Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ulipoambiwa kulikuwa na simba wa yuda hukuelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipoambiwa kulikuwa na simba wa yuda hukuelewa?
Tatizo ni kwamba, wao wanaamini mkataba/Makubaliano hayana mapungufuWarekebishe mapungufu.
Fuatilia yatakayojiri kwenye mkutano na waandishi wa habari ambapo Dr. Salaa, Askofu Mwamakula pamoja na Mawakili Mwambukusi na Madeleka watakuwa wazungumzaji wakuu, leo Julai 12, 2023 saa 4:00 asubuhi.
Ni kuhusu suala la DP World.
View attachment 2685517
===
Askofu Mwanamkula anazungumza
Juni 6, 2023 baada ya kusikia minong'ono ya mkataba kuwa na miaka 100, nilichukua jukumu la kuishairi serikali itoke kufafanua suala hili, baadae Bunge lilitoka kusema mkataba ungejadiliwa Bungeni.
Baadae Mkuu wa Mkoa wa DSM alitoa kauli kumuonya Dr. Slaa, baadae Dkt. Nshala katishiwa maisha, baadae Wakili Mwabukisi naye katishiwa maisha.
Tumeona pia jeshi la polisi limemuita Dkt. Nshala kumhoji kuhusu matamshi ya mkataba, tulidhani watamhoji ili awape ushirikiano kuhusu suala lake la kutishiwa maisha.
Mimi kama Askofu natoa tahadhari, mtanzania yeyote anayetoa maoni kuhusu mtakaba, kama akidhurika, akitekwa au kuuawa kwa namna yoyote viongozi waliotoa maoni ya kutisha pamoja na Serikali watawajibika. Mungu atawafedhehesha watu hao kuanzia aliyetoa wazo, anayepanga mkakati, anayetoa amri na ayetekeleza amri ya kuwadhuru watu wanaoongea, kulalamika na kudhurika kuhusu mkataba huu.
Kanisa linaangalia, lakini haliridhiki na yanayoendelea japo sio kila Askofu atasimama kama mimi kusema. Tuache kuteka na kufedhehesha watu wanaotoa maoni kuhusu jambo hili.
President Magufuli alikua ni serial dictator, alitaka asikilizwe yeye tu na hili liliwezeshwa na uoga wa kizuzu wa watanzania, street battles hawaziwezi ila ni warriors wa key board's kulalama kutwa
Mapungufu yapo.Katiba mpya Katiba mpya Katiba mpya.Tatizo ni kwamba, wao wanaahamini mkataba/Makubaliano hayana mapungufu
Kazi yao ndo hiyo kupiga siasa tu. Watu wanafanya kazi wao wanaendekeza maneno matupu tu.Nyinyi endeleeni kuwasikiliza tu wenzenu wanalipwa na makampuni yanayowatuma yanayoelekea kupoteza ulaji bandarini nyinyi mmebaki kukesha mitandaoni kuwasikiliza badala ya kwenda mashambani na kwenye shughuli zitazokuingizieni kipato na familia zenu.
wacha ukweli usemwe. Tuna akili ya kuchuja pumba na mchele.Nyinyi endeleeni kuwasikiliza tu wenzenu wanalipwa na makampuni yanayowatuma yanayoelekea kupoteza ulaji bandarini nyinyi mmebaki kukesha mitandaoni kuwasikiliza badala ya kwenda mashambani na kwenye shughuli zitazokuingizieni kipato na familia zenu.
Maneno matupu yaliyowashinda kuyajibu zaidi ya wiki tatu sasa, wewe chawa umekuwa hovyo sana.Kazi yao ndo hiyo kupiga siasa tu. Watu wanafanya kazi wao wanaendekeza maneno matupu tu.
Mshenzi.Hivi kwa lugha ya Staha mwizi anaitwaje ?
Kwani nilisemaje wakati wa Magufuli?
Sheria mama Ina Tatizo gani? Kwa kweli wakipitisha sheria hii wabunge, tutajua kweli Wana Nia ovu na rasilimali za nchi!! Yaani rasilimali zetu zijadiliwe Nje ya nchi? Hii inatofauti gani na habari ya Ufaransa kudhibiti Hazina ya nchi za kiafrika zilizowahi kuwa makoloni yake?Sheria mama inakataza rasilimali za nchi kujadiliwa nje ya mipaka yetu, lakini muswada huu unaenda kuifuta, maana yake sasa kesi zote za rasilimali zetu zitajadiliwa kwenye Mahakama za nje.