Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake


Mtu mzima akili mtoto
 
CHADEMA ilipoteza muelekeo uyu mzee alipokiacha chama Sasa wamebakia wahuni wahuni na program zao cha upato wa changia sijui mawakili, sijui makamanda yani janja janja tu na matusi
Utakubali kuwepo tume huru ya uchaguzi 2025?
 
 
Mtu illiterate anaongoza chama tangu mwaka 2003 hadi leo....halafu mnashangilia tu.
haalafu eti wanajiita chama cha Demokrasia Chadema!!!

matokeo ya kung'ang'ania uenyekiti akaanza kukitumia chama kafanya mambo ya kihalifu na hatimaye ameangukia kwenye mokono ya dola.
 
Sasa mzee wetu akisikia na hii yaJoinTheChain si atazimia kabisa.
 
Kuishi bila kupigana vita ya kuwa na kipato huru huwa inaleta laana.Imagine kizee kama hiki kinapambana ili kipate teuzi kiweze kupata ugali.

I gonna risk everything to posses my own stream source of income.Haya maisha ya kuja kuongea pumba uzeeni ili niweze kuishi siyawezi.
 
Kuishi bila plan ndiko huku sasa @70+ age bado unaishi kwa kutegemea teuzi ili utibu njaa..
 
Huyu anatafuta kukumbukwa katika uteuzi Ubalozi umeisha, mke kapokonywa. Hivi kwani kesi ikiwa mahakamani inafanya watu wasiwe na uwezo wa kupembua kama mtu ana hatia au la. Mahakama ni kweli ina dhamana ya kutoa hukumu lakini haizuii wananchi kuchambua kesi kwani sio mahakama pekee yenye uwezo wa kudadavua kesi.

Hata mimi japo siipendi CHADEMA na siiungi mkono hata kidogo lakini katika kesi hivi kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa na cross examination iliyofanywa naamini kabisa Mbowe na wenzake hawana hatia.
 
Nakumbuka kwa stage aliyofikia slaa ya upadri, na akauacha wanasema mtu huyu ahaminiki, hivyo simshangai!
 
Mmhhh mbona kama mkao wa mkono wa kushoto wa huyu mzee sijauelewa hivi!!? Au mzee ako na tatzo kiafya labda?
 
Tangu tumchukue CHADEMA imepoteana imekuwa kinara wa michango kuzidi vikundi vya kufa na kuzikana mitaani kwetu🤪

Utakuwa kijana wa juzi basi,kwani Bingwa wa michango ni nani kama siyo CCM.
Mpaka Mbio za Mwenge tumechangia sana tena kwa lazima.

Hivi Viwanja mnavyoita vya CCM kila Mkoa tumechangia sana ni nguvu za Wananchi mpaka kufikia hapo.
 
Pamoja na kupewa ubalozi nongwa imejaa roho mwa mtumishi a bwana
 
yana mhusu kwa sababu DR.Slaa ni mzalendo wa kweli, anaipenda nchi yake sio kama Mbowe mhalifu na msaliti mkubwa kwa nchi.
mbowe ange kuwa raia wa china unajua nini kingemtokea.
Yeye ni mwanaCCM, Mbowe ni Chadema. Sasa mambo ya Chadema na Mbowe ni ya nini kwake?
 
Mchumia tumbo tu,,, hana lolote...

Halafu kuongea wakati wa kula sio adabu... Atakuja akosee kama ndugai aanze kulaumu watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…