Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

Wanasiasa bana!

Wenzangu na mimi mnatoana macho kwa sababu katika majukwaa wanatuaminisha kuna uadui lakini wao peke yao lao moja tu wanasema "siasa sio uadui"! Nakumbuka Rose Kamili kwenye ile Press alivyokuwa anasimulia ukaribu wa Dr Slaa na familia ya Lowassa na kuuliza ni wapi Dr Slaa amepata chuki dhidi ya Lowassa.

Yes, siasa sio uadui.
 
Dr Slaa amekuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa waliofika katika sherehe za uzinduzi wa Jengo la kuhifadhia madawa.

Aidha Dr amesema CCM imefanya mengi mazuri ambayo pongezi nyingi anastahili kupewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Kikwete.

Katika hotuba yake Dr Slaa amesema sasa ni wakati wa Watanzania kuwa makini katika kuchagua viongozi wenye maadili na sio wenye uchu wa madaraka.


Rais

Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa kwa Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw.

Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete viongozi mbalimbali alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wadau alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi wa nchi wafadhili alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mabalozi alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi akiwa ameongozana na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa na mabalozi na watoto wanaopata matibabu wakikata utepe kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuashiria kufunguliwa jengo l bohari ya madawa huku akishuhudiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Sla

ID mpya cjui ya lumumba au masaki data centre kujaza ujinga wa ccm kwenye mitandao ya jamii!!!
 
Mheshimiwa Dr. Slaa kumbe alipokuwa nje ya nchi alikuwa akishughulikia mradi wenye manufaa kwa akina mama na watoto.

Mungu ambariki kiongozi shupavu na mvumilivu.

Rais Kikwete na Dr Slaa Wakiwa Katika Uzinduzi wa Jengo bohari ya dawa CCBRT




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.


IMGS0725.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa kwa Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.


IMGS0729.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na mgahawa.
IMGS0761.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa na mabalozi na watoto wanaopata matibabu wakikata utepe kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid


IMGS0765.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuashiria kufunguliwa jengo l bohari ya madawa huku akishuhudiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa


IMGS0769.jpg

Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa


IMGS0772.jpg

Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa


IMGS0775.jpg

Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa
IMGS0891.jpg

Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo

IMGS0899.jpg

Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo

IMGS0901.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa baada ya kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

IMGS0902.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Bw. Erwin Telemans baada ya kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

IMGS0903.jpg

Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa akimshukuru Rais Kikwete kwa kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

Mbona hakuna ulicho maanisha?
 
Wanasiasa bana!

Wenzangu na mimi mnatoana macho kwa sababu katika majukwaa wanatuaminisha kuna uadui lakini wao peke yao lao moja tu wanasema "siasa sio uadui"! Nakumbuka Rose Kamili kwenye ile Press alivyokuwa anasimulia ukaribu wa Dr Slaa na familia ya Lowassa na kuuliza ni wapi Dr Slaa amepata chuki dhidi ya Lowassa.

Yes, siasa sio uadui.

Slaa ni ndumilakuwili
 
Dr slaa ni mtu anayefundisha vijana wawe na misimamo viva dr slaa
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wee ndiyo umeua kabisa!!

Heri wanao cheka maana watalia na kuomboleza. Huyo alikuwa kwa maslahi ya Taifa sio kama Mbowe au wapumbavu wengine wa Chadema. Pole.
 
Dr. Mihogo kapatwa na nini? huo uvaaji gani huo (.. jeans & shati ambalo halijaona pasi) kwenye shughuli kubwa kama hiyo?
 
Angalia kwa makini Le Profeseri anavyomwangalia Dakta Mihogo akihutubia. Cheki macho ya Kova na akina Sadick. Watakuwa wanacheka kimoyo kimoyo haki anani.
 
Back
Top Bottom