Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hii fungulia thread yakeMlelewa Ubelgiji anatafuta kila mbinu ili aendelee kupewa hela na Amsterdam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii fungulia thread yakeMlelewa Ubelgiji anatafuta kila mbinu ili aendelee kupewa hela na Amsterdam
Its a bouncing back of the Patriots...Watch how it goes!Hamtaweza kuzima falsafa ya magufuli kwa mere accusations.
Hadi mwisho wa dahari
Kwani ubalozi wa kuwakilisha nchi ulisha koma?Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli...
Utamsahau wewe, sisi wengine tume apa kuendeleza legacy yake na huo uwezo tunao, nguvu tunazo na sababu tunazo.Hasara ni kuja kusahaulika kabisa!! Kwa wananchi wengi, kutokana na matendo yake maovu kuwa mengi kuliko mazuri!!unaona kina Mandela , Nyerere, na wengine hawatasahaulika lakini .Na legacy wala haihitaji nguvu kuelezwa bali hujieleza yenyewe!! Na kibaya zaidi kwa njinsi mama anayofanya mengi mazuri ya kuliponya taifa ndio kabisaa, jamaa anazidi kusahaulika!!
Huyu hafai kushiriki amejaa chuki kwa magufuli hawezi kua rational. Kwanza msimamo wake kuhusu magufuli unajulikana.Nashauri Tundu Lissu ashiriki hata kama ni virtually. Hii itasaidia kuweka sawa mzania wa falsafa hiyo ya JPM
Ni pimbi peke yake ambaye anaamini hao uliowataja hawana wa kupinga falsafa zao!Hasara ni kuja kusahaulika kabisa!! Kwa wananchi wengi, kutokana na matendo yake maovu kuwa mengi kuliko mazuri!!unaona kina Mandela , Nyerere, na wengine hawatasahaulika lakini .Na legacy wala haihitaji nguvu kuelezwa bali hujieleza yenyewe!!
Na kibaya zaidi kwa njinsi mama anayofanya mengi mazuri ya kuliponya taifa ndio kabisaa, jamaa anazidi kusahaulika!!
Dah litarushwa live au ??!Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli...
Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea ktk nchi hii.
Viva Dr slaaa!
Mwanasiasa mkweli asiyeyumba wala kuyumbishwa ktk misimamo yake.
Ni pimbi peke yake ambaye anaamini hao uliowataja hawana wa kupinga falsafa zao!
Wa kwanza ambaye humpinga mwl ni Lisu shujaa wako, Jpm anapingwa na mamia ya watu na anakubalika kwa Mamilioni ya watanzania
Cdm ilibebwa na Slaa ndio maana Dr alipoachana na wahuni CDM yeye heshima yake kwenye jamii ikazidi kuwa ni yakutukuka na CDM ikafa kifo cha mendeHana mvuto kwa sasa, nyota anayotaka kutembelea kwenye hilo kongamano ni aliyotoka nayo cdm. Toka ajiunge ccm nyota imefubaa.
Dah!...Kweli nguvu yote ile Jiwe leo anatetewa na watu dhalili kama akina Slaa na Shibuda?
Nasikia mwenezi anazibuliwa sio kwa mkorogoKwa hiyo mwenezi haendi?
Watasherehekea nilioua ndugu zao, kama nikifanya hivyoNa wewe jiandae kuliwa!! Unasheherekea sehem ambayo wote tutaenda
Hili ni kongamano la kujadili mizimu ya jehanamu.Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli.
Kongamano hilo litakalofanyika Ijumaa Machi 25, mwaka huu katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya tafakuri ya miaka sita ya utekelezaji wa falsafa aliyoitumia hayati Magufuli wakati akiomba ridhaa ya kuiongoza nchi 2015.
Akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake, Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT) Mwanza, Profesa Costa Mahalu ametaja wazungumzaji wengine katika kongamano hilo kuwa ni Mbunge Mstaafu wa Bariadi Mashariki, John Shibuda na Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma.

Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Mwanza.
Wengine ni wahadhiri na watafiti wabobezi wa Historia na Uchumi katika chuo hicho, Profesa Mihanjo Eginald na Dk Anne Gongwe.
"Wakati wa uchaguzi mwaka 2015, tulisikia CCM ikitumia slogani ya Magufuli for Change huku Chadema ikitumia- Movement for Change, kongamano hili litaenda kutafakari utekelezaji kwa vitendo vya slogan hizo," amesema Profesa Mahalu
Profesa Mahalu amewaomba wasomi, wanataaluma na watanzania kujitokeza kwa wingi katika kongamano hilo ili kutoa mchango wao wakati huu ambao nchi inafanya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha Hayati John Magufuli na mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.