Dkt. Slaa ushiriki wako kwenye mjadala wa Bandari unatuharibia

Dkt. Slaa ushiriki wako kwenye mjadala wa Bandari unatuharibia

Nakusalimu kwa jina la UKAWA, itikia "nilikataa ushenga"

Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki kutumika na haohao CCM kufichua kile ulicho kiita mkakati batili wa kushirikisha Lowasa na baadhi ya Maaskofu kwenye harakati za kuiondoa CCM madarakani.

Uliongea kile ulichokiamini na kujiita mtu wa misimamo isiyoyumba (inawezekana ulikuwa sahihi). Baada ya "Kulambishwa asali" na kupewa ubalozi, ulikaa kimya bila kutupambania kwa lolote kwenye harakati za "Jasho na damu" la kuiondoa CCM kwenye utawala.

Kuna watu wanasema tunaokosoa mkataba wa bandari "Tumenunuliwa". Wananchi wengi hawaamini maneno haya, lakini wakikusikia na wewe ni miongoni mwa wanaotetea, wanaanza kuamini. Why?

Your historical background inawafanya waamini (ulituharibia sana wewe na mzee Lipumba). Watu wanasema huenda sasa umeanza kula mihogo, na wakikupatia chai ya maziwa, blueband na mkate utatukimbia tena.

"Watu tulipigwa mabomu, tukapigwa risasi, tukapotezwa na wasiojulikana, tulishuhudia mizoga ya watu kwenye viroba baharini lakini huyu mzee (dr mihogo) alikaa kimya uko ubalozini," alisikika mwanahakati mmoja.

Mzee Slaa, hivi kipindi kile tunateswa na kupotezwa, kuzuiwa kufanya mikutano ya adhara, wewe ulikuwa wapi? Why now? Unaongea na mishipa ya shingo inakuvimba kabisa, au mihogo imeanza kuwa michungu?

Anyways, kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake!
Lissu alipigwa risasi alichosema Slaa ni kuwa Ni jambo la kawaida hata nchi zingine yapo.

Kiukweli kama nikukata tamaa tungeweza kukata tamaa kwa kilw alichotufanyia Dr Slaa.

Hatukuchoka tulisurvuve na tutaendelea kuikataa Ccm wazi wazi
 
Dr Slaa ana chuki za dini tu..
Akiwa Rais Muislam anataka katiba mpya...akija Rais Mkatoliki mwenzie katiba mpya hataki

Hakika umesema kweli kabisa.

Udini wa Wilbroad Slaa na chuki zake hakika zinajionesha wazi wazi.

Hata ukimtizama machoni haijifichi.

Kwanza huo udokta wenyewe autoe wapi WILBROAD SLAA.

Njaa kali sasa, pension Hana na wanawake wamemfilisi Kila alichonacho.

Tazama Ile suti yake kama fuko la mashine ya kukobolea mahindi.
 
Umesahau Magufuli aliposema katiba mpya sio kipaumbele na Dr Slaa akasema sahihi kabisa....
Sasa eti katiba mpya anadai Kwa fujo kabisa...
Na kuna wajinga wanamuona mzalendo..
Slaa na wewe hamna tofauti kabisa
 
Acha ujinga.

Kwenye hili la bandari ataongea kila mwenye mdomo na mapenzi mema na Tanganyika yetu, sio wewe, wal mwingine yeyote, mwenye mamlaka ya kunfunga mdomo yeyote kwenye hili.
Sawa
 
😅😅😅Wengine maokoto wanayo ila kuvaa tu ndio hawajui

Mfuatilie Slaa kipindi akiwa balozi na huyu utanielewa nachokueleza.

Picha SI zipo??fuatilia mwenyewe utaona.

Njaa mbaya Mkuu,watu wapo kazini hapo,Oooh...
 
Nakusalimu kwa jina la UKAWA, itikia "nilikataa ushenga"

Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki kutumika na haohao CCM kufichua kile ulicho kiita mkakati batili wa kushirikisha Lowasa na baadhi ya Maaskofu kwenye harakati za kuiondoa CCM madarakani.

Uliongea kile ulichokiamini na kujiita mtu wa misimamo isiyoyumba (inawezekana ulikuwa sahihi). Baada ya "Kulambishwa asali" na kupewa ubalozi, ulikaa kimya bila kutupambania kwa lolote kwenye harakati za "Jasho na damu" la kuiondoa CCM kwenye utawala.

Kuna watu wanasema tunaokosoa mkataba wa bandari "Tumenunuliwa". Wananchi wengi hawaamini maneno haya, lakini wakikusikia na wewe ni miongoni mwa wanaotetea, wanaanza kuamini. Why?

Your historical background inawafanya waamini (ulituharibia sana wewe na mzee Lipumba). Watu wanasema huenda sasa umeanza kula mihogo, na wakikupatia chai ya maziwa, blueband na mkate utatukimbia tena.

"Watu tulipigwa mabomu, tukapigwa risasi, tukapotezwa na wasiojulikana, tulishuhudia mizoga ya watu kwenye viroba baharini lakini huyu mzee (dr mihogo) alikaa kimya uko ubalozini," alisikika mwanahakati mmoja.

Mzee Slaa, hivi kipindi kile tunateswa na kupotezwa, kuzuiwa kufanya mikutano ya adhara, wewe ulikuwa wapi? Why now? Unaongea na mishipa ya shingo inakuvimba kabisa, au mihogo imeanza kuwa michungu?

Anyways, kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake!
Acha upumbavu
 
🤣🤣🤣 ndomana tunaaswa kufikiri kabla ya kuropoka,Dr slaa aliropoka akasema chadema walikuwa wanamtesa,wanamlisha mihogo na maji kutwa nzima🤣🤣Dokta mihogo
Huu ndo mchango wako kwenye suala la Bandari?

BANGI za Waarabu zimeanza kuharibu machawa
 
Nakusalimu kwa jina la UKAWA, itikia "nilikataa ushenga"

Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki kutumika na haohao CCM kufichua kile ulicho kiita mkakati batili wa kushirikisha Lowasa na baadhi ya Maaskofu kwenye harakati za kuiondoa CCM madarakani.

Uliongea kile ulichokiamini na kujiita mtu wa misimamo isiyoyumba (inawezekana ulikuwa sahihi). Baada ya "Kulambishwa asali" na kupewa ubalozi, ulikaa kimya bila kutupambania kwa lolote kwenye harakati za "Jasho na damu" la kuiondoa CCM kwenye utawala.

Kuna watu wanasema tunaokosoa mkataba wa bandari "Tumenunuliwa". Wananchi wengi hawaamini maneno haya, lakini wakikusikia na wewe ni miongoni mwa wanaotetea, wanaanza kuamini. Why?

Your historical background inawafanya waamini (ulituharibia sana wewe na mzee Lipumba). Watu wanasema huenda sasa umeanza kula mihogo, na wakikupatia chai ya maziwa, blueband na mkate utatukimbia tena.

"Watu tulipigwa mabomu, tukapigwa risasi, tukapotezwa na wasiojulikana, tulishuhudia mizoga ya watu kwenye viroba baharini lakini huyu mzee (dr mihogo) alikaa kimya uko ubalozini," alisikika mwanahakati mmoja.

Mzee Slaa, hivi kipindi kile tunateswa na kupotezwa, kuzuiwa kufanya mikutano ya adhara, wewe ulikuwa wapi? Why now? Unaongea na mishipa ya shingo inakuvimba kabisa, au mihogo imeanza kuwa michungu?

Anyways, kila mbuzi anakula urefu wa Kamba yake!
Slaa ni CCM Daima, ILA .....!
MALIZIA KWA MANENO YAKO!
 
WATU WAMEACHA KUJADILI HOJA WANAJADILI WATU.
.
KITU CHA DUBAI SIO POAH
 
Mkuu tuko kwenye vita vya uchumi! Inapaswa tusahau tofauti zetu,tuunganishe nguvu zetu ili tupambana na adui yetu ambaye ndiye huyo tunayeamini anataka kuuza mali ya wananchi!
Tukishamshinda adui ndiyo turudi kwenye mambo yetu!
Ndivyo siasa zetu za nchi yetu zilivyo,ni mwendo wa kutafuta Opportunity ili mradi maisha yaende!
Kwa hiyo mwachie dk.Slaa awe mmoja wa Makamanda walio mstari wa mbele kuongoza mapambano ya kumfukuza adui.
 
tunataka Tanganyika na hatutaki mkataba wa bandari usitutoe kwenye reli kwa sababu hamuwezi kujibu hoja zake
 
Dr Slaa kwenye hili la bandari yuko sawa. yaliyopita ni historia cha msingi ni ku deal na yaliyopo kwa ajili ya kujenga yajayo.


JESUS SAVES
Tatizo anaweza kuwa chawa kusikiliza na kujua mipango na mikakati halafu akaisaliti kambi!! Kwa kifupi msaliti yeyote huwa haaminiki tena!! Ni kosa kubwa sana kumwamini msaliti!
 
Mkuu tuko kwenye vita vya uchumi! Inapaswa tusahau tofauti zetu,tuunganishe nguvu zetu ili tupambana na adui yetu ambaye ndiye huyo tunayeamini anataka kuuza mali ya wananchi!
Tukishamshinda adui ndiyo turudi kwenye mambo yetu!
Ndivyo siasa zetu za nchi yetu zilivyo,ni mwendo wa kutafuta Opportunity ili mradi maisha yaende!
Kwa hiyo mwachie dk.Slaa awe mmoja wa Makamanda walio mstari wa mbele kuongoza mapambano ya kumfukuza adui.
Tulimwambia maneno kama haya wakati tuna mkaribisha Lowasa, lakini yeye alitukatalia, akajifungia ndani na mke wake wakila mihogo.
Baadae akapewa asali akalamba akatimkia ubalozini.
SIYO WAKUMIAMINI TENA.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndomana tunaaswa kufikiri kabla ya kuropoka,Dr slaa aliropoka akasema chadema walikuwa wanamtesa,wanamlisha mihogo na maji kutwa nzima[emoji1787][emoji1787]Dokta mihogo
Huu uchonganushi wa dalali wa du bei
 
Nakusalimu kwa jina la UKAWA, itikia "nilikataa ushenga"

Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki kutumika na haohao CCM kufichua kile ulicho kiita mkakati batili wa kushirikisha Lowasa na baadhi ya Maaskofu kwenye harakati za kuiondoa CCM madarakani.

Uliongea kile ulichokiamini na kujiita mtu wa misimamo isiyoyumba (inawezekana ulikuwa sahihi). Baada ya "Kulambishwa asali" na kupewa ubalozi, ulikaa kimya bila kutupambania kwa lolote kwenye harakati za "Jasho na damu" la kuiondoa CCM kwenye utawala.

Kuna watu wanasema tunaokosoa mkataba wa bandari "Tumenunuliwa". Wananchi wengi hawaamini maneno haya, lakini wakikusikia na wewe ni miongoni mwa wanaotetea, wanaanza kuamini. Why?

Your historical background inawafanya waamini (ulituharibia sana wewe na mzee Lipumba). Watu wanasema huenda sasa umeanza kula mihogo, na wakikupatia chai ya maziwa, blueband na mkate utatukimbia tena.

"Watu tulipigwa mabomu, tukapigwa risasi, tukapotezwa na wasiojulikana, tulishuhudia mizoga ya watu kwenye viroba baharini lakini huyu mzee (dr mihogo) alikaa kimya uko ubalozini," alisikika mwanahakati mmoja.

Mzee Slaa, hivi kipindi kile tunateswa na kupotezwa, kuzuiwa kufanya mikutano ya adhara, wewe ulikuwa wapi? Why now? Unaongea na mishipa ya shingo inakuvimba kabisa, au mihogo imeanza kuwa michungu?

Anyways, kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake!
Zidi = dhidi, adhara = hadhara. Dhambi ya kumtukana hawara wa Dr Slaa, Bi Josephine Mushumbusi itawatafuna sana CHADEMA. Mtafuteni hawara wa Dr Slaa mumuombe msamaha.
 
Back
Top Bottom