Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tugawane mawe na matofaliTumeshakuwa mnara wa babeli
Nimemuuluza kwa sababu mleta mada jataja safari ya telaviv, kautana na Rostam. Slaa na Mshumbusi walikwenda huko "kuhiji". Nimeunganisha dots, mlera mada ni Slaa mwenau Mashumbusi.Unayetafuta kiki ni wewe, au yule mjinga mwenzako aliyemtisha Dr. Slaa.
Demu wa Dr. Slaa wa nini? au unataka ile nafasi? kumbe bibi bado una nguvu!.
Kwa Dr. Slaa kumuita huyo comedian mjinga fulani, amegonga kwenye kichwa chenyewe.Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
View attachment 2670137
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
We ndo umechanganyikiwa na una akili kama za chalamila.Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvunja mkono bado anae? mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Twende kwenye hoja ya DP world na uuzwaji kwa waarabu.Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvunja mkono bado anae? mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Zamani nilijuaga Waarabu woote ni waisalam hivyo niliamini hawana Dhulma mpaka nilopoona hawa wanaokuja kudhulum Bandari yetu.Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvunja mkono bado anae? mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Kwa hyo huyo chalamila ndo unamuona anazo za kumtosha kichwani?Si public figure, na mbona mpaka picha zke za kuumizwa mkono zilikuwepo, akavunga kadondoka badu.
Hata hapa JF alikuwa anaingia tunampa zake. Hana ujanja huyo.
Sana tena, wewe una kipi cha kushindana nae? Ushawahi kuwa hata monitor darasani?Kwa hyo huyo chalamila ndo unamuona anazo za kumtosha kichwani?
Kama ndo unavyomuona basi nina wasiwasi na ubongo wako
Naungana na dokta mihogoBaada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
View attachment 2670137
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
personal attacks haziruhusiwi hapa JF. Naona tujikite kwenye hoja kuhusu kuuzwaji wa Bandari yetu ya salama.Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvunja mkono bado anae? mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Wipyatyila helaNavalonge swela
Chalamila anajielewa sana .msomi na smart...sema ni comedian tuKwanini Dar hatakiwi mkuu wa mkoa anayejielewa?
Angalia hii list
Makonda
Kunenge
Makala
Chalamila
Ni Bora hata tukae bila mkuu wa mkoa.
Sawa lakini kazi kama hizi waachiwe makada kama wabunge, katibu mwenezi na Katibu Mkuu wa chama husikaKwa mfumo tulio nao ukishakuwa mkuu wa mkoa tayari wewe ni mwanasiasa wa ndani kabisa.