Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Dada mwaj waukweli si umeshaambiwa nguo zimefungiwa jamani, sasa ulitaka asiende kwenye ufunguzi kisa nguo? Kuwa na huruma kwa wagonjwa.uvaaji gani huo? mibwanga kama mcheza shoo wa pepekale!! mi mtu akinivalia hivyo akatoka kwenye issue kubwa hivyo nampa likizo,
hapo ni nje hiyo bukta, boxer itakuwa imepwaya balaa