Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

Nchi hii kila mwanasiasa anayo bei yake, duniani pote ni binadamu wachache sana wasioweza kununulika.
 
we unadhani uko na mapoyoyo kama mlivyo kwenye ukoo wenu.Shit
Naona umeghadhibika, jibu maswali:

Sana tena, wewe una kipi cha kushindana nae? Ushawahi kuwa hata monitor darasani?
 
Mzee, Dr Slaa wiki hii katrend sana hapa JF. Naogopa asije akapata shinyikizo la damu. iLA NAMUOMBA APUMZIKE NA hizi pres kwa faida yake mwenyewe. Du, mara hii kamvaa Chalamila, Mmmmm haya mi sina neno. Ila kusema kweli Dr kaangukia pabaya.
 
Dr Slaa kawageuka CCM pamoja na kula ugal wao uko ubalozin
 
Kwanini Dar hatakiwi mkuu wa mkoa anayejielewa?
Angalia hii list
Makonda
Kunenge
Makala
Chalamila
Ni Bora hata tukae bila mkuu wa mkoa.
Ongeza; marope: Huyu je, alikuwa anajielewa?
 
Hizo
Dr Slaa kawageuka CCM pamoja na kula ugal wao uko ubalozin
Hizo kelele ni za kutafuta atupiwe ulaji, kama ilivyokuwa kwa yule aliyepewa ubalozi malawi na sasa yupo kuba.
 
Huyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.

Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvunja mkono bado anae? mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Toa utaahira wa ukoo wako hapa,huyo mama ana uhusiano gn na dpword?,
 
Kumwita kiongozi mkuu wa mkoa aliyeaminiwa na mhe. Rais baada ya kufanyiwa vetting ya kutosha ni tusi kubwa sana. Slaa analazimika kumwomba radhi RC Chalamila.
Kwa kawaida kiongozi mjinga huteua wajinga wenzie,sio bahati mbaya chalamila kuwa rc dar
 
Na pia ukiwa mzee hustahili kuwa mnafiki. Unatakiwa utoe kauli zilizo nyoka. Chalamila is not a leader, ni comedian. Lakini kwa sababu nchi hii wale watu wa ajabuajabu, ndiyo wanaokuwa viongozi, basi na yeye yupo hapo.
Sema wanakuwa wakuu wa mkoa Dar slam; atumike vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…