Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, mtu wa ajabu ajabu, anayosema hayana kichwa wala mkia, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Your browser is not able to display this video.
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dr Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dr Slaa nae arudisha mawe...
Dr Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa nyumbani kwake na ma defender ya RPC, Slaa kasema yuko ka chill kwake hakuogopi... au kula matapishi ya biti zako ulizozichimba...
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dr Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dr Slaa nae arudisha mawe...
Dr Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizozichimba...
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dr Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dr Slaa nae arudisha mawe...
Dr Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
makes you wonder, is this administration really serious about anything ? mtu kama Chalamila ameletwa kwenye jiji la Dar kwa nini ?????
Samia anasema yeye haongei, haumi kama Simba wa Yuda (Magufuli), kama kweli wewe hizo sio dizaini zako kwa nini unatupachikia fire cracker kama Chalamila, wa nini ?
ili Chalamila apige biti kwa niaba yako na wewe upambwe kama Mama mzuri, mpole, ndio drafti unalocheza hilo ???
and you wonder, is this administration really serious about anything ? mtu kama Chalamila ameletwa kwenye jiji la Dar kwa nini ?????
Samia anasema yeye haongei, haumi kama Simba wa Yuda (Magufuli), kama kweli wewe hizo sio dizaini zako kwa nini unatupachikia fire cracker kama Chalamila, wa nini ?
ili Chalamila apige biti wewe upambwe kama Mama mzuri, mpole, ndio drafti unalocheza hilo ???
Na pia ukiwa mzee hustahili kuwa mnafiki. Unatakiwa utoe kauli zilizo nyoka. Chalamila is not a leader, ni comedian. Lakini kwa sababu nchi hii wale watu wa ajabuajabu, ndiyo wanaokuwa viongozi, basi na yeye yupo hapo.
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dr Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dr Slaa nae arudisha mawe...
Dr Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...