Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...

Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari


View attachment 2670137

Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
Ha ha ha !
Pimbi kanunua kesi
 
Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.

Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Aisee?! Umefikia huku wewe hajat? Kweli una maslahi mapana na awamu ya sita.
 
Chalamila kwa taaluma ni wale watani zake Mpwayungu.

Labda wale waliosoma Mwakavuta Sec-Makete miaka ya 2000 watuambie!

Kama hakufundisha Civics basi ni History au Kiswahili.
 
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...

Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari


View attachment 2670137

Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi

Mbowe atamsaidia!
Naona slaa anaanza kujitengenezea umaarufu upya sasa anataka kumfunika lissu
 
Back
Top Bottom