Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Dr Slaa hajawahi kuyumba Ila wew ndo hujajua Tu dunia ilipozunguka wew ulihama kwenye point ulipokuwa umesimama hukukua yeye alibaki pale pale
Alitakiwa aukatae ule uongozi aliopewa, hiyo ingempa credit kubwa sana
 
Huyo babu angerudi tu Canada Kwa mchumba wake, babu anaongea kama kibogoyo, si asitaafu tu siasa!!
 
Mzee Slaa bwana!!
ila haipendezi kwa mzee kutoa matamshi ya dharau na matusi.
uzee ni heshima na busara sio kutoa lugha chafu.
Huyu Dr Slaa nilimshauri toka kwanza aige mfano wa kina mzee Malechela wameshastaafu na wamekaa kimya ila kama kuna jambo ndio utawasikia wakiongea tena kwa hekima kubwa, narudia tena Dr Slaa achana na vijana watakuvunjia heshima yako na pengine wanakujua kuliko unavyo jijua wewe mwisho wamesha anza kutoa aibu zako ambacho sio kizuri kwako.
 
Kuwa na heshima sio kumheshimu mjinga, ni kumwambia ukweli.
VIONGOZI WAJINGA WAJINGA LAZIMA IFIKE MAHALI TUWAAMBIE WAJUE KWAMBA NI WAJINGA.

TUSIENDELEE KUWAPAKA MAFUTA KWA MIGONGO YA CHUPA.

TUMECHOKA KUONGOZWA NA VIONGOZI WA HOVYO; WAJINGA, MBUMBUMBU N.K

MZALENDO WA DHATI KWA NCHI HII HAWEZI KUSHADADIA MKATABA MBOVU NA WENYE MASHARTI YA KIPUMBAVU PUMBAVU KAMA WA DPW..

TUMESHACHOKA SISI.

HONGERA SANA DK. SLAA KWA KUSEMA UKWELI.
 
VIONGOZI WAJINGA WAJINGA LAZIMA IFIKE MAHALI TUWAAMBIE WAJUE KWAMBA NI WAJINGA.

TUSIENDELEE KUWAPAKA MAFUTA KWA MIGONGO YA CHUPA.

TUMECHOKA KUONGOZWA NA VIONGOZI WA HOVYO; WAJINGA, MBUMBUMBU N.K

MZALENDO WA DHATI KWA NCHI HII HAWEZI KUSHADADIA MKATABA MBOVU NA WENYE MASHARTI YA KIPUMBAVU PUMBAVU KAMA WA DPW..

TUMESHACHOKA SISI.

HONGERA SANA DK. SLAA KWA KUSEMA UKWELI.
Waache wengine ambao maisha yao na familia zao ni bora kupita maslahi mapana ya nchi, waendelee kuogopa kusema ukweli hata kama nchi inapigwa mnada
 
Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...

Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari


View attachment 2670137

Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
===
Dr Slaa amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hajui sheria wala haki zake, na amesema hatishiki kwa maneno aliyoyasema kwa kuwa anajua haki na sheria za nchi
Ameshaonywa huyu Mzee Slaa. Hawa wanasiasa vijana hawachelewi kumchafua na akaanza kuchezea virungu wakati kichwa kimeshajaa mvi.
 
Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.

Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Nje ya mada!
 
Ameshaonywa huyu Mzee Slaa. Hawa wanasiasa vijana hawachelewi kumchafua na akaanza kuchezea virungu wakati kichwa kimeshajaa mvi.
Atachezea virungu?

Bado mnaongea vitisho wakati mzee kasema yuko kwake ka chill ???

Dr Slaa has a ball and half, sio wa kutishwa na RC, tena Chalamila of all the people, Slaa alipanda kwenye uwanja wa mpira uswahilini kweupee, Mwembe Yanga Temeke, akawasamburua mawaziri wakuu na amiri jeshi na wakuu wa itifaki na usalama wa taifa, sembuse RC Chalamila ? Give me a freaking break....
 
Back
Top Bottom