Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Uandishi, mpangilio na mtiririko wa hoja unadhihirisha kabisa wewe ni zao la vyeti vya kughushi.Tuliomba mungu atuondelee KERO!!!
Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.
Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.
Akafa faster.
Mungu fundi
Pole sana mkuu, halikuwa kosa la Magufuli ila wewe uliyeghushi.
Inabidi u-move on sasa ni zaidi ya mwaka tangu shujaa wa Afrika apumzike kwa amani mbinguni.
Otherwise chuki zitakuua.