Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Sikutegemea kusikia haya kwa ndugu yetu Slaa. Kusema tukio la TL ni la kawaida. Kila mtu anaishangaa Tz kwa tukio hili isipokuwa yeye. Shame on him. Asiwe na chuki kama babu yake. Nimemsifu kwa kusema hali ya democrasia ni mbaya. Sasa alishindwa vipi kusema ukweli kwa hili ama limekuwa kubwa mno kumeza.