Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

uvaaji gani huo? mibwanga kama mcheza shoo wa pepekale!! mi mtu akinivalia hivyo akatoka kwenye issue kubwa hivyo nampa likizo,

hapo ni nje hiyo bukta, boxer itakuwa imepwaya balaa
Dada mwaj waukweli si umeshaambiwa nguo zimefungiwa jamani, sasa ulitaka asiende kwenye ufunguzi kisa nguo? Kuwa na huruma kwa wagonjwa.
 
Haaaaa dr mohogo amenikumbusha enzi za jinsi za zizu afu mbona kwenye picha zote kama anaona aibu vile!!!
 
Haaaaa dr mihogo amenikumbusha enzi za jinsi za zizu afu mbona kwenye picha zote kama anaona aibu vile!!!
 
Walipotaka ushirikiano, tulisuasua. Sasa Lowassa kawa tishio, tunatafuta ushauri na kulilia kuungwa mkono. Sijui kama jahazi litasalimika lisiende mrama. Yangu macho!
 
Halafu huyu ndio alikuwa anautaka urais wa taifa hili. Mungu hutenda kazi zake kwa namna ya ajabu sana. Ashukuriwe Muumba wa mbingu na ardhi kwa namna alivyohitimisha suala la urais wa Slaa.
 
Mwenye clip ya Slaa kukataa kumtambua rais Kikwete baada ya 2010 elections aitupie hapa hii sred ikamilike
 
Back
Top Bottom