Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Kazee kana 70+ kana Ng'ang'ana na demu wa 40, Oneday katakuja kufia kifuani
Lakini atakufa kifuani akiwa na tabasamu usoni.

Wewe unauhakika wa kufa kifo cha aina hiyo? Sidhani.
 
Hats siku moja mnafiki hawezi ongea ukweli......

Dr slaaa ni mnafiki twende mbele turudi nyuma slaa anamfaham vzr Tundulissu na harakat zake Leo kapewa cheo tu kasahau kla kitu . .... .
Dunia hadaa walimwengu shujaa
Pona haraka Tundulisu uje uone wanafiki uliokuwa unawalindia hekima kichama
 
Balozi Mteule na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbroad Slaa amesema tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida na ameitaka jamii kuliacha Jeshi la Polisi kukamilisha upelelezi na kutoa majibu.

Dkt. Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na kituo cha runinga cha Clouds juu ya hali ya kisiasa ya Tanzania na mustakabali wa maisha yake baada ya kuondoka CHADEMA, amesema hafurahishwi na baadhi ya watu kuwataja hadharani watuhumiwa wa tukio hilo kwasababu linaharibu uchunguzi wa polisi.

“Mimi kinachoniudhi ni hii watu kusema hadharani kwamba kuna hiki na hiki tunasuspect (tunahisi) waliofanya ni fulani. Sheria inasema ukihisi nenda polisi katoe taarifa sio unaenda kwenye vyombo vya habari”, amesema Dkt. Slaa.

Amesema hawezi kuzungumzia kwa undani suala la Lissu kupigwa risasi, ikizingatiwa kuwa watu wengi wamepigwa risasi nchini na kazi ya kuwabaini wahalifu waliomshambulia ni ya polisi sio viongozi wa siasa au wananchi.

“Lakini kama binadamu hakuna anayependa binadamu yeyote aumizwe lakini matukio haya ya kuumizwa yametokea nchi hii kwa watu wengi sana. Na mimi sio chombo cha dola kujua kwamba unanyoosha kidole kwa kitu ambacho hatukiamini; mimi ni msomi”, amesema Dkt. Slaa na kuongeza kuwa,

“Ukitoa taarifa za upelelezi unaharibu upelelezi. Mimi niko Canada mauaji yapo kila siku na watu wanapotea, wanapigwa risasi wakiulizwa polisi wanakwambia suala hilo liko kwenye upelelezi tukifikia hatua nzuri tutatoa taarifa”.

Ni sawa Daktari suala la upelelezi ni kazi ya vyombo vya dola. Lakini, matukio uliyoyataja yanafanana na tukio la Lissu? Lissu ameshambuliwa eneo lililoko chini ya ulinzi wa serikali ukihusisha watu na camera ila siku hiyo cha ajabu vyote havikuwepo kama inavyosemakana, pamoja na central polisi kuwa karibu ati walinda usalama walifika baada ya masaa mawili kupita!!!

Wallah vile yupo anayewaona. Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga, malipo nia hapa ni hapa duniani.
 
Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.

Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Tukikumbuka msimamo alokuwa nao kwenye tukio la sweto tutapata pa kuanzia kumjadili dr Slaa
 
Balozi Mteule na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbroad Slaa amesema tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida na ameitaka jamii kuliacha Jeshi la Polisi kukamilisha upelelezi na kutoa majibu.

Dkt. Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na kituo cha runinga cha Clouds juu ya hali ya kisiasa ya Tanzania na mustakabali wa maisha yake baada ya kuondoka CHADEMA, amesema hafurahishwi na baadhi ya watu kuwataja hadharani watuhumiwa wa tukio hilo kwasababu linaharibu uchunguzi wa polisi.

“Mimi kinachoniudhi ni hii watu kusema hadharani kwamba kuna hiki na hiki tunasuspect (tunahisi) waliofanya ni fulani. Sheria inasema ukihisi nenda polisi katoe taarifa sio unaenda kwenye vyombo vya habari”, amesema Dkt. Slaa.

Amesema hawezi kuzungumzia kwa undani suala la Lissu kupigwa risasi, ikizingatiwa kuwa watu wengi wamepigwa risasi nchini na kazi ya kuwabaini wahalifu waliomshambulia ni ya polisi sio viongozi wa siasa au wananchi.

“Lakini kama binadamu hakuna anayependa binadamu yeyote aumizwe lakini matukio haya ya kuumizwa yametokea nchi hii kwa watu wengi sana. Na mimi sio chombo cha dola kujua kwamba unanyoosha kidole kwa kitu ambacho hatukiamini; mimi ni msomi”, amesema Dkt. Slaa na kuongeza kuwa,

“Ukitoa taarifa za upelelezi unaharibu upelelezi. Mimi niko Canada mauaji yapo kila siku na watu wanapotea, wanapigwa risasi wakiulizwa polisi wanakwambia suala hilo liko kwenye upelelezi tukifikia hatua nzuri tutatoa taarifa”.
Taarifa alizotoa Lissu kabla ya kupigwa risasi Slaa haziamini! Polisi wangekuwa na nia ya dhati upelelezi wao ungeanzia hapo.
 
Bado nasisitiza mfumo wa vyama vingi haulisaidii taifa hili kwa sababu ni kitu ambacho kililazimishwa kwa nguvu na matokeo yake ni uadui ambao hautaisha.
Labda siku za mbele watanzania watakaokuwepo watajadili na kuuweka sawa mfumo wa vyama vingi ili kila raia awe na haki sawa bila kujali upande aliopo.
 
Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Msomi ambaye hakumbuki alichokisema ni wa kutiliwa mashaka. Tatizo la njaa ni kuuza hata utu. Amemsahsu Esau pia aliuza ukuu wa kwa chakula kidogo cha Dengu. Njaa mbaya ndugu zangu. Ukiwa na njaa kitu cha kwanza ni kuwa na mawazo mgando. Tumsamehe
 
Balozi Mteule na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbroad Slaa amesema tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida na ameitaka jamii kuliacha Jeshi la Polisi kukamilisha upelelezi na kutoa majibu.

Dkt. Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na kituo cha runinga cha Clouds juu ya hali ya kisiasa ya Tanzania na mustakabali wa maisha yake baada ya kuondoka CHADEMA, amesema hafurahishwi na baadhi ya watu kuwataja hadharani watuhumiwa wa tukio hilo kwasababu linaharibu uchunguzi wa polisi.

“Mimi kinachoniudhi ni hii watu kusema hadharani kwamba kuna hiki na hiki tunasuspect (tunahisi) waliofanya ni fulani. Sheria inasema ukihisi nenda polisi katoe taarifa sio unaenda kwenye vyombo vya habari”, amesema Dkt. Slaa.

Amesema hawezi kuzungumzia kwa undani suala la Lissu kupigwa risasi, ikizingatiwa kuwa watu wengi wamepigwa risasi nchini na kazi ya kuwabaini wahalifu waliomshambulia ni ya polisi sio viongozi wa siasa au wananchi.

“Lakini kama binadamu hakuna anayependa binadamu yeyote aumizwe lakini matukio haya ya kuumizwa yametokea nchi hii kwa watu wengi sana. Na mimi sio chombo cha dola kujua kwamba unanyoosha kidole kwa kitu ambacho hatukiamini; mimi ni msomi”, amesema Dkt. Slaa na kuongeza kuwa,

“Ukitoa taarifa za upelelezi unaharibu upelelezi. Mimi niko Canada mauaji yapo kila siku na watu wanapotea, wanapigwa risasi wakiulizwa polisi wanakwambia suala hilo liko kwenye upelelezi tukifikia hatua nzuri tutatoa taarifa”.
sakata la Dr Slaa kwa jicho la kiroho
 
  • Thanks
Reactions: 911
Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.

Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
[emoji1] [emoji1]
basi si wawape Ruhusa FBI walete ushahidi,
c walisema wanaliweza ilo swala, basi kama hakuna ushahidi wa kutosha, wawa achie na FBI tuone kama hatuta kama mwizi ndani ya ___
[emoji12] [emoji12]
 
Mungu na aepushe mbali mawazo ya kishetani kama haya! Tangu lini kupigwa risasi binadamu likawa jambo la kawaida? Hata kwa wanyama porini siyo la kawaida kama huna kibali cha kuwinda.
 
Nikifaninisha tukio la Lissu na la ndugu zangu waliopoteza uhai Kibiti, na polisi waliopoteza uhai kwa kushambuliwa wakiwa katika malindo yao naona tukio la Lissu ni la kawaida tu. Viachwe vyombo husika vifanye kazi yao katika uchunguzi wa matukio haya.
Hakuna tukio hata moja kati ya uliyoyasema hapo ambalo ni la kawaida!!
 
Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.

Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Naomba unikumbushe,baada ya kamanda Barlow (aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza kuuwawa usiku wa manane).
Asubuhi ya siku iliyofuata walikamatwa watuhumiwa katika maeneo mbali mbali ikiwemo Dar-es-salaam!
Hebu nambie ni nani alienda kushtaki polisi?
Lissu kwa mujibu wa taarifa alishambuliwa mchana kweupe,nyumbani kwake,na kamwera zaikiwa kila mahali,bado tunasubiri mtu akatoe taarifa polisi??ili kubaini washambuliaji?
KATIKA HAYA MATENDO YA KINYAMA,NADHANI KAMA KWELI MUNGU YUPO,TUTAONA MATOKEO YAKE,MAANA MAANDIKO YANASEMA YEYE NI MUNGU WA HAKI,LAKINI KAMA WATU WATAKUWA WENYE FURAHA NA MAISHA YAO YATAKUWA YENYE BARAKA,I THINK THERE WILL BE NO GOD,VITABU VITAKATIFU VITAKUWA VIMETUDANGANYA!
 
Hichi kibabu na chenyewe kinahitaji kuombewa ukichaa ukitoke.
 
Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.

Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Elimu uliyoipata bado haijakukomboa kifikra uliyo nayo inakusaidia kutumia smat fon tu kama wameshindwa alipo ben saanane ya lissu watayaweza? Kombe wanajulikana waliompiga risasi?
 
Back
Top Bottom