Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Naona majizi ya sisiemu mnajipongeza

Pumbafu zenu

Suala kama hili sensitive mnaanza kuhubiri amani? Amani wakati watu wana njaa?

Amani haita kuwepo wakati watu wana njaa.

Ondoweni njaa kwa mnaowaongoza ili amani iwepo.
 
Ni siku 100 za kufunga na kuomba mpaka utawala wa samia uanguke,

Wazalendo wa Tanganyika muda huu ni muhimu kwetu tukicheka na nyani tuvuna mabua na huyu mama na ccm yake amedhamiria kutuachia mabua

Wekeni namba ya mpesa au benki account kila mahala tuweze kutoa michango kwa ajili ya kuendesha kesi za mawakili wazalendo zaidi 100 walio jitolea kuwatetea Dr Slaa na wenzake

Walaaniwe wote wanaotaka kuuza bandari zetu wao na familia zao na uzao wao wote ajali,vifo,magonjwa ya kutisha na yawaandame na wasipate furaha hata kidogo kuanzia sasa
 
Naona majizi ya sisiemu mnajipongeza

Pumbafu zenu

Suala kama hili sensitive mnaanza kuhubiri amani? Amani wakati watu wana njaa?

Amani haita kuwepo wakati watu wana njaa.

Ondoweni njaa kwa mnaowaongoza ili amani iwepo.
Njaa Tz ipo tkea Nyerere akamate uraisi , la muhimu watu wasianze kuuwana kama yaliyofanywa na Nyerere Huku Zanzibar na hawa wa baadaye. Tumechoka kumwaga damu
 
Kutoipenda serekali iliyoko madarakani na wapambe wake sio kosa , , kuipindua serekali pia kama haiwajibiki kikamilifu sio kosa.
We ukipatikana lzm uwe mfano.
Watu km nyie kubaka pia sio kosa. Bangi mbaya sana hasa ukivuta wakati huna hela.
 
We ukipatilana lzm uwe mfano.
Watu km nyie kubaka pia sio kosa. Bangi mbaya sana hasa ukivuta wakati huna hela.
Mama ana upiga mwingi hilo liko wazi kwa kila Mtanzania ,so anuwajibikia umma wa Watanzania.
 
Aisee mm am not into Politics ila

AI, Artificial Intelligence ni kitu hatari sanaa.
 
Ni siku 100 za kufunga na kuomba mpaka utawala wa samia uanguke,

Wazalendo wa Tanganyika muda huu ni muhimu kwetu tukicheka na nyani tuvuna mabua na huyu mama na ccm yake amedhamiria kutuachia mabua

Wekeni namba ya mpesa au benki account kila mahala tuweze kutoa michango kwa ajili ya kuendesha kesi za mawakili wazalendo zaidi 100 walio jitolea kuwatetea Dr Slaa na wenzake

Walaaniwe wote wanaotaka kuuza bandari zetu wao na familia zao na uzao wao wote ajali,vifo,magonjwa ya kutisha na yawaandame na wasipate furaha hata kidogo kuanzia sasa
Yaani unaangaika kuwatetea wahuni wa kisiasa kama hakina Dr. Slaa..
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Ataandamana na mkewe
 
Yaani na wewe unaingizwa king na AIGIPI Wambura? Unajua kumpindua Rais ilivyo? Hivi kwa akili yako Mdude, Mwabukusi na Slaa wanaweza kupanga kumpindua Rais hata akiwa nyuma ya huyo Mtu?
Je kama Wana watu nyuma yao? Msituingize Kwenye machafuko, mabadiliko ya kisiasa yafanyike Kwenye kura
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Sasa kama hamjui wako nyuma ya nani kwanini mmewakamata kinyume na sheria?
 
Back
Top Bottom