Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Maskini mzee wa watu Jela na huo uzee wote si atakufa kwa ukurutu?
 
Unamgeuka Dr.kabla jogoo hajawika [emoji1787]
 
Naipenda sana Nchi yangu hata kama kuna matatizo siwezi kuiombea mapinduzi ya kijeshi.

Huyu Mzee wa Kinyaturu alienda too far na sijui kama ataweza kubeba mtondoo na uzee wite huo
 
Ninalo.

Na yeye ameanza kupata stahiki zake kadiri ya uhitaji.

Nadhani akitoka(kama atajaaliwa)atatuhabarisha vema.

Maana kwake hata kupigwa risasi ni jambo la kawaida sana.
Malipo ni hapa hapa Duniani. Aliwabeza Lissu na Mbowe, hakuwatia Moyo wala kuwaona Magerezani. Watu walizofanya Siasa pamoja from Zero to Hero
 
Stupid, Leo unasemaje
 
safi sanan balozi
 
nami naunga mkono kauli ya dr slaa kwamba swala likiwa polisi tuwaachie polisi wafanye kazi yao, kwanza kukamatwa ni jambo la kawaida mbona mdude anakamatwa kila siku, mzee ameyatimba na kwa kali zake za awamu ya tano ndio mana tunashindwa leo kumuonea huruma, aacha aonje kibaridi cha rumande ili atofautishe utamu wa asali vs jiwe
 
Ila Lissu ana busara sana. Nenda kamhoji hata sasa hivi anasemaje kuhusu kushikiliwa kwa Dr.Slaa, atakwambia;"Siyo sawa hata kidogo, wanataka kunyamazisha sauti za kutetea rasilimali za taifa letu, hatukubali!"

Kwa ufupi, T.A.Lissu hatalipa baya kwa baya kwa kauli zile za Dr.Slaa juu ya assassination attempt on him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…