ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Hata huyu alipeleka porojo nyingi kweliKila mtu aliyetoka CDM mlisema ana siri nyingi sana za chama. Lijualikali alitangaza utayari wake wa kutoa ushahidi kuhusu maovu ya CDM na Mwenyekiti wake. Bado tunasubiri. Mnachosha sana.
Amandla...
Mbona unateseka sana.au unadhani bado kuna wajinga wakusikiliza propaganda mfu.Chama cha upinzani pekee kinacho ongozwa na mwenyekiti aliye feli form 6 ni Chadema.
karne hii ya 21 mnaongozwa na form 6 failure!! ni aibu kubwa.
ndio maana aliamua kutumia mipango haramu ya kuihujumu serikali....hiyo inadhihirisha ukosefu wa maarifa/Elimu ya kutosha.
ukisikiliza tu ushahidi ulio tolewa dhidi yake utagundua kweli huyu jamaa hana elimu.
ukosefu wa elimu ndio umemfikish hapo kwa kufanya mipango ya kijinga kabisa.
Hili chala linaloitwa mahakama inabidi lifumuliwe....Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Balozi Dkt. Wilbrod Slaa amekiri kuudhika na maneno kuwa 'Mbowe si gaidi' ambayo hutolewa na baadhi ya wananchi kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Amesema wananchi wanatakiwa kuiachia mahakama ambayo ndio chombo cha haki.
“Katika masuala yaliyoko mahakamani ninaona kwanza kuna sura inatumika, kwenda kule Mahakamani kama sehemu ya siasa kitu ambacho mimi sikubaliani nacho.
“Hivyo sijaenda kwa kuwa ni kitu ambacho sikubaliani nacho, sikubaliani na principal ambayo inatumika, mnaenda kule kisha mnaanza kujipiga picha na mpo kwenye mitandao, hiyo ni siasa, mimi sichezi hizo siasa.
“Mimi nikiamua kumtembelea Mbowe nitaenda nyumbani kwake, sitaki kufanya kitendo cha Mbowe kuwa gerezani kuwa siasa, kama ni kumuombea nitauombea kwa nafsi yangu.
“Niliudhika tangu siku ya kwanza na yale maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema Mbowe siyo gaidi?
“Wanatakiwa kuachia chombo cha haki kitoe maamuzi siyo wananchi.
“Lakini sina chuki na Mbowe wala sina uadui, nimeshakutana na Mbowe mara kadhaa airport, tukakumbatiana, tukabadilishana namba japo hakuna aliyempigia mwenzake,” anasema DK SLAA.
Source: MwanaHalisi
Kwani kaondolewa ubalozi?Huyu mzee nongwa linamkaba mnoo kwenye koo.
Inamaana mpaka sasa serikali bado tu haijamlipa pension yake?
Kumbe aliacha upadri kwa sababu anajitambua! Unataka kutuambia aliona dini ni ubabaishaji.Dr. Slaa anajitambua sana ndio maana alimkimbia Mbowe na genge lake la kihalifu.
Dr. Slaa ana siri nyingi sana za huyu gaidi.
Alikuja kuharibu pale alipokuja kumpata kimada (mke wa mtu)! Kuanzia hapo ndipo alipoanza kupelekeshwa kama gari bovu na huyo mwanamke.
Wajitoa ufahamu? Kuokoteza vya kutukana/kukashifu CDM/wa CDM ili kulokota ndio mwendo wenu huko.Kumsema gaidi ni mpaka unatafuta uteuzi?
Kwani ulizaliwa mwaka tisini na ngapi?
Mzee mtata sana huyu....Huyu mzee nongwa linamkaba mnoo kwenye koo.
Inamaana mpaka sasa serikali bado tu haijamlipa pension yake?
jaribu kuelewa hoja, mbowe mpaka sasa ni mtuhumiwa kama ni gaidi au sio gaidi itajulikana pale hukumu itakapotoka. Kuanza kusema ni gaidi au siyo gaidi ndicho anachopinga dr. Slaa ni siasa zisizo na mashikoWewe unamwita Mbowe gaidi lakini huyo mzee wako hataki wanaosema Mbowe sio gaidi. Hauoni wewe na huyo Slaa mnamatatizo
Chini ya kapeti nikwamba mke wake ameolewa na jamaa mwingine huko majuu. Dk Slaa amerudi kimya kimya anakaa kwenye nyumba aliyopewa na Chadema Mbweni akiwa katibu mkuuDr Slaa
Alafu Mbowe akishambuliwa personally mnaanza kurukaruka! Hivi mnafikiri watu hawajui mauchafu ya kimaadili huko kwenye vyama venu? Hebu tafuta ugali achana na maisha ya watu.Huyu Mzee sasa anakoelekea siko, Kwanza muulizeni Josephine Mushumbusi Yuko wapi ? Mbona amerejea TZ Peke yake ? Ana msongo wa mawazo kwani heshima umepotea, Mushumbusi kanyanganywa na vijana wa West Africa huko na wameoa kabisa, anaishi Peke yake Kule Bunju..
Hujui usemalo. Hivi mtu aliyefikia level ya kuwa katibu wa TEC umlee nini? Labda hujui usemalo. He used his experience kufanya chama kiwe well organised na kusimamia agendas ziliipa Chadema umaarufu kuliko wakati wowote.Acha utoto wewe limbukeni. Dr Slaa alipoikimbia CCM alipewa hifadhi Chadema na kupitia Chadema akaukwaa ubunge katika uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995...
Out of content & context! Kwamba yeye hataki watu waseme kuwa #MbowesioGaidi Ila wale wanaosema Mbowe NI Gaidi' Hana shida nao ? Huyu Mzee anatafuta ugali as mafao yake NI madogo Sana kafanya KAZI ya ubalozi only for 5 yrs akastaafu Kwa mujibu wa sheria ! He can't sustain his life anymore!Hujui usemalo. Hivi mtu aliyefikia level ya kuwa katibu wa TEC umlee nini? Labda hujui usemalo. He used his experience kufanya chama kiwe well organised na kusimamia agendas ziliipa Chadema umaarufu kuliko wakati wowote.
Nyie mkimchukia mtu mnampa majina yote mabaya! Give a dog a bad name and hang him.