja nyepesi sana. But Dr slaa ni mtu makini na mzalendo sana. Chadema tangu aondoke hawajawahi kuwa na msimamo au wakaleta hoja yeyote yenye mashiko ikabamba. Wamebaki na udaalali tu. Mbowe kalamba asali sass amebaki kama dude tu.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo Dr Slaa ana bei, hata kama ana hoja nzuri.

Mtu akipanda dau, anaweza kuusifia mkataba tena.

Mtu aliyeweka nadhiri kuwa mseja (padri), kisha akazaa watoto na mwanmke, halafu baada ya miaka kadhaa akatoka kwenye upadri. Akamuoa yule mwanamke, lakini alipokutana na Mushumbushi akamuacha mke aliyemuoa.

Akatoka CCM na kwenda CDM baada ya kutopendekezwa kugombea ubunge wa Karatu. Lakini akarudi CCM baada ya Lowassa kupendekezwa kugombea Urais.

Dr Slaa ni malaya wa siasa tu kama malaya wa Riverside au Buguruni
Dr slaa hakuwa kurudi CCM leta ushahidi wa kuwa alirudi ccm.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Wewe huwa unaamini watu / mtu au unasikiliza kilichozungumzwa na kuki-dissect (issue na sio mtoa issue)...., Hili ndio tatizo kubwa la dunia ya sasa ukiwa unaamini watu unakuwa prone na Propaganda....

Even the Broken Clock is Right Twice a Day..., Binafsi naamini na vice versa hata saa mpya isiyo na shida inaweza kupoteza majira vilevile....
 
Dr Slaa anaeleweka kwa sifa yake ya kupinga ufisadi kutoka moyoni na hilo hauhitaji elimu kulitambua, na ni mtu anayesimamia anachokiaamini hili sababu za kuondoka Chadema alizitoa wazi wazi hakuwa mnafiki kumpokea mtu ambaye muda wote chama kilimchafua kwa kumsingizia ufisadi. Kwangu mimi Dr Slaa ni moja ya PHD wachache wa nchi hii ambaye ukimsikiliza akiongea unajua hapa kweli ni Dr anaongea yaani hachoshi kumsikiliza kama alivyokuwa Dr JPM.
You're very correct. Taifa lina hazina chache sana za PhD ambazo hatuzitumii. Na ndiyo maana alikubali uteuzi ule wa Dr Magufuli PhD mwenzie [emoji23] [emoji23]. Wajinga wajinga wenye vyeti feki watamchukia tu Dr slaa but he is very smart person ever in this country.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Sawa Mimi sio mkewe na siwezi kua lakin mtu anayeongea huku Ana njaa unamuamini vp pamoja na mabaya mengi yaliokuepo chini ya serikal ya awamu ya tano hakuthubutu kufungua mdomo wake coz alikua balozi anakula kuku kwa mrija leo hana ile nafas Teena ndo anajifanya Anna uchungu na nchii hii akalale zake
Mabaya yapi?? Ya awamu ya tano. Au unaongea hisia. Sasa hivi watu wanamkumbuka kila siku hotuba zake zinazunguka. Angekuwa alikuwa na mabaya angekuwa kisha sahaulika. But kila siku utafikiri ndo rais. Acheni hisia. Wewe lazima utakuwa ni fisadi, mwizi, muuza madawa, vyeti fake. Nyie ndo mliumizwa kwasababu mlikuwa wezi wa taifa hili.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Matapishi yapi. Ulitaka abaki ndani ya uongozi amsafishe Lowasa ambaye yeye mwenyewe alimtangaza kwenye list of shame. Dr slaa yuko makini mno. Na ni miongoni mwa watu wachache sana makini taifa kuwahi kupata. Dr slaa baada ya kujiuzulu ukatibu mkuu hakuwahi kujiunga na chama chochote wala hakuwa kuacha kuwa mwanachama wa cha demand. Bali yeye alijuzulu ukatibu mkuu. Pili yeye alipata uteuzi wa Rais mienendo na misimamo yake ilikuwa sawa kabisa na Rais Magufuli. Isingekuwa rahisi kukataa uteuzi ule. Kwa mwanachama wa kawaida. Sendiga aliteuliwa, mgombea wa ACT aliteuliwa kwanini sasa ukatae uteuzi wa Rais wa nchi. Hapa ni swala la uzalendo na kuitumikia nchi. Na lazima tujue lengo la chama chochote ni kushika dola na kuwatumikia watanzania. Sasa kama majukum ambayo anakupa rais hata kama siyo wa chama chako but ni kuwatumikia wananchi kwanini ukatae. Hoja ya kukubali uteuzi no hoja nyepesi sana. But Dr slaa ni mtu makini na mzalendo sana. Chadema tangu aondoke hawajawahi kuwa na msimamo au wakaleta hoja yeyote yenye mashiko ikabamba. Wamebaki na udaalali tu. Mbowe kalamba asali sass amebaki kama dude tu.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Masikini 🤣👆🤣 umekurupuka bila kuelewa concept yang 🤣🤣🤣. Next jikite kweny utambuz zaid ili uweze kujua ni jinsi gan waeza jibu mtu!!! Nimesema waz kbs Slaa yupo sahihi kweny hoja zake juu ya DP world, nikimjibu mtoa mada kumsema Slaa eti hawez kumuanin. That's why nikasema kuhusu wanasiasa kula matapishi ni kawaida yao kikubwa ni kuangalia hoja zao. Sasa ww umekurupuka bila kuelewa 🤣🤣🤣🤣. NB; Labda nikusaidie kdg kuhusu uzalendo... Nchi hii hajawah tokea msafi na mzalendo zaid ya Mwalimu Julius kambarage Nyerere, wengine hamuez elewa.
 
Back
Top Bottom