Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

mzee ajifunze kutokea smart kwenye hadhira ya watu!!, mtu anatokea kama ametokea chumbani??

nguo hajachomekea, very dis-organized!




Dr Slaa amekuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa waliofika katika sherehe za uzinduzi wa Jengo la kuhifadhia madawa.

Aidha Dr amesema CCM imefanya mengi mazuri ambayo pongezi nyingi anastahili kupewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Kikwete.

Katika hotuba yake Dr Slaa amesema sasa ni wakati wa Watanzania kuwa makini katika kuchagua viongozi wenye maadili na sio wenye uchu wa madaraka.


Rais

Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa kwa Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw.

Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete viongozi mbalimbali alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wadau alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi wa nchi wafadhili alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mabalozi alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi akiwa ameongozana na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa na mabalozi na watoto wanaopata matibabu wakikata utepe kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuashiria kufunguliwa jengo l bohari ya madawa huku akishuhudiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Sla
 
Watanzania kwa unafki bana, sijui nchi itajukwamua vipi kutoka hapa tulipo. " eti tunataka mabadiliko kutoka ccm" kuna watanzania wa kupima akili.!
 
Hivi tangia Josephine afungie nguo za Dr. Slaa, bwana huyu ameshindwa hata kupata vinguo decent vya mitumba?
 
Dah haka kazee kanapenda urais sana,ona kapambana hadi kaupata japo 'urais' wa CCBRT!
Uroho wa madaraka mbaya sana,naona hapo kafarijiiiiika mwenyewe na Mushumbusi wake.
 
Aisee kweli siasa ni mchezo wa hatari sana, yaani slaa anaonekana kama mjasiriamali aliyepata mkopo
 
uvaaji gani huo? mibwanga kama mcheza shoo wa pepekale!! mi mtu akinivalia hivyo akatoka kwenye issue kubwa hivyo nampa likizo,

hapo ni nje hiyo bukta, boxer itakuwa imepwaya balaa
 
Ivi Slaa kamtambua JK kama raisi wake haaaa haaaa kweli siasa haina rafiki wala adui wa kudumu
 
Back
Top Bottom