Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

Tuliomba mungu atuondelee KERO!!!

Akakubali faster liliugua siku mbili akafa bila kunya hata mavi. Yule baada ya maombi yetu kukubalika mungu alimtwaa haraka lakini alifagia kihenge chote pale ikulu.

Na alivyokuwa hovyo alijijjengea maadui muhimbili akapelekwa zahati za vichochoroni ambako hata ABC za COVID hawana.

Akafa faster.

Mungu fundi
Uandishi, mpangilio na mtiririko wa hoja unadhihirisha kabisa wewe ni zao la vyeti vya kughushi.

Pole sana mkuu, halikuwa kosa la Magufuli ila wewe uliyeghushi.

Inabidi u-move on sasa ni zaidi ya mwaka tangu shujaa wa Afrika apumzike kwa amani mbinguni.

Otherwise chuki zitakuua.
 
Ungeomba mpaka unye mavi magumu Bado asingepona. Na maombi ya wenye dhambi ni kelele mbele za mungu.

Lijitu limeondolewa baada ya mauwaji na utekaji. Alikuwa na hasira na Lissu baada ya uchaguzi akatuma migambo wake kwenda kumkamata lissu ubalozi wa ujerumani Ili limuue ikashindikana.

Mungu akalipiga mapigo ya faraoh kuanzia wasaidizi wake mpake yeye wote Waka fyekeleewa mbali ndani ya mwezi mmoja TU.

Nchi kimyaa
Corona Mkubwa wewe! Ebooh!

Wewe si mwenye dhambi..!
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Hakika nchii eti Rais anakufa kizembezembe tu asee.

Bila raia kujua? .

Kuna sehemu haiko sawa kabisa.
 
Kwani angeombewa ndio asingekufa?

Marehemu ndio aliongoza kwa kuficha vitu na propaganda nyingi kwenye vyombo vya habari.

Njia pekee ambayo angefanya tumuaminu ni kuona picha akiwa yupo hospitali tu.

Huyo huyo ndio aliwajaza hofu wasaidizi wake hadi wengine wakadanganya watu ni mzima na ana mafile ya kusoma mengi mara wengine wanasema wameongea naye asubuhi na ilhali walijua yu tahabani kitandani.
 
Naogopa utakuja kana hii kauli come 5 years

pole naona limekupata la gizani...Lugha imewekwa kuwasiliana nawajulisha na hao wenye lugha yao nao watakuwa wamenielewa na wewe utakuwa umenielewa
Ungeitumia vizuri hiyo lugha ya kigeni hapo ulipoitumia, usingesikia nikizungumzia chochote kuhusu lugha hiyo. Hao unaotafuta kuwafikishia ujumbe na lugha mbovu namna ile hawataambulia kitu kutoka kwenye ujumbe wako.
 
Ungeitumia vizuri hiyo lugha ya kigeni hapo ulipoitumia, usingesikia nikizungumzia chochote kuhusu lugha hiyo. Hao unaotafuta kuwafikishia ujumbe na lugha mbovu namna ile hawataambulia kitu kutoka kwenye ujumbe wako.
Kama sisi tunawaelewa na ya kwao wanapotafuta kusema kama sisi wao watashindwaje? Tabu ni wewe ambaye una jali vitu vidogo kama hivyo...Hangaikia mambo makubwa haya yangu utayumba sana...Nafurahia kutokujua lugha hiyo ni ishara ya kuwa sijatawaliwa kabisa kwenye damu yangu na hao ndugu japo wao wananipa maisha sana na kunitafuta usiku na mchana niwasaidie yao pamoja na lugha hiyo unayoiona mbovu bado huwa wanaelewa na zaidi ya kuelewa...so just keep your cool maisha hayahitaji stress utachoka sana😂
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Dr Slaa kalishwa makombo ya kisiasa sasa ni wa kuabudu na kusifu.
Akumbuke kuwa by association naye ana mikono michafu kwz udhalimu wa mwendazake.
Na kama anapenda kuomboleza aende tu Chato hakuna aliyemzuia.
 
Huyu mwamba ni mzalendo sana miongoni mwa wale wazee welevu nae yumo coz
1.Hasemi kitu kwa maslahi binafsi
2.Utajaza
3.Utajaza
Bila yeye hata hili somo la uraia tulilolisoma kwa miaka sita lisingewezekana...Jina lake litaandikwa kwa kalamu ya dhahabu na wapenda haki vizazi vijavyo ambavyo naamini vitakuwa na utambuzi wa mambo ya msingi...May God bless you Dr. Slaa!
 
Kama sisi tunawaelewa na ya kwao wanapotafuta kusema kama sisi wao watashindwaje? Tabu ni wewe ambaye una jali vitu vidogo kama hivyo...Hangaikia mambo makubwa haya yangu utayumba sana...Nafurahia kutokujua lugha hiyo ni ishara ya kuwa sijatawaliwa kabisa kwenye damu yangu na hao ndugu japo wao wananipa maisha sana na kunitafuta usiku na mchana niwasaidie yao pamoja na lugha hiyo unayoiona mbovu bado huwa wanaelewa na zaidi ya kuelewa...so just keep your cool maisha hayahitaji stress utachoka sana😂
SAWA mkuu 'Ame'.

"...unafurahia hujatawaliwa", halafu unahusudu lugha usiyoifahamu?
 
Magufuli alilipwa alichofanya Kwa wenzie. Yeye alipozuia misa na Dua za kumwombea Tundu Lissu alikuwa hazuii Imani? Upanga Una makali kuwili.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Ukiondoa mambo kama haya yakukomoa mahasimu wake, angalau yeye alikuwa anafanya kwa moyo wa dhati mambo ya nchi yake na alitamani kuiona nchi yake na watu wake siku moja wanakuwa wakuheshimika duniani...He just did all he could and for this I will respect him mpaka nafika mbinguni kwa baba nikiwa na shukrani angalau kabla ya kurudi kwake nimeona mwafrica mbaye aliondoa dhana ya kuwa hatuwezi na dunia ikajua kweli tunaweza ila ni bahati mbaya huwa tunaongozwa na wasiojiamini
 
SAWA mkuu 'Ame'.

"...unafurahia hujatawaliwa", halafu unahusudu lugha usiyoifahamu?
Naona unapenda sana kusikia sauti yangu, sawa mkuu 😂😂😂
Kwahiyo maelezo yangu ya kwamba nataka wanisome hukuyaona au?

Sawa basi karibu huku bush tupige soga!
 
Slaa is propagating his political agenda! Alegee na ashindwe!
Just get ready, usione tu wajinga tuna akili nyingi sana; some of us when we speak its a command, kila chenye kuumbwa kina tii amri hiyo.

We are like winds, you never know from where, when and how we move!
 
Just get ready, usione tu wajinga tuna akili nyingi sana; some of us when we speak its a command, kila chenye kuumbwa kina tii amri hiyo.

We are like winds, you never know from where, when and how we move!

Mmekwisha katwa mikia hamna jinsi tena ; you are finished!! Kama mmeshindwa kuongoza Nyumba mtaweza Taifa?
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Akiongea Balozi Dk. Wilbroad Slaa najua kuwa Mmoja wa 'Geniuses' wachache sana waliobakia na tulionao Tanzania kwa sasa ameongea. Kwa Wakatoliki huwa hakuna Wapumbavu ( Mapopoma ), hivyo hata nami pia nakubaliana nae kwa alichokisema na huu mtazamo wake tena kwa 100% kabisa.
 
Jaribuni kumuelewa Dr.Slaa, hapa anazungumza na wale waliokuwa na mamlaka na waliokuwa karibu na Marehemu, nao wanajulikana.

Mama samia alibi hwang ugonjwa wa Magufuli, alinyimwa hata kumtembelea hospitality kama Makamu wa Raisi, akaambiwa Raisi anataka uende kwenye ziara ya kikazi Tanga, mambo yalipowazidia ndipo wakamuambia atangaze kifo cha Raisi.

Dr.Slaa anazungumzia jambo lenye msingi. Waliotuficha leo wanahaha
 
Unapenda waongelee zaidi muuaji kuliko aliyetaka kumwua?

Muujiza huu sidhani utakosa kuongelewa iwe kwa mtazamo wa kiimani au kihekima. Yaani unataka kumwua mtu, unaamuru auawe, anashambuliwa kwa risasi zaidi ya 30, halafu hafi, badala yake unatangulia kufa wewe! Mpaka hapo huuoni ukuu wa Mungu wetu? Kiimani, ni somo kubwa sana kwetu tuishio nyakati hizi.

Ukisikia neno lile, Bwana asipoulinda mji wakeshao wakesha bure, uhalisia wake ndio huu. Tunajilinda kwa maslaha, msululu wa walinzi, ambulance zikiwa zimetuzunguka, lakini Bwana akisema, wakati wako wa kuishi umekwisha, huna la kufanya.
Wanafki nyie, km alietaka kumuua kafa tayari, sasa ni kipi kinachofanya ang'ang'anie ubeligiji?
Mbona kila siku anataja watu km taahira? Mara Magufuli, mara makonda, Mara Kapilimba na wote hao hawapo kwenye serikali ya sasa.
Tumueleweje huyu Chiba? Atuambie ana agenda gani binafsi na nchi hii?
Inapoelekea atamtaja Mbowe
 
Back
Top Bottom