Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Sasa we andamana ukidai unataka kupindua serikali uone.
Watoto wadogo km nyie sheria hamjui na nidhamu pia hamna matokeo yake mnaropoka ovyo tu.
- wewe unajua Nini kuhusu sheria?
-ww mkubwa mbona bado huna Content kichwani?
 
Concept ni kwamba ni kwenye gereza.
Sentencing criminals is not a matter of concepts.
GEREZANI kuna Sehemu mbali mbali. Na haziko sawa sawa kabisa.

Nenda ukatembelee gereza lolote uombe kuonyeshwa Wapi mahabusu na wapi Jela uone tofauti.

Walioko mahabusu wanaomba Mungu kila siku aidha watolewe au wapelekwe jela.

It's hell on earth.
Never ever think for a second It's just simply a "Prison.
 
Kama huez ongea kama hivyo , bas jiite mjing , ni kituko mzee kuwa na ujasiri huo wkt ww kijana umelala
 
- wewe unajua Nini kuhusu sheria?
-ww mkubwa mbona bado huna Content kichwani?
Nimesoma sheria miaka ile tunapigana na Uganda Na sheria ya nchi yangu naijua vizuri sana.
Endelea kunisoma tu pole poel, utakubali tu siku moja kuwa mimi na wewe hatuko sawa kabisa kwenye suala hili.
 
watu weusi tunashida sana..

Hoja zao juu ya mkataba wa dp world zijibiwe kwa hoja sio mabavu na mkono wa chuma. Nchi ni yetu wote, nia yao IPO clear kabisa ni kujaribu kulinda rasilimali za nchi.
Kuna hoja yao imejibiwa? Mkataba wa muda gan?
 
Concept ni GEREZA ambalo linasehemu mbalimbali,
Na kuna Magereza ya mahabusu tu, eg Chumbageni prison -tanga
 
Nimesoma sheria miaka ile tunapigana na Uganda Na sheria ya nchi yangu naijua vizuri sana.
Endelea kunisoma tu pole poel, utakubali tu siku moja kuwa mimi na wewe hatuko sawa kabisa kwenye suala hili.
-Nitajie Sheria specific unayoijua vizuri, nianze kukuuliza maswali
 
The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa

Kwa hii kauli Dr Slaa anaweza kuchezea Kitanzi

Mapinduzi yanafanywa kwenye press conference au interview? Museven na Kabila walipindua serikali kwenye Luninga?
 
Hapo Dr mihogo ametoa hoja kupindua serikali hii hoja inasaidia vipi kwenye suala la bandari.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Serikali haijatimiza wajibu wake wa kuwashirikisha umma , mkatab wa mwaka 2022 feb , ulipovuja kaamua upeleka puta puta , maswali muhimu serikali inakwepa kwa kuzusha story za udini , ukabila na kujib maswali ambayo hayajaulizwa , MKATABA WA MUDA GANI ? WAARABU WASIPOTIMIZA AHADI ZAO WANAPEWA PENALTY ZIPI? (MKATABA WOWOTE HII LZM IWEPO) EBU NISAIDIE KUJIB KAMA ULISIKIA JIBU LA SERIKALI , badala yake serikali imekuwa busy kusema mkataba sio milele wala miaka 100 mara mama anakosolewa kisa mzanzibar mara wakosoaji hawataki uwekezaj , ss serikali ya kihuni hv , unaendeleaj kuifuga?
 
Wewe ni mjinga. Mimi nimeuliza nchi inapinduliwa kwa maneno? Wewe unaniambia niende mtaa wa Kongo niseme kwa sauti nataka kupindua nchi! Sasa nikipatwa na jambo kama kukamatwa ina maana nchi inapinduliwa na maneno?
Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekuvunjia heshima? Hizo bunduki huwa zinajifyatua zenyewe. Kila kitu kinaanzia padogo sana hadi kuwa kubwa. Halafu pia acha kutetea mambo ambayo nje ya JF huwezi hata kuyaongelea. Wewe hapo uso kwa uso na Afande Wambura lazima ujiharishie.
 
Huenda kuna vikosi keshaviandaa huyo Mzee aseme vizuri.
Majeshi yetu yana nidhamu ya hali yajuu hayawezi kumsikiliza huyu Babu aliyechanganyikiwa.
Panya road wapo , ss wanatumia silaha huko mbagala , ila serikali inawafichen , mm shuhuda panya road walikwepo hata kabla ya sekeseke la kawe , ila jeshi linajuwa na lipo kimya , Ila kauli ya slaa wanajifanya wapo makini , UHUNI HUU
 
Sasa si waseme tu kuwa walikua wanaitania serikali isichukulie mambo kwa uzito wake basi yaishe au unaonaje King Kong III ?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app

Wachukuliwe kama wanasiasa wanatema nyongo tu ,hakuna mwenye nia ya kupindua serikali akasema kwenye interview luningani.....Askari/Mahakama wasipoteze muda na resources kudeal na void cases ,kuna watu wamesingiziwa wanasota jela ni bora wajikite kuzifanyia kazi hizo cases kupunguza watu wasio na hatia gerezani.
 
Watafuta mashtaka 2032. Very simple.
 
Hiyo kauli ni zaidi ya uhaini.

Hiyo kauli ilikuwa inahitaji afinywe hapo hapo walipomkuta, kama ilivyotokea huko Utah USA hivi majuzi.
Nasema mbagala huko panya road wanatumia bunduki ss hv , ila serikali ipo kimya kisa anaeumia sio Samia , 2025 wanakuja kutuomba kura
 
Mapinduzi yanafanywa kwenye press conference au interview? Museven na Kabila walipindua serikali kwenye Luninga?
Hiyo mzee kasema mwenyewe kuwa mwisho ni kuipindua Serikali.

Inaweza hata kumaanisha Armed Rebelion au kumpiga risasi Raisi kwa kutumia snipers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…