Dkt. Slaa: Tunapinga uwekezaji wa DP World sababu Mkataba wake una sura ya wizi na ufisadi

Dkt. Slaa: Tunapinga uwekezaji wa DP World sababu Mkataba wake una sura ya wizi na ufisadi

Nchi hii Mungu kaibariki, watanzania hatukuomba kuzaliwa hapa. Hakuna nchi duniani ina Tanzanite, tulileta mwekezaji kule, Watanzania wakawa wanavuliwa hadi nguo mwanamme mzima unabaki na chupi. Hatuna shida na uwekezaji, isipokuwa mnavunja sheria za nchi. Serikali ni mwalimu wa kuvunja sheria, hakafu mnataka watanzania waheshimu sheria.
Great Words from Great Men
 
Dkt. Slaa: Akijibu swali la Mwandishi aliyetaka kujua kama tayari kaingia kwenye active politics baada ya kuondoka CHADEMA amesema waandishi wanapaswa kusoma katiba ili waache kuuliza maswali mepesi na kujiaibisha kama haya maana yeye ni raia wa nchi hii na anao wajibu wa kuzungumza
Form four failures ndio waandishi wengi. Sasa hili ndio swali gani mbele ya Mambo muhimu kama haya?
 
Wacha ukweli uendelee kuwafikia watanganyika, Samia lazima atambue yeye ni mtumishi wetu, sio bosi wetu nasi watumwa wake hivyo kujiona anaweza kutupeleka atakavyo, hilo halipo.

Samia ni mjinga naamini kabisa hakusoma ule mkataba, naamini hivyo kwasababu tabia yake ya kuwaagiza watendaji wake "na hili mkalitazame" ndio imetufikisha hapa, au pia aliusoma, lakini kwa upeo wake wa kuunga unga akaona ule mkataba wa hovyo hauna shida, taifa limepata hasara.

"Tukiamua kuandamana, itakuwa bila kikomo kama mkataba wenyewe ulivyo" -Adv. Mwabukusi, nampa cheo cha Rais wa Tanganyika, kuanzia sasa.
2025 Apumzike tu mama yetu.
 
Mbona kipind cha magufuli hukusema hivo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nawe vipi sasa, huwezi kuona tofauti?

Magufuli ni Magufuli; Samia ni Samia. Ulisikia wapi Magufuli akinadisha mali za taifa hili?
Wacha ukweli uendelee kuwafikia watanganyika, Samia lazima atambue yeye ni mtumishi wetu, sio bosi wetu nasi watumwa wake hivyo kujiona anaweza kutupeleka atakavyo, hilo halipo.
Kama ni kuhusu swala la "kumkabili", pia kuna tofauti kubwa kati yao.
Wananchi hawakuwa na sababu kubwa iliyowaunganisha pamoja kumkabili Magufuli, kama hili la Bandari alilolianzisha Samia.

Kama wewe (mbarika), huoni tofauti kati ya hawa wawili, utakuwa na sababu zako pembeni
 
Mbona hawajatoa maelezo namna ya kuchangia gharama za haya mapambano ya kuilinda Tanganyika yetu?

Babu zetu walijitolea maisha yao kupigania uhuru wa Taifa letu, sisi tunashindwaje kuwezesha mambo haya?

Lazima.nihudhuria wa tarehe 22.
 
Mbona hawajatoa maelezo namna ya kuchangia gharama za haya mapambano ya kuilinda Tanganyika yetu?

Babu zetu walijitolea maisha yao kupigania uhuru wa Taifa letu, sisi tunashindwaje kuwezesha mambo haya?

Lazima.nihudhuria wa tarehe 22.
Lazima Mwarabu atoke Tanganyika na Dada yao.
 
Ogopa mtu anayeuza bandari ya mwenzie huku yake kaificha gizani.Wazanzibar wametoa fundisho ktk hili kuwa wao ni watu wa namna gani!
 
"Rais wa Tanzania anawezaje kumpa mamlaka Waziri wa Tanzania asaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai, wapi duniani unaweza kuona hii? Hiki ni kituko mbele ya sheria, kitukoo.!" Wakili Peter Madeleka

"Wametutisha ila nasema simuogopi Nape, wala Masauni,wote wanaoshabikia mkataba huu wa bandari ni majambazi wameivamia Tanganyika na Tanzania" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wote waliotoa vitisho hadharani watawajibika kwa chochote na lolote litakalo wakuta wote wanaopinga mkataba danganyifu wa bandari" Askofu Emmaus B. Mwamakula.

"Nape si wa kunitisha Mimi,nimeshapita level hizo,Mimi natishwa na Majenerali" Mdude Nyagali.

"Tunaitisha mkutano mkubwa tarehe 22/07/2023 siku kumi kuanzia leo kuzungumzia mkataba mbovu kuwahi kutokea toka Dunia iumbwe mkataba huu wa bandari" Dkt.Wilbroad Slaa.
 
"Rais wa Tanzania anawezaje kumpa mamlaka Waziri wa Tanzania asaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai, wapi duniani unaweza kuona hii? Hiki ni kituko mbele ya sheria, kitukoo.!" Wakili Peter Madeleka

"Wametutisha ila nasema simuogopi Nape, wala Masauni,wote wanaoshabikia mkataba huu wa bandari ni majambazi wameivamia Tanganyika na Tanzania" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wote waliotoa vitisho hadharani watawajibika kwa chochote na lolote litakalo wakuta wote wanaopinga mkataba danganyifu wa bandari" Askofu Emmaus B. Mwamakula.

"Nape si wa kunitisha Mimi,nimeshapita level hizo,Mimi natishwa na Majenerali" Mdude Nyagali.

"Tunaitisha mkutano mkubwa tarehe 22/07/2023 siku kumi kuanzia leo kuzungumzia mkataba mbovu kuwahi kutokea toka Dunia iumbwe mkataba huu wa bandari" Dkt.Wilbroad Slaa.
Sawa kabisaaaa
 
"Rais wa Tanzania anawezaje kumpa mamlaka Waziri wa Tanzania asaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai, wapi duniani unaweza kuona hii? Hiki ni kituko mbele ya sheria, kitukoo.!" Wakili Peter Madeleka
leo kuzungumzia mkataba mbovu kuwahi kutokea toka Dunia iumbwe mkataba huu wa bandari" Dkt.Wilbroad Slaa.
Kumbe walikuja kutoa taarifa ya maandamano, Kila siku wanasogeza mbele waoga Kama mbwa wa kijijini

USSR
 
"Rais wa Tanzania anawezaje kumpa mamlaka Waziri wa Tanzania asaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai, wapi duniani unaweza kuona hii? Hiki ni kituko mbele ya sheria, kitukoo.!" Wakili Peter Madeleka
uanzia leo kuzungumzia mkataba mbovu kuwahi kutokea toka Dunia iumbwe mkataba huu wa bandari" Dkt.Wilbroad Slaa.
Subirini akina Kibajaji watakavyokuja na digrii zao za mjengoni kutunanga Watanzania kuwa hatujui lolote na tunavyoujadili huu mkataba tunapoteza muda.

Tanzania must stand for her children and unborn children. Tunaoujadili mkataba tuna haki ya kupaza sauti pale mambo tunayoyaona kuwa ni tishio kwa Taifa...

Rais ni binadamu kama sisi, hana guarantee ya utakatifu bali dhamana tuliyompa inatupa haki ya sauti zetu kusikilizwa na yeye pamoja na wasaidizi wake.
 
Capture-1.JPG
 
Nawe vipi sasa, huwezi kuona tofauti?

Magufuli ni Magufuli; Samia ni Samia. Ulisikia wapi Magufuli akinadisha mali za taifa hili?

Kama ni kuhusu swala la "kumkabili", pia kuna tofauti kubwa kati yao.
Wananchi hawakuwa na sababu kubwa iliyowaunganisha pamoja kumkabili Magufuli, kama hili la Bandari alilolianzisha Samia.

Kama wewe (mbarika), huoni tofauti kati ya hawa wawili, utakuwa na sababu zako pembeni
Magufuli alikuwa hanadishi anamiliki yeye mwenyewe na ndugu zake na mahawara wake
 
Akiwa na tonge mdomoni👇😁😁😁

Baada ya kunyang'anywa tonge mdomoni👇😁😁😁
 
Akiwa na tonge mdomoni👇😁😁😁

Baada ya kunyanga'nywa tonge mdomoni👇😁😁😁
 
Wacha ukweli uendelee kuwafikia watanganyika, Samia lazima atambue yeye ni mtumishi wetu, sio bosi wetu nasi watumwa wake hivyo kujiona anaweza kutupeleka atakavyo, hilo halipo.

Samia ni mjinga naamini kabisa hakusoma ule mkataba, naamini hivyo kwasababu tabia yake ya kuwaagiza watendaji wake "na hili mkalitazame" ndio imetufikisha hapa, au pia aliusoma, lakini kwa upeo wake wa kuunga unga akaona ule mkataba wa hovyo hauna shida, taifa limepata hasara.

"Tukiamua kuandamana, itakuwa bila kikomo kama mkataba wenyewe ulivyo" -Adv. Mwabukusi, nampa cheo cha Rais wa Tanganyika, kuanzia sasa.
Ni Noumaaa Watu wanafunguka si mchezo 😂
 
Back
Top Bottom