Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Wafuasi wa Mbowe hamna budi kumheshimu sana Dr. Slaa, maana yeye na Lisu ndio walio kijenga chama.

Mboe yeye alikuwa mpiga debe tu lkn mipango makini ya kisiasa ilisukwa na Dr.Slaa. Tuache bangi pembeni tuwe wakweli.

Dr. Slaa anamjua ndani nje mzee Mbowe, mikakati yake yote ya kihalifu anaijua.
 
Slaa domo kubwa kama shimo la Choo. Kama kimya
 
AHAAA! KUMBE! NIMEKUMBUKA. HUYU NDIYE ALIYEKUWA DR. SLAA
 
SASA KAMA ALISHAKIMBIA YA MBOWE YANAMHUSU NINI?
yana mhusu kwa sababu DR.Slaa ni mzalendo wa kweli, anaipenda nchi yake sio kama Mbowe mhalifu na msaliti mkubwa kwa nchi.
mbowe ange kuwa raia wa china unajua nini kingemtokea.
 
Wewe ulitaka aondolewaje?

Kama Katambi!!!
Hayo ni ya kwako , Chadema haiwezi kuhujumiwa na TISS , hii ni kwa sababu Chadema ni zaidi ya hao mamluki , ndio maana leo bado iko juu na wanachama zaidi ya 12mil , fuatilia ujenzi wa ofisi za Baraza la Maaskofu Kurasini , utayajua mengi kuhusu huyo Mzee
 
 
Dr, Dr, Dr Tlaa. Unataka kutufundisha uoga?Yaani,unawezaje kuitenganisha kesi ya Mh. Mbowe na siasa wakati sote tukifahamu kuwa hata walioifungua wanatambua kwamba nia ya kesi ni kukidhoofisha harakati za kudai Katiba mpya,CDM na Mwenyekiti wao?

Je, Dr haufahamu kuwa hamu kubwa ya CCM yako ni kuifuta CDM ili wao wajinafasi? Je, haufahamukwamba wewe binafsi 2010 uliporwa urais?Hata 2015 Lowassa alishinda urais na tena 2020 Lissu naye alipoporwa wewe haufahamu!

Haikosi kuna tatizo,labda Dr umedukuliwa akili!

Wananchi/Wana CHADEMA wana haki ya kudai kwamba Mbowe siyo gaidi hadi mahakama itakapothibitisha vinginevyo.Hakuna namna ya kutenganisha kesi hii na siasa.

Natarajia Dr ujiunge na chain, ulishavuka kikwazo cha uoga na hofu.CCM hawatakufanya lolote, sikia kilio cha Watanzania wenzako. Tunataka Katiba mpya.
 
Wabulu siyo watu wa kuamini hata kidogo, Slaa kalelewa na Mbowe lakini kamgeuka ni kama dada ake Paulina na wengine
Wana misimamo vibaya sana, fuatilia siku alijiuzulu, hadi barua ilivochanwa na Prf. Safari.
 
Dr. Slaa
Dr. Mashinji hawa wote walikuwa watendaji wakuu wa CDM, awanajua mikakati yote ya siri iliyo kuwa ikiratibiwa na Mbowe dhidi ya Serikali.
Kwani ndo maana tulituma Takukuru kumchunguza Mbowe pamoja na Chama chao vipi walikuja na majibu gani kwani ni muda sasa.
Kudhibitisha tuhuma ndo mtu hupata hoja kwani hoja hujibiwa kwa hoja ndo afya siasa sio maneno matupu
 
Kwavile amestaafu siasa achane na mambo yanayohusisha siasa ili alinde heshima kubwa ambayo wengine tumeijenga kwake kwa miaka mingi.

Kwa level yake ajue kila tamshi lake litapimwa kwa uzito ule ule.
 
Duh, Wilbroad Slaha huyu! Mtu mwenyewe hajisimamii bali husimamiwa na wananwake anaowatongoza. Katika maisha yake yote Wilbroad Slaha hakuwahi kufanya uamuzi isipokuwa kwa chagizo za wanawake. Josephine Mushumbusi ni mwanamke aliyemrubuni Wilbroad Slaha kuhamia CCM baada ya kukosa nafasi ya kugombea urais wa JMT (2015) kupitia Chadema. Mushumbusi mwenyewe alirubuniwa na Bernard Membe baada ya kuingizwa kwenye orbit ya Membe ya kugombea urais (2015), akipewa mtaji, kuliwa na kuanzishiwa biashara ya kagugu Guangzhou - Dar es Salaam. Inasikitisha kuona tena Josephine amemkimbia Wilbroad Slaa na kuolewa na mwanaume mwingine huko Canada. Huyo ndiye Wilbroad Slaha. Rose Kamili mwanamke aliyemzalisha watoto watatu na kisha kuwatelekeza alisaidiwa na mwendazake kwa kumrubuni arudi CCM. Wilbroad Slaha hana integrity kabisa. Ni chawa kama chawa wachumia tumbo wengine.
 
Sasa Saiv atapewa cheo gani jameni?? Yeye amekaa siku moja akiwa Katibu Mkuu alisema Kesi ya Lwakatare ni fake...
 
Fuatilia vuzuri ndo mtetee Dr. kwani Mbowe kwenye siasa za hapa Tanzania hakuna wa kumfananisha naye lile la kweli litakuweka huru.
Unataka kulazimisha yaakuwa Mbowe hakumshawishi kujiunga na Chadema hivi ni kiongozi gani wa upinzani anaweza kutoka Tanzania na kwenda Uingereza kumshawishi mtu arudi tanzani kujiunga na chama cha siasa yaani Chadema kwa garama zake mwenyewe na huyu sio mwingine ni Dr. Kaburu kwa hiyo Mbowe ni zaidi ya mwanasiasa.
Jibu rahisi sana angalia ile clipu aliyoongea siku ya uhuru pale Magufuli alipompa nafasi ya kutoa neno kujambo utalipata kwake alafu wangalie viongozi waliokaa pembeni yake yaani Cheyo na Lipumba
 
YAANI CHOO KIMEJAA MAVI MNAYATOA CHOONI MNAYALETA CHUMBANI MNAMOLALA.( Maneno ya Dr. Slaa)
Huyu mzee kama Chadema wangemjua sidhani kama wangempoteza kwa utamu wa BiG hakika huyu ndiyo Kibwetere wa Chadema. Ni Padri ambaye anakumbuka hata uchungu akiwa darasa la 3 hakika Chadema huyo ni Putin wenu mnalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…