Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Kwani ndo maana tulituma Takukuru kumchunguza Mbowe pamoja na Chama chao vipi walikuja na majibu gani kwani ni muda sasa.
Kudhibitisha tuhuma ndo mtu hupata hoja kwani hoja hujibiwa kwa hoja ndo afya siasa sio maneno matupu
akijibu nistue
 
Kwavile amestaafu siasa achane na mambo yanayohusisha siasa ili alinde heshima kubwa ambayo wengine tumeijenga kwake kwa miaka mingi.

Kwa level yake ajue kila tamshi lake litapimwa kwa uzito ule ule.
Kwi Kwi Kwi Kunguru hafugiki
 
umetoka povu jingi
 

Mbowe sio gaidi
 
ni kosa kubwa kumlinganisha mbowe na Dr. Slaa.
1. Elimu tu hawalingani, yaani unataka kumfananisha Dr. na Mbowe aliye feli form 6?!!
huo ni ukosefu wa adabu, tafkari upya.
ujanja ujanja wa kuongea mboe anao...ni mtu wa kutaka na yy aonekane kasoma lkn bahati mbaya hana elimu.
ujanja wa kuongea tu kila mtu anao.
 
I don’t like to take sides ,lakini huyu mzee amekosea sana
 
Nimefutiwa comment yangu.

Huo ni uchuro mambo yakufutiana comments.

Kwanini mnafuta?

Mna watu humu kazi yao nikumtukana mbowe kwa maneno kibao ya kumvunjia heshima tukisema sisi mnafuta tunayoandika.

Dokta sila ni mjinga kabisa asifanye ujuaji kama anakereka ajitunge tu.

Na nyinyi mnaofutafuta mjiangalie nitawapiga kipapai.
 
Chama cha upinzani pekee kinacho ongozwa na mwenyekiti aliye feli form 6 ni Chadema.
karne hii ya 21 mnaongozwa na form 6 failure!! ni aibu kubwa.
ndio maana aliamua kutumia mipango haramu ya kuihujumu serikali....hiyo inadhihirisha ukosefu wa maarifa/Elimu ya kutosha.
ukisikiliza tu ushahidi ulio tolewa dhidi yake utagundua kweli huyu jamaa hana elimu.
ukosefu wa elimu ndio umemfikish hapo kwa kufanya mipango ya kijinga kabisa.
 
Kipindi anakula alikuwa kimya kastaafu ndo anaongea.
Muulizeni Josephine mushumbushi hajambo?
Akijibu nitag
 
Dr. Slaa
Dr. Mashinji hawa wote walikuwa watendaji wakuu wa CDM, awanajua mikakati yote ya siri iliyo kuwa ikiratibiwa na Mbowe dhidi ya Serikali.
Na mmefaidika nini na wao kujua siri za Mbowe? Au nao walikuwa watoe ushahidi kwenye kesi ya ugaidi?

Amandla...
 
Uko sahihi kabisa. Ndio maana aliweka bajeti ya shilingi 600000 za kupindulia nchi. Na alijua ataweza kulipua kituo cha mafuta bila explosives. Na mbaya zaidi alijua akipanga magogo Morogoro road, nchi itakuwa ya kwake!

Amandla...
 
Kwani ni Balozi wa nchi gani tuanzie hapo kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…