Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

Tuliomba mungu atuondelee KERO!!!

Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.

Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.

Akafa faster.

Mungu fundi
Unakuaje na chuki kama hivi kwa mtu hata asiyekujua?
Kisa Siasa.
We utakufa mdomo wazi na mavi yako tumboni nyau we.
Nyie ndio baina ya mitoto iliyokuzwa kwa kulishwa panya na kunguru na nyama za mbwa.
Halafu sijui mmeibukia wapi nyie mapopo humu mtandaoni.
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Baba yao yuko kaburini Chato mwambie aende
 
Tuliomba mungu atuondelee KERO!!!

Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.

Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.

Akafa faster.

Mungu fundi
Mkuu samahani lakini una miaka mingapi ?
 
Tuliomba mungu atuondelee KERO!!!

Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.

Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.

Akafa faster.

Mungu fundi
Mkuu unaandika huu upuuzi kama vile umeongea na Mungu na akakuhakikishia uzima wa milele mpaka siku Yesu atakaporudi.

Roho hizi ndizo wanazokuwa nazo wale wanaopaa na ungo usiku wakiwa wamejichora chokaa mwili mzima.
 
Dr Slaa azuiwe kuongea hadharani , umri umemtupa sana , iko siku aweza kuropoka maneno yatakayomletea Aibu yeye au wanaomlipa
 
Majaliwa alituambia ni mzima anachapa kazi.

Slaa taarifa za kuwa Magufuli alikuwa anaumwa alizipata wapi? Serikali yeyenyewe kupitia waziri mkuu ilitoa taarifa kuwa Magufuli alikuwa mzima na anafanya kazi kama kawaida! Utamuombea mtu mzima ili iweje? Slaa naona anatafuta nafasi katika hii serikali baada ya kuonekana kuwa he is irrelevant na mke kamkimbia!!
 
Tuma mambo mengi ya maana mathalani katika katiba, bwawa la umeme, ujenzi wa madawati

Slaa apuuzwe kama Ndugae
Naogopa utakuja kana hii kauli come 5 years
Lugha yetu ni nzuri sana. Itumie utaeleweka. Acha kukimbilia lugha za wengine na kuzitumia hovyohovyo kama ulivyofanya hapa.

Huyo mtu wako hana lolote na si chochote bali tapeli anayefanikiwa kukoga nyoyo za watu wenye ufinyu wa kuelewa mambo kama wewe.
pole naona limekupata la gizani...Lugha imewekwa kuwasiliana nawajulisha na hao wenye lugha yao nao watakuwa wamenielewa na wewe utakuwa umenielewa
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Hagiography.
 
Slaa taarifa za kuwa Magufuli alikuwa anaumwa alizipata wapi? Serikali yeyenyewe kupitia waziri mkuu ilitoa taarifa kuwa Magufuli alikuwa mzima na anafanya kazi kama kawaida! Utamuombea mtu mzima ili iweje? Slaa naona anatafuta nafasi katika hii serikali baada ya kuonekana kuwa he is irrelevant na mke kamkimbia!!
Huenda Serikali haikutoa taarifa ili kulinda faragha ya mgonjwa na kupunguza taharuki miongoni mwa umma.
 
Dr Slaa azuiwe kuongea hadharani , umri umemtupa sana , iko siku aweza kuropoka maneno yatakayomletea Aibu yeye au wanaomlipa
Mkuu mtu yeyote anayeamua kuitetea CCM na serikali yake ni lazima aonekane kama mwendawazimu kwani analazimika kujitoa ufahamu. Trust me. Huyu Dr Slaa anatia huruma sasa hivi anavyoongea kama anaweweseka. Na kadiri anavyoongea ndivyo anavyokuwa kituko. Sijui alijisikiaje pale aliposema amekasiriki kwa sababu watu wanasema Mbowe siyo gaidi halafu baada ya siku chache wanafuta kesi! Nadhani aliumia sana. John Heche alishampa onyo akamwambia akaendelea kuleta ujinga watashindwa kuendelea kumsitiri, watoe hadharani mambo yaliyokuwa anafanya wakati akiwa Chadema. Anasema yeye hana chama ila anazungumza kama mtanzania lakini hapo hapo anaongea kama hawa vijana wanajiita chawa siku hizi.
 
Ungeomba mpaka unye mavi magumu Bado asingepona. Na maombi ya wenye dhambi ni kelele mbele za mungu.

Lijitu limeondolewa baada ya mauwaji na utekaji. Alikuwa na hasira na Lissu baada ya uchaguzi akatuma migambo wake kwenda kumkamata lissu ubalozi wa ujerumani Ili limuue ikashindikana.

Mungu akalipiga mapigo ya faraoh kuanzia wasaidizi wake mpake yeye wote Waka fyekeleewa mbali ndani ya mwezi mmoja TU.

Nchi kimyaa
Na wewe utaondolewa kwa dhambi gani?
 
Huenda Serikali haikutoa taarifa ili kulinda faragha ya mgonjwa na kupunguza taharuki miongoni mwa umma.

Kama serikali iliogopa taharuki kwa sababu Rais alikuwa mgonjwa , hiyo ni ishara ya kuonesha kuwa nchi ina taasisi dhaifu hivyo umuhimu wa kupata Katiba mpya!! Rais ni binaadam hivyo kuugua ni jambo la kawaida na watu waliomchagua wana kila sababu yakujua pale anapopatwa na matatizo kwani wamekasimu madaraka makubwa ya nchi yao kwake!

Rais ni mali ya wale waliomchagua hivyo hakuna faragha aliyokuwa nayo mbele ya waliomchagua; The president is a public good!
 
Back
Top Bottom