Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Kila mtu aliyetoka CDM mlisema ana siri nyingi sana za chama. Lijualikali alitangaza utayari wake wa kutoa ushahidi kuhusu maovu ya CDM na Mwenyekiti wake. Bado tunasubiri. Mnachosha sana.

Amandla...
Hata huyu alipeleka porojo nyingi kweli

1646062500688.png
 
Chama cha upinzani pekee kinacho ongozwa na mwenyekiti aliye feli form 6 ni Chadema.
karne hii ya 21 mnaongozwa na form 6 failure!! ni aibu kubwa.
ndio maana aliamua kutumia mipango haramu ya kuihujumu serikali....hiyo inadhihirisha ukosefu wa maarifa/Elimu ya kutosha.
ukisikiliza tu ushahidi ulio tolewa dhidi yake utagundua kweli huyu jamaa hana elimu.
ukosefu wa elimu ndio umemfikish hapo kwa kufanya mipango ya kijinga kabisa.
Mbona unateseka sana.au unadhani bado kuna wajinga wakusikiliza propaganda mfu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Balozi Dkt. Wilbrod Slaa amekiri kuudhika na maneno kuwa 'Mbowe si gaidi' ambayo hutolewa na baadhi ya wananchi kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Amesema wananchi wanatakiwa kuiachia mahakama ambayo ndio chombo cha haki.

“Katika masuala yaliyoko mahakamani ninaona kwanza kuna sura inatumika, kwenda kule Mahakamani kama sehemu ya siasa kitu ambacho mimi sikubaliani nacho.

“Hivyo sijaenda kwa kuwa ni kitu ambacho sikubaliani nacho, sikubaliani na principal ambayo inatumika, mnaenda kule kisha mnaanza kujipiga picha na mpo kwenye mitandao, hiyo ni siasa, mimi sichezi hizo siasa.

“Mimi nikiamua kumtembelea Mbowe nitaenda nyumbani kwake, sitaki kufanya kitendo cha Mbowe kuwa gerezani kuwa siasa, kama ni kumuombea nitauombea kwa nafsi yangu.

“Niliudhika tangu siku ya kwanza na yale maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema Mbowe siyo gaidi?

“Wanatakiwa kuachia chombo cha haki kitoe maamuzi siyo wananchi.

“Lakini sina chuki na Mbowe wala sina uadui, nimeshakutana na Mbowe mara kadhaa airport, tukakumbatiana, tukabadilishana namba japo hakuna aliyempigia mwenzake,” anasema DK SLAA.

Source: MwanaHalisi

Hili chala linaloitwa mahakama inabidi lifumuliwe....
Ni chaka la maovu kwa kisingizio cha haki.
 
Huyu Mzee sasa anakoelekea siko, Kwanza muulizeni Josephine Mushumbusi Yuko wapi ? Mbona amerejea TZ Peke yake ? Ana msongo wa mawazo kwani heshima umepotea, Mushumbusi kanyanganywa na vijana wa West Africa huko na wameoa kabisa, anaishi Peke yake Kule Bunju.......anahitaji maombi na maombezi!

Anatakiwa kutubu dhambi ya Usaliti ambayo imemuandama Kwa Muda mrefu sasa, ndio njia pekee ya huyu Mzee kupona na sio vinginevyo !

Kuna siku nitamfunua na kumuacha wazi ,Watanzania hamtaamini kizee hiki kina matendo maovu kiwango hicho ! Ngoja nijipe Muda!
 
Dr. Slaa anajitambua sana ndio maana alimkimbia Mbowe na genge lake la kihalifu.

Dr. Slaa ana siri nyingi sana za huyu gaidi.
Kumbe aliacha upadri kwa sababu anajitambua! Unataka kutuambia aliona dini ni ubabaishaji.
 
Alikuja kuharibu pale alipokuja kumpata kimada (mke wa mtu)! Kuanzia hapo ndipo alipoanza kupelekeshwa kama gari bovu na huyo mwanamke.

Kunguru hafugiki!!! Sijui kama ni kweli wanasema yule mama baada ya Slaa kumaliza ubalozi huko Sweden nae akamalizana nae sasa hivi yuko Canada na njemba nyingine!! Padri alipora na yeye kaporwa; ngoma drooo!!
 
Wewe unamwita Mbowe gaidi lakini huyo mzee wako hataki wanaosema Mbowe sio gaidi. Hauoni wewe na huyo Slaa mnamatatizo
jaribu kuelewa hoja, mbowe mpaka sasa ni mtuhumiwa kama ni gaidi au sio gaidi itajulikana pale hukumu itakapotoka. Kuanza kusema ni gaidi au siyo gaidi ndicho anachopinga dr. Slaa ni siasa zisizo na mashiko
 
Huyu Mzee sasa anakoelekea siko, Kwanza muulizeni Josephine Mushumbusi Yuko wapi ? Mbona amerejea TZ Peke yake ? Ana msongo wa mawazo kwani heshima umepotea, Mushumbusi kanyanganywa na vijana wa West Africa huko na wameoa kabisa, anaishi Peke yake Kule Bunju..
Alafu Mbowe akishambuliwa personally mnaanza kurukaruka! Hivi mnafikiri watu hawajui mauchafu ya kimaadili huko kwenye vyama venu? Hebu tafuta ugali achana na maisha ya watu.
 
Acha utoto wewe limbukeni. Dr Slaa alipoikimbia CCM alipewa hifadhi Chadema na kupitia Chadema akaukwaa ubunge katika uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995...
Hujui usemalo. Hivi mtu aliyefikia level ya kuwa katibu wa TEC umlee nini? Labda hujui usemalo. He used his experience kufanya chama kiwe well organised na kusimamia agendas ziliipa Chadema umaarufu kuliko wakati wowote.

Nyie mkimchukia mtu mnampa majina yote mabaya! Give a dog a bad name and hang him.
 
Hujui usemalo. Hivi mtu aliyefikia level ya kuwa katibu wa TEC umlee nini? Labda hujui usemalo. He used his experience kufanya chama kiwe well organised na kusimamia agendas ziliipa Chadema umaarufu kuliko wakati wowote.

Nyie mkimchukia mtu mnampa majina yote mabaya! Give a dog a bad name and hang him.
Out of content & context! Kwamba yeye hataki watu waseme kuwa #MbowesioGaidi Ila wale wanaosema Mbowe NI Gaidi' Hana shida nao ? Huyu Mzee anatafuta ugali as mafao yake NI madogo Sana kafanya KAZI ya ubalozi only for 5 yrs akastaafu Kwa mujibu wa sheria ! He can't sustain his life anymore!
 
Back
Top Bottom