Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamtaweza kuzima falsafa ya magufuli kwa mere accusations.Rubbish! Tunataka kujua maiti za kwenye sandarusi zilikuwa za akina nani
Mnajadili falsafa za Magufuli fo change VS Movement for change huku mmejaza mashabiki wa upande mmoja?Itakuwa hot sana ila wangekaribisha na critics wa JPM ili tusikie hoja za kina pande zote. John Heche, Ezekiel Wenje au hata Lissu awakilishe on line.
Ni vizuri wasomi wakajadiliana kisomi bila ushabiki kama tulivyo wafuasi na wapenzi wa vyama.
WANGELIPELEKA Umoja wa MATAIFAWamechaguliwa kuwa wazungumzaji wakuu na maalumu labda kwa sababu ni wanasiasa wanaounga mkono legacy ya alizoacha hayati JPM
Dk Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Magufuli Mwanza Dk Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Magufuli
😄WANGELIPELEKA Umoja wa MATAIFA
Magufuli ana hasara gani wew ni mjinga kweliMasikini Magufuli, hakuna hata intellectual wa maana anayemshobokea kuhusu legacy yake
Ni hao watu wa ukanda wake tu, eti Musukuma na Shibuda
Itakuwa kufuru kwa JPM ambaye alikuwa hapendi mijadala yoyote ya kumkosoa zaidi ya mapambioItakuwa hot sana ila wangekaribisha na critics wa JPM ili tusikie hoja za kina pande zote. John Heche, Ezekiel Wenje au hata Lissu awakilishe on line.
Ni vizuri wasomi wakajadiliana kisomi bila ushabiki kama tulivyo wafuasi na wapenzi wa vyama.
Wafuasi w mwendazakeee, aisee mna hasira sanaMaiti zilikuwa za mas-*hoga wenzio na mberigiji a.k.a chiba
Wana bahati hawa , Samia ni mvumilivuZama za Dr. Slaa zilishakwisha kitambo sana. Hajui anasimamia nini kwa sasa, yaani ni kama popo. Sio mtu sahihi kuwa katika hilo kongamano kama mzungumzaji. Kifupi anatafuta political attention ili aweze kurejea kwenye siasa za Tz...
🤣🤣🤣 Utaita sana gaidi ila ndio hivyo tena,Kama gaidi vile
Kweli nimekumbuka kumbe keshaliwa na funza...wafuasi wake ndio wana sonona
Mtu mwenye laana hajifichi,Rubbish! Tunataka kujua maiti za kwenye sandarusi zilikuwa za akina nani
Wewe unaepinga legacy ya magufuli hutoenda?,Wamechaguliwa kuwa wazungumzaji wakuu na maalumu labda kwa sababu ni wanasiasa wanaounga mkono legacy ya alizoacha hayati JPM
Dk Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Magufuli Mwanza Dk Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Magufuli