Wacha ukweli uendelee kuwafikia watanganyika, Samia lazima atambue yeye ni mtumishi wetu, sio bosi wetu nasi watumwa wake hivyo kujiona anaweza kutupeleka atakavyo, hilo halipo.
Samia ni mjinga naamini kabisa hakusoma ule mkataba, naamini hivyo kwasababu tabia yake ya kuwaagiza watendaji wake "na hili mkalitazame" ndio imetufikisha hapa, au pia aliusoma, lakini kwa upeo wake wa kuunga unga akaona ule mkataba wa hovyo hauna shida, taifa limepata hasara.
"Tukiamua kuandamana, itakuwa bila kikomo kama mkataba wenyewe ulivyo" -Adv. Mwabukusi, nampa cheo cha Rais wa Tanganyika, kuanzia sasa.