Dkt. Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Hayati Magufuli

Daaah! Sijui kwa nini huwa napenda sana kumsikiliza Dr. Slaa akizungumza kama ilivyokuwa kwa JPM sikuwahi kosa hotuba zake.
Huyu ni mwanasisa bora huwezi choka kumsikiliza. ni mwanasisa gani wakumlinganisha nae?
Tumuombe arudi kwenye siasa lakini sio kwamanyumbu ( CDM)
 
Huyu Costa Mahalu, hivi ndiyo yule aliyewahi kuwa Balozi wetu nchini Italy kwenye awamu ya 3, na akaja kushtakiwa na awamu ya 4 kwamba alitumia pesa vibaya? Kabla ya kutetewa na BWM kortini?

Ndiye huyu?
Ndio yeye huyo Mutu ya Vatican
 
Hata Pole Pole na Bashiru wamemkataa
 
Dharau kubwa sana. Wasomi watakaojadili falsafa ya Magufuli ni wasomi wa kiwango cha Musukuma. Bila shaka atakuwepo na Japipo na Kibajaji. Wasimsahau na msomi Kessy toka kule Mpanda.

Siku hiyo wangemruhusu Sabaya naye atoe mada itakayoelezea namna alivyoitekeleza falsafa ya Magufuli kwa vitendo. Bila ya kumsahau Kingai na Mahita.
 
Hili ni kongamano la kujadili mizimu ya jehanamu.

Ni kongamano haramu
Mnateseka sana na shujaa Magufuli.
Magufuli hawezi kusahaulika vizazi na vizazi kwa uzalendo, ujasiri na uchapakazi. Kimwili hayupo nasi ila falsafa zake zitadumu milele.
 
"Wakati wa uchaguzi mwaka 2015, tulisikia CCM ikitumia slogani ya Magufuli for Change huku Chadema ikitumia- Movement for Change, kongamano hili litaenda kutafakari utekelezaji kwa vitendo vya slogan hizo," amesema Profesa Mahalu
Kwa hiyo M4C nayo ilikuwa na serikari yake? hadi kulinganisha utekelezaji wake?
 
Ulitaka wawe ma poropesa hawa hawa wanaodai ng'ombe anakunya kg 25 kwa kutwa?
Bongo bora ukutane na la saba B kuliko hawa wasomi uchwara.
 
Katafute kama ndugu yako alipotea basi itakua yke huyo nduguyo kisha katoe taarifa police
Hawa kenge wanajitoa ufahamu sana. Utasikia maiti kwenye viroba ukiwaambia wataje majina ya hizo maiti au wataje mtu wanaemjua aliyepotea wanatoa mimacho tu.

Ina maana JF yote hakuna aliyepotelewa na ndg yake au jirani yaku atujuze humu?
 
Mtakufa kwa wivu Magufuli ni jabali hatosahaulika huyo ni Mwamba wa Afrika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hawa kenge wanajitoa ufahamu sana. Utasikia maiti kwenye viroba ukiwaambia wataje majina ya hizo maiti au wataje mtu wanaemjua aliyepotea wanatoa mimacho tu.
Ina maana JF yote hakuna aliyepotelewa na ndg yake au jirani yaku atujuze humu?
Tutaje ili iweje?
 
Msukuma nae kawa profesa!
Ama kweli mengi tutayaona!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…