Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Hayo yamepita tugange tuliyonayo na yajayo sasa.Tuwaombee Mwenyezimungu watoke salama.Nakila aliehusika na ushenzi ule Mungu umuadhibu vikali bila huruma.Hata kama ni baba au mama!
 
Kuna mengi mazito hatukuyajua , Mungu ameanza kutufunulia japo kuna ambao waliyajua kutoka awali lakini kwa kuwa walikuwa wanufaika wakaamua kukaa kimya.

Hatimaye muda ni msemakweli
 
Anamjua Mbowe
 
Kuna mengi mazito hatukuyajua , Mungu ameanza kutufunulia japo kuna ambao waliyajua kutoa awali lakini kwa kuwa walikuwa wanufaika wakaamua kukaa kimya.

Hatimaye muda ni msemakweli
Tulikuwa nyumbu kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…