900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
iko hai kabisa,nafikiri agombee kupitia ccm itapendeza zaidi,maana wengi mtaan sasahivi wanamtambua mzee slaa kama mccem tuPia anayo ya ccm. Je hiyo ya ccm haiko hai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko hai kabisa,nafikiri agombee kupitia ccm itapendeza zaidi,maana wengi mtaan sasahivi wanamtambua mzee slaa kama mccem tuPia anayo ya ccm. Je hiyo ya ccm haiko hai?
c anakadi ya ccm na iko hai akachukue fomu kupitia ccm akashindanishwe na saa100 kwani lazma iwe chademaactually,
iko wazi tangu mwanzo, kwamba huyu Dr.Slaa ndie chaguo namba moja la chairman wa chadema Taifa, la urais kupitia chadema na hata kibaraka alishaelezwa hilo na akashupaza shingo tu 🐒
Kibabu kina shidaSasa ni rasmi, Dk Slaa bado ni kada wa chadema, kadi yake iko hai na kailipia kwa miaka 20.
Dk akitia jina, Lissu atakumbana na upinzani mkubwa kupata tiketi ya chadema kugombea urais mwaka 2025
Soma Pia: Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania
View attachment 3140042
hataki kushindana anataka Free tiketi na mbeleko ya chairman, kama alivyo kibaraka mlalamikaji na omba omba wa kimataifa anavyotamani kubebwa na chama hata kwenye mambo yake binafsi 🐒c anakadi ya ccm na iko hai akachukue fomu kupitia ccm akashindanishwe na saa100 kwani lazma iwe chadema
na huku no free lunch, slaa kwa sasa niafadhali hata J.biden, labda awe kampeni manager wa Lisuhataki kushindana anataka Free tiketi na mbeleko ya chairman, kama alivyo kibaraka mlalamikaji na omba omba wa kimataifa anavyotamani kubebwa na chama hata kwenye mambo yake binafsi 🐒
ushahidi wa nini kwenye jambo ambalo liko wazi na lililofanyika mchana kweupe gentleman? YAANI mwamba katambilishwa hadharini unataka ushahidi?🤣
ni muhimu sana ukasubiri sasa namna ambayo kibaraka anapigwa chini kwa wakati muafaka na Dr Slaa anakua elevated kama mgombea urasi wa chadema 🐒Hiko taarifa unayo wewe tu?
hawezi kua kampeni manager wa kibaraka ambae ni dhahiri atahamia vyama vingine hivi karibuni 🐒na huku no free lunch, slaa kwa sasa niafadhali hata J.biden, labda awe kampeni manager wa Lisu