Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Baada ya RC Chalamila kumtisha Dr Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dr Slaa nae arudisha mawe...

Dr Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari





Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...

Mshaurini huyu Dr.Mihogo,uzee unakompeleka ni kubaya,sijui Kwa umri wake kama ana jipya..

Eti hamuogopi hivi hata Kwa ngumi za live huyo si atakaushwa fasta? Afanye kazi wanazofanya mwenzie kina Mzee Mpili.
 
Huyuu mzeee baaada ya kuacha KAZI ya mungu, Kwa Sasa anahitaji uangalizi wa Hali ya juuuu
Hayo ya Dr Slaa na Mungu wake hayatuhusu, sisi tunapinga mkataba, na wala Slaa hahitaji uangalizi wa chochote, huwezi kum tarnish.

Going as far back as the days of Abdallah Fundikira, Kassanga Tumbo, Eli Anangisye, ukitaja watu watano waliotikisa dola katika historia ya upinzani na mawazo mbadala ya nchi hii Dr Slaa yumo.

Chalamila ana jeshi la polisi kanda maalum, Kikwete na Magufuli walikuwa na Jeshi la Wananchi na Usalama wa Taifa, wakashindwa fupa la Slaa, Chalamila analiwezaje?
 
Mshaurini huyu Dr.Mihogo,uzee unakompeleka ni kubaya,sijui Kwa umri wake kama ana jipya..

Eti hamuogopi hivi hata Kwa ngumi za live huyo si atakaushwa fasta? Afanye kazi wanazofanya mwenzie kina Mzee Mpili.
Wakisimama mtu mbili ulingoni RC anavhapwa ko hamna Nguvu mle ni Mkangafu mtupu😄😄

Slaa ni sampuli ya Nyaucho usimchukulie poa!
 
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...

Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari





Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...

🤣🤣🤣🤣🤣 Kazi imeanza!!
 
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...

Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari





Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...

Huyu mzee anazeeka vibaya kwa kuanza kutukana viongozi wa kiserikali.
Namuomba RC Albert ampuuze huyu mkimbia upadre kwa maslahi binafsi.
 
Unayetafuta kiki ni wewe, au yule mjinga mwenzako aliyemtisha Dr. Slaa.

Demu wa Dr. Slaa wa nini? au unataka ile nafasi? kumbe bibi bado una nguvu!.
Yule ndiye alienda nae Israel mwaka alioweka post namba 1.

Akitukanwa kayataka mwenyewe. huyo anafikiri akipiga kelele atanyamazishwa kwa pesa. Hiyo zamani ilikuwa wakati wa mwendazake siyo sasa.
 
Back
Top Bottom