Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

Nimetokea kumchukia sana Dr silaa yani nikimwona nasikia kutapika kabisa,Gwajima ndio kiboko yake
 
Safi sana Dr. ! Umestaafu kwa heshima.
 
Aliyekuwa anamtukana Jk eti Leo anamsifia,kweli pesa ni sabuni ya roho.
 
Pesa pesa pesa pesa pesa inimuuza hata Yesu yaani sijaamini macho yangu kuona jambo kama hili,Dr Slaa kwisha mambo yako sasa tumejua kilichukuwa nyuma ya pazia
 
Namshukuru sana Mungu kwa kutupa mtu kama Dr Slaa katika kipindi cha maisha yangu hapa duniani. Ni mbunifu wa shughuli zinazogusa maisha ya jamii,hasa jamii maskini. CCBRT imesaidia sana jamii,hasa watoto walemavu na mama wenye fistula.
Mungu ambariki sana Dr Slaa
 
Dr slaa ni mtu poa me nliondoka CHADEMA kwa kush2liwa na ww
 
k&s2.jpg

Nairobi, Nairobi...!


k&s1.jpg
 
Hatari sana,

Mr Mr handsome wa chalinze hayupo tena kwenye list of shame???????????
Wabaya sasa hivi ni CDM na lowasa tu????

Kuna vitu tunafichwa na Dr. slaa.
 
Sawa astaafu siasa kwa amani, mwakani mradi utazinduliwa na Edward Lowassa!
 
Hivi tangia Josephine afungie nguo za Dr. Slaa, bwana huyu ameshindwa hata kupata vinguo decent vya mitumba?
Hata mimi nimeshangaa, nilidhani rais wa mioyo hana mshauri wa mavazi kumbe first lady kafungia nguo! Ona shati linaning'inia na kola pana shingoni. Duh
 
Back
Top Bottom