Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Swali WANAWEZA KUFANYA NINI sio sawa na MTU KUSEMA TUIPINDUE NCHI. Na suggestions hata siku Moja sio uhaini, ila uhaini ni kitendo kabisa Cha kupanga au kujaribu kuiondoa serikali iliyowekwa kikatiba.

Sasa Slaa ku suggest options walizonazo wananchi (Sio Yeye) anakuaje mhaini.
Sasa kama ka suggests options si ndio anatoa muongozo hivo au..
 
Hawa watu wanatakiwa wakamatwe haraka na kuhukumiwa kwa speed kubwa ya hatari.
Wametumwa kuleta machafuko nchini.
Wazungu wameshawanunua kuja kumwaga damu hapa
Huyo Mzee yeye atakimbilia Karatu halafu Nairobi na kwenda Canada sisi akina yakhe tukimbilie wapi.

Wazibinye korodani zake vizuri aseme wako na nani na huo Mzinga wameuficha wapi?
 
Ku suggest wananchi wanaweza pindua serikali ndio sawa na kusema NITAIPINDUA serikali au TUIPINDUE serikali? Then kupindua serikali sio maneno ni vitendo. Kesi yake hapo ni uchochezi Wala sio uhaini ni kupotezea watu muda tu.

Samia alianza vizuri ila akiendekeza huu upuuzi wa JPM atavuna alichopanda sio muda mrefu maana Hana ushawishi Wala political base so kuwa eliminated is easier than his predecessor.
I will trade carefully of I was you bro.
All CHADEMA wants is war and blood spills.
Sisi watanzania upuuzi huo hatutaki. Anzeni kusafisha uchafu ulioko huko kwanza CHADEMA mkisha kamilika huenda wananchi wakawakubali. Sio kutuletea Fitna ya kutaka tuuwane km wakenya hapa Tanzania
 
Ni muda mrefu sana CHADEMA inatafuta njia ya kumwaga Damu hapa nchini.
Wako Karibu sana na wazungu. Na wameahidiwa mambo mengi sana pale watakapo shika madaraka .
Mimi ushauri wangu hicho chama cha CHADEMA kifungiwe na kufutwa kabisa.
Na mzungu akija kuuliza aambiwe " Mind ur own fu...cn business pig.!"
 
I will trade carefully of I was you bro.
All CHADEMA wants is war and blood spills.
Sisi watanzania upuuzi huo hatutaki. Anzeni kusafisha uchafu ulioko huko kwanza CHADEMA mkisha kamilika huenda wananchi wakawakubali. Sio kutuletea Fitna ya kutaka tuuwane km wakenya hapa Tanzania
Blood spill ni kukosoa serikali Tena kwenye interview sio mikutano Wala barabarani? Hivi ingekua maandamano kama ya Odinga mngesemaje? Embu acheni kukuza mambo Chadema walitaka maridhiano ila CCM ndio mmechagua violence na udikteta kisa kukosolewa.

What's so hard, si muweke dialogue mjadili and mfikie common ground hata kama ni politically tu. JK alikua Rais fisadi kuliko wote ila haya mambo alifanikiwa ku manage bila kumwaga damu zisizo kuwa na lazima.

Nyie endeleeni kumjaza tu, tuliom support tulikua wengi ikiwemo Mimi hata my avatar nimemweka yeye. Ila hii path aliyochagua itakuja mcost sio muda mrefu and no one will shed a tear for her.
 
Na wameahidiwa mambo mengi sana pale watakapo shika madaraka .
Propaganda kutoka kwa mwanazuoni kama wewe sums up aina ya Rais tuliyenaye!!

Kwamba CHADEMA imeahidi wazungu? Iwaahidi Nini wakati Kila kti mmeshawauzia? Gesi ya Mtwara tumeambulia 10% pekee, Bandari ndio kabisa tutabakia na statutory 16%, bado migodi ndio kama hivyo tuna 16% zile za kisheria tu na mrabaha wa 6% alone!! Hivi kipi kimebaki nchi hii hakijauzwa kupitia CCM Hadi hao wazungu waisubiri CHADEMA?
 
Propaganda kutoka kwa mwanazuoni kama wewe sums up aina ya Rais tuliyenaye!!

Kwamba CHADEMA imeahidi wazungu? Iwaahidi Nini wakati Kila kti mmeshawauzia? Gesi ya Mtwara tumeambulia 10% pekee, Bandari ndio kabisa tutabakia na statutory 16%, bado migodi ndio kama hivyo tuna 16% zile za kisheria tu na mrabaha wa 6% alone!! Hivi kipi kimebaki nchi hii hakijauzwa kupitia CCM Hadi hao wazungu waisubiri CHADEMA?
Mimi sio CCM. na Naapa kwa Mungu hicho chama kimeniathiri mimi binafsi kiasi kikubwa sana. Nimepanga foleni ya unga wa FARASI wakati ule wa Fujo ya Tanzania na Kagera (manake ile siwezi kuiita vita).
Ccm imenitesa sana mimi na wazee wangu since imepata madaraka.

Hapa naongelea sera zitakazo sababisha umwagaji damu.

Kitu kikubwa CCM walichofanikiwa mpk leo ni to put people in check.
For using all means necessary.
CHADEMA wanataka tufe fasta ili wananchi wachache watakaobaki wale bata.
That's impossible bro.

Mimi sio mtu wa siasa wala siwezi kuwa mtu wa chama flani.
Quraan ndio katiba yangu. Na Muhammad swalalahu alaihi wasallam ndio kiongozi wangu.
 
Wameshaanza huku mitandaoni wanalialia ooh mama ulianza vizuri oh mama usiingie kwenye huu mtego sasa unajiuliza hawa watu hawajiulizi kwanini Rais anabadilika?
Mimi ni Mwana CHADEMA damu lakini Mapinduzi na hatimae kumuua huyu Mama aliyeleta Maridhiano na siasa za Kistaarabu nasema NO.

Mimi ni muumini wa AMANI UPENDO na UTULIVU

AMANI na UTAIFA kwanza Vyama baadae

Na uongo mbaya nampenda Raisi wangu
 
Propaganda kutoka kwa mwanazuoni kama wewe sums up aina ya Rais tuliyenaye!!

Kwamba CHADEMA imeahidi wazungu? Iwaahidi Nini wakati Kila kti mmeshawauzia? Gesi ya Mtwara tumeambulia 10% pekee, Bandari ndio kabisa tutabakia na statutory 16%, bado migodi ndio kama hivyo tuna 16% zile za kisheria tu na mrabaha wa 6% alone!! Hivi kipi kimebaki nchi hii hakijauzwa kupitia CCM Hadi hao wazungu waisubiri CHADEMA?
Tondu lissu alikuwa wapi siku zate km sio kwa wazungu?
Na nani anaemsapoti Lissu na kashfa zake km sio wazungu?
Sasa we unadhani hao wazungu shemeji zake Lissu mpk wampe sapoti bure?

Sisi watanzania kuwa maskini sio tatizo.
Tumezaliwa maskini na most likely tutakufa maskini.
Kwa muislamu yyt hilo sio tatizo kabisa manake maisha haya tunapita tu km wasafiri.

CHADEMA wanataka kuwadanganya watanzania kuwa wakishika wao nchi basi kila machinga atakula kuku kila siku. Na kila mama ntilie atakuwa na hotel yake ya kuuza mbogamboga.

That's all fake promises.

Rizki anapanga Mungu.

CHADEMA Wanata kifanyike chochote hata km kuna mauwaji ili wapate kushika madaraka.

Hatuwezi kuongozwa na mtu wa kasikazini kaka. Hao jamaa kwa pesa wako tayari kuua. Ispokuwa wachache ambao Mungu amewaongoza.
Na ktk hao wachache Mbowe hayumo.
 
Halafu ukiona mzazi kampa mwanae jina la ajabu ujue huyo mtoto ni laana tupu.
We wapi umeshawahi kusikia muungwana yyt anaitwa MWABUKUSI?
 
Unawaita Magaidi wa kiarabu kwa kuwa umemezeshwa hayo maneno kwenye Parokia yenu,mnaupinga mkataba kwa sababu za kidini badala ya kutumia akili kufanya reasoning
Ina maana wangekuwa ni wazungu kutoka eg Vatican basi ngingepiga makofi na kusema mkataba ni mzuri? Big NO. Nakuhakikishia mimi siyo nanga namna hiyo. Hata hawa waislam wanaotetea na kufananisha huu mkataba na MOA ya kanisa na serikali nawashangaa sana.
 
Miaka yote wao hutazama ikulu yupo nani, kisha hata afanye kosa gani wao watamlinda kwa kila njia, hasa inapotokea wanaompinga aliyepo ikulu, ni wa dini tofauti nao, tena mbaya zaidi mfano akiwa mtu wa aina ya Dr. Slaa, aliyekwahi kuwa padri ndio watahakikisha wanajaza kila aina ya uongo kujiridhisha.

 
Back
Top Bottom