KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Lugha yetu ni nzuri sana. Itumie utaeleweka. Acha kukimbilia lugha za wengine na kuzitumia hovyohovyo kama ulivyofanya hapa.Kwa wanaodhani huyu anajiongelesha tu muweke nukuu. He is a man of principal na kila kauli yake ina uzito, soon you will see what he means to all Tanzanians...Am just happy, a bouncing back of patriots!
Ila wanadam bas tu!! Yaan mtu anakejeli yule alieshambuliwa kwa risas mingi ila MUNGU akamponya na kusema ni kitu cha kawaida kbs. Lkn analalamika kutopewa nafas ya kuombea waliokufa!! Ni vzr tukadili na walio hai. Maana MUNGU wetu ni wa walio hai sio MUNGU wa wafu!!!Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.
Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.
========
Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.
Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.
Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.
Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.
Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.
Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Kasome Mathayo 6:6Kwani waliotaka kuvaa t-shirt hawakuwa na sala? Kuvaa nguo kunazuia sala zisisikilizwe?
Yuko sahihi kabisa....
Wale watu wa Msoga waleeee!
Mungu anawaona sana......
T-Shirt, au kitu kingine hakiwezi kutumika kama alama ya maombezi?Kasome Mathayo 6:6
Watoto wa gaidi na yule mrs Amsterdam wataruka na kukanyagana hapa
Nyie nao tumeshawachoka habari ya risasi za Lissu, kila hoja ikiletwa hapa mnaingiza upupu wenu huo
T shirt huwa naziona kwenye maombolezo siyo maombezi.T-Shirt, au kitu kingine hakiwezi kutumika kama alama ya maombezi?
Yuko sahihi kabisa....
Wale watu wa Msoga waleeee!
Mungu anawaona sana......
sidhani kama ni sahihi ulichokiandika.Mshukuru Mabeyo na Sirro.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Anasaka uenyekiti wa kigoda cha MagufuliAnasaka wenyekiti wa bodi.
Slaha angeanza na aliyetuambia anapanga mafaili.Ningekuwa mwanafamilia ningemfungulia mashitaka Katelephone kuwaambia wananchi anachapa mzigoMajaliwa alituambia ni mzima anachapa kazi.
Magufuli alilipwa alichofanya Kwa wenzie. Yeye alipozuia misa na Dua za kumwombea Tundu Lissu alikuwa hazuii Imani? Upanga Una makali kuwili.Yuko sahihi kabisa....
Wale watu wa Msoga waleeee!
Mungu anawaona sana......
Polepole bossTuliomba mungu atuondelee KERO!!!
Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.
Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.
Akafa faster.
Mungu fundi
AhahahaTuliomba mungu atuondelee KERO!!!
Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.
Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.
Akafa faster.
Mungu fundi