Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Njaa haina baunsa , hata ungekuwa wewe mke wako anaolewa na mtu mwingine waziwazi ungejisikiaje ?
 
CHADEMA ilipoteza muelekeo uyu mzee alipokiacha chama Sasa wamebakia wahuni wahuni na program zao cha upato wa changia sijui mawakili, sijui makamanda yani janja janja tu na matusi

Tangu mumchukue amewasaidia nini..?
Vipi watalii wameongezeka..?
Mnakomaa na Chama kilichopoteza muelekeo cha nini.

Kwa Taarifa yako Chadema ipo Imara kuliko unavyofikiria.
 
Kama Dr. ana elimu inayomzidi basi mwenzake amemzidi kwa karama ndo maana aliweza kumtengeneza mpaka mm na ww tukamjua na ndo maana waliomrubuni kwa kumpitishia Mlango wa nyuma wa hotel nao waliweza kumwona na kumshawishi kwa vipande
 
Chama cha upinzani pekee kinacho ongozwa na mwenyekiti aliye feli form 6 ni Chadema.
karne hii ya 21 mnaongozwa na form 6 failure!! ni aibu kubwa...
Mku mwenye karama na mwenye elimu nitofauti sasa ni ww kuchambua utendaji wake ili kuweza kumfananisha na huyo mwenye elimu.
Lakini kumbuka aliyemkochi huyu mwenye ni mwenye karama ndo maana tumeweza kumzungumzia ktk huu uzi
 
Tushukuru kaja kwetu ili atujengee chama vipi anaanza kujenga lini kwani umri unazidi kwenda.
Kwanza kabla ya yote tuangalie na umri wake na alichokiongea huyu mwanaccm mwenzangu
 
Wewe unamwita Mbowe gaidi lakini huyo mzee wako hataki wanaosema Mbowe sio gaidi. Hauoni wewe na huyo Slaa mnamatatizo
Akamkimbia Mbowe,akaenda kujiunga na chama Cha mafisadi papa Lowasa,
 
Watu wanasema Mbowe si GAIDI kwa kuangalia ushahidi uliotolewa na influence ya Wakuu,laiti ushahidi ingekuwa unaeleweka watu wasingeshangaa
 
Tangu mumchukue amewasaidia nini..?
Vipi watalii wameongezeka..?
Mnakomaa na Chama kilichopoteza muelekeo cha nini.

Kwa Taarifa yako Chadema ipo Imara kuliko unavyofikiria.
Tangu tumchukue CHADEMA imepoteana imekuwa kinara wa michango kuzidi vikundi vya kufa na kuzikana mitaani kwetu🤪
 
Mku mwenye karama na mwenye elimu nitofauti sasa ni ww kuchambua utendaji wake ili kuweza kumfananisha na huyo mwenye elimu.
Lakini kumbuka aliyemkochi huyu mwenye ni mwenye karama ndo maana tumeweza kumzungumzia ktk huu uzi
Hii sio Karne ya Kuongozwa na mwenye Karama.
Huwezi kulinganish mwenye Elimu na asiye na Elimu.

Mbowe hajaelimika...yaani kafeli kidato cha 6 sasa kweli unaweza kulinganisha kwenye mizani na Dr. Slaa?!
haiwezekani.....yaaani Mbowe anafaa kwenye kupiga debe tu lkn kwenye mambo ya kisomi/kitaalamu hawezi.
 
Huyu Mzee ipo laana inayomtafuna, kwamba mabarizi wa mataifa makubwa yanafika mahakamani sikiliza kesi ya Gaidi, mpaka anaambiwa FAM do not give up

Huyu ni msaliti no MOJA wa harakati za ukombozi katika Taifa letu, akae mbali na Chadema
 
Hongera.
Asante
 
 
Dr. Slaa alipoondoka CDM alidai ni kwa sababu ya principles .... sasa anaonyesha kuwa siyo kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…