Tetesi: Dkt. Slaa na wenzake huenda watazuiliwa makwao ili wasifanye mkutano

Tetesi: Dkt. Slaa na wenzake huenda watazuiliwa makwao ili wasifanye mkutano

Kabla ya kunyang'anywa tonge mdomoni👇😁😁😁

Baada ya kunyang'anywa tonge👇🤡🤡🤡
 
DP World wakidhubutu kupora hata sentimeta moja ya eneo la bandari zetu wajue tutakufa nao.

Akionekana mwarabu karibu na bandari ashambuliwe kwa mawe na mayowe.

Enyi wafanyakazi wa bandari. Gomeni mara moja na kuweka vizuizi mizigo isishuke mpaka mkataba ufutwe.
Duh

Ova
 
DP World wakidhubutu kupora hata sentimeta moja ya eneo la bandari zetu wajue tutakufa nao.

Akionekana mwarabu karibu na bandari ashambuliwe kwa mawe na mayowe.

Enyi wafanyakazi wa bandari. Gomeni mara moja na kuweka vizuizi mizigo isishuke mpaka mkataba ufutwe.
Kijana jiangalie sana bandali tunachukua na Ole ataetupa mawe tuna KY nyingi
 
Duru za kinyeti zinatabanaisha, huenda Dkt. Slaa na wenzake wakazuiwa kwenda kuongoza mkutano waliouitisha kwa ajili ya kujadili suala la MKATABA wa BANDARI.

Nukuu:

"....Mkutano wao kina Dk Slaa sidhani kama utaruhusiwa na wakubwa. Yapo maelekezo japokuwa hayajawa bayana mkutano ule uzuiliwe kwa eti sababu za kiintelijensia.

Mkubwa mmoja amependekeza siku ya mkutano ima wazuiliwe makwao ama wakamatwe kwa mahojiano hadi mda wa baadae sana ili kutaniko lile lisifanyike.

Na Msajili ashapewa maelekezo ya kuzuia pia endapo hayo yote yasipowezekana.

Na, huenda hata mikusanyiko ya mikutano ya hadhara ihusuyo siasa, itazuiliwa baada ya Katibu mkuu wa CCM kumaliza ziara yake kwa kisingizio cha matishio ya ugaidi hasa Mbeya na Arusha."

Duru.
Wawaache tu then wakifika kwenye mkutano wawachape virungu na hasa mbowe apigwe mpaka avunjwe kiuno
 
Ccm iliondoka na Nyerere watz Bado wanakumbatia Chama kilichopitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom