Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
mafusadi-mafisadi
namwinije-namwaminije (namwamini vipi)
namwinije-namwaminije (namwamini vipi)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo nao unyumbu, eti hata kama mtu ana point ya maana, humuamini siyo? Kwa sababu unamchukia binafsiUnamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Ila tukiweka utani pembeni hilo jambo linashangaza kweli.Kwahiyo unawaamini waliotoa orodha ya mafisadi Papa Mwembeyanga, miaka michache mbele wakamchukua fisadi mmojawapo na kumpa nafasi kugombea ngazi ya juu(cheo Cha juu) kuliko vyote nchini?, Huwa nahisi Kuna nguvu za giza zilitumika kuwafanya watu mataahira 2015, badala ya kushambulia waliomkaribisha Lowassa alishambuliwa Slaa na kuonekana mbaya, waliobadili gia angani walionekana wajanja.
Mzalendo zaid ya nyerere na sokoine bdo cjamwona Hawa wengine no chumia tumbo broMasikini [emoji1787][emoji115][emoji1787] umekurupuka bila kuelewa concept yang [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Next jikite kweny utambuz zaid ili uweze kujua ni jinsi gan waeza jibu mtu!!! Nimesema waz kbs Slaa yupo sahihi kweny hoja zake juu ya DP world, nikimjibu mtoa mada kumsema Slaa eti hawez kumuanin. That's why nikasema kuhusu wanasiasa kula matapishi ni kawaida yao kikubwa ni kuangalia hoja zao. Sasa ww umekurupuka bila kuelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. NB; Labda nikusaidie kdg kuhusu uzalendo... Nchi hii hajawah tokea msafi na mzalendo zaid ya Mwalimu Julius kambarage Nyerere, wengine hamuez elewa.
Hata Kama angesema mkataba no halali na mzuri nicngemwamin bdo amekosa uhalali kwangu kwenye Mambo ya siasaHuo nao unyumbu, eti hata kama mtu ana point ya maana, humuamini siyo? Kwa sababu unamchukia binafsi
Hakika ✔️ hawa wachunga ng'ombe walikua brainwashed wakajaa!!!Mzalendo zaid ya nyerere na sokoine bdo cjamwona Hawa wengine no chumia tumbo bro
Mbona mbowe aliwasaliti wanachadema na ukawa lakini Bado anaaminiwa?
Ni nini kiliuzwa wakati huo alipokuwa balozi?Mbona alivokua anakula ubalozi alikaa kimya au njaa saiv ndo inampa mdomo
Sawa maana sio lazimaUnamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Bora hata wangemteua walimuuzia Ile nafasi Lisu na Mbowe walivuta mshikoIla wakuwaamini ni Lissu na Mbowe waliosema Lowassa ni fisadi mpaka wakamtaja kwenye list of shame baadae hao hao wakamteua kuwa mgombea wao wa Uraisi
Wewe ndiyo unapaswa ulete ushahidi kuwa hakurudi. Mimi nimesema alirudi, ushahidi ni yeye kukubali vipande vya pesa na kwenda kuishi Canada na kisha kuwa Balozi wa Tz huko Belgium kwa maamuzi ya Mwenyekiti wa CCM Marehemu MagufuliDr slaa hakuwa kurudi CCM leta ushahidi wa kuwa alirudi ccm.
Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app