Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Maalim kama wewe unapotosha? Wapi kwenye interview aliulizwa EXTREME MEASURES? Aliulizwa HATUA GANI WANANCHI WANAWEZA TUMIA? Ndio akasema KUNA (means suggestions) HATUA EXTREME kama KUPINDUA serikali.

Sasa wapi hayo maneno unayo quote humo kwenye hiyo kivideo Cha sekunde 9 yamewekwa?

Ni ajabu sana Mwanazuoni kama wewe mwenye heshima kubwa humu JF Kuongea maneno ya uongo. Mbaya zaidi umekuja kwa gia ya udini maana enzi za JPM ulikimbia JF.
Clip ninayo na nimeiweka humu zaidi ya mara moja as evidence.
Sasa vipi nidanganye wakati mimi mwenyewe nimeweka hio clip humu ndugu?
Hebu sikiliza vizuri hio clip
 
Slaa alikua anavutiwa muda tu, asifikiri kupewa ubalozi ndio alisha samehewa, serikali haisau hata siku moja, siku na siku watayakumbuka yote na watakushikisha adabu.
 
sasa ndugui hata ungekuwa boya kiasi gani au uwe hunan akili kiasi gani kweli hapo wameongelea bandari? wao wameongelea kupindua nserilaki muwe mnasoma na kuelewa basi msikulupuke tu hao ni wahaini sasa ulitaka wajibiwe nini kuhusu kupindua serikali zaidi ya kukamatwa wakaeleze wametumwa na nani

ipo clip wanayosema hivyo?
Kama ipo, basi linaweza liwe ni kosa kwa mujibu wa sheria, kwamba wamevunja sheria.

Ishu ipo clear, kama wameyasema hayo ni katika mwendelezo wao wa kupinga ubovu wa mkataba. Swali ni kwamba, wale waliovunja katiba kulingana na huo mkataba, wao wamechukuliwa hatua ipi? Polisi wapo wapi wa kuwakamata waliosaini mkataba mbovu uliovunja katiba? A sheria zetu tunaangalia nani kuvunja sheria ndio achukuliwe hatua na nani kavunja ndiyo aachwe?

Kama wametamka hivyo kweli, sheria inakata wao kutenda hilo kosa la uhaini la kumpindua rais ndiyo iiwe kosa, au sheria inasema hata kutamka? Maana kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti. Serikali ina vyombo vyote vya kumlinda rais, imejihakikishia hatua zipi za uhaini zimefanyika ili kuthibitisha nia ya hao jamaa.

Wewe unayetaka kila mtu aadhibiwe, mara nyingi kama unanafasi mahali ya kikazi, upo kwa kubebwa sio kwa uwezo wako.
 
Clip ninayo na nimeiweka humu zaidi ya mara moja as evidence.
Sasa vipi nidanganye wakati mimi mwenyewe nimeweka hio clip humu ndugu?
Hebu sikiliza vizuri hio clip
achana nae huyo, ukisha ona mtu analeta udini kwenye constructive argument basi ujue akili ni finyu
 
rais aliwaachia hili swala la bandari bunge , walio kuwa hawakupendezewa wakalipeleka mahakamani, na huko pia mahakama ikatoa baraka zake. Sasa hapa Samia ana kosa gani? Mbona wakati wa magufuli mlikuwa mnapelekwa kama mbuzi na hakuna alie weza kufumbua mdomo? Ulikua woga?
 
Huenda kuna vikosi keshaviandaa huyo Mzee aseme vizuri.
Majeshi yetu yana nidhamu ya hali yajuu hayawezi kumsikiliza huyu Babu aliyechanganyikiwa.
Kuna majeshi ya Kanisa,inaamana hujui kama Kanisa lipo nyuma ya huu Mpango?
 
ipo clip wanayosema hivyo?
Kama ipo, basi linaweza liwe ni kosa kwa mujibu wa sheria, kwamba wamevunja sheria.

Ishu ipo clear, kama wameyasema hayo ni katika mwendelezo wao wa kupinga ubovu wa mkataba. Swali ni kwamba, wale waliovunja katiba kulingana na huo mkataba, wao wamechukuliwa hatua ipi? Polisi wapo wapi wa kuwakamata waliosaini mkataba mbovu uliovunja katiba? A sheria zetu tunaangalia nani kuvunja sheria ndio achukuliwe hatua na nani kavunja ndiyo aachwe?

Kama wametamka hivyo kweli, sheria inakata wao kutenda hilo kosa la uhaini la kumpindua rais ndiyo iiwe kosa, au sheria inasema hata kutamka? Maana kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti. Serikali ina vyombo vyote vya kumlinda rais, imejihakikishia hatua zipi za uhaini zimefanyika ili kuthibitisha nia ya hao jamaa.

Wewe unayetaka kila mtu aadhibiwe, mara nyingi kama unanafasi mahali ya kikazi, upo kwa kubebwa sio kwa uwezo wako.
Mahakama imesema wapi kuwa Katiba imevunjwa!
 
Ile aliyofanya wakati wanatoa tamko la Samia kukabidhi sovereignty yetu kwa magaidi wa kiarabu. Itafute Youtube.
Unawaita Magaidi wa kiarabu kwa kuwa umemezeshwa hayo maneno kwenye Parokia yenu,mnaupinga mkataba kwa sababu za kidini badala ya kutumia akili kufanya reasoning
 
Tusipinge kwa vile tunaichukia CCM. Kama ni watu tunaopenda ukweli tusimamie ukweli.

Kauli walizozitoa kwa serikali iliyo madarakani iwe tunaipenda au laa ni kauli za kiuchochezi! Hatukatai kuna changamoto kwenye mkataba lakini kauli walizozitoa ni za gharama sana!

Vipi kama Chadema ingelishika madaraka halafu mwana CCM atamka maneno hayo serikali iliyomo madarakani ingelichukua hatua gani?
Usiseme chadema kushika madaraka.
Chadema waligunfua tu kuwa Zitto kabwe anakusudia kuchukua cheo cha Mbowe,wakatumwa vijana wa chadema,wakapata waraka wa Kitila mkumbo ,Mwigamba na Zitto,ule waraka ukatumika kama ushahidi kuwafukuza kwenye chama.

Kama wangekuwa na dola wangewanyonga
Hakuna anaependa kupoteza power yake kizembe
 
Tusipinge kwa vile tunaichukia CCM. Kama ni watu tunaopenda ukweli tusimamie ukweli.

Kauli walizozitoa kwa serikali iliyo madarakani iwe tunaipenda au laa ni kauli za kiuchochezi! Hatukatai kuna changamoto kwenye mkataba lakini kauli walizozitoa ni za gharama sana!

Vipi kama Chadema ingelishika madaraka halafu mwana CCM atamka maneno hayo serikali iliyomo madarakani ingelichukua hatua gani?
Usiseme chadema kushika madaraka.
Chadema waligunfua tu kuwa Zitto kabwe anakusudia kuchukua cheo cha Mbowe,wakatumwa vijana wa chadema,wakapata waraka wa Kitila mkumbo ,Mwigamba na Zitto,ule waraka ukatumika kama ushahidi kuwafukuza kwenye chama.

Kama wangekuwa na dola wangewanyonga
Hakuna anaependa kupoteza power yake kizembe
 
Wapo Nyuma ya Wananchi Mzee Baba. Unajua SERIKALI Haijui na wala haitajua kama itaendelea na Tabia ya kufosi mambo Badala ya Kutoa Ufafanuzi unao eleweka kwa Wananchi Wake.

Sio kwamba Watanzania hawataki wawekezaji Bali kinachotakiwa ni Ufafanuzi Mzuri na Uwazi wa SERIKALI kwa wananchi Ambao ndio Mabosi wa SERIKALI.

Badala ya SERIKALI kupambana na wakosoaji wa tuletee wataalam watuelimishe na kufafanua baadhi ya vipengele tata kwenye Mikataba siotu wa Bandari na Mengineyo.

SERIKALI ikiendelea kutokujibu hoja kwa Fact basi wakosoaji na wapotoshaji wapata credit sana kwa mabosi wao Ambao ni Wananchi.

Wananchi wamekua macho sana na Rathilimali zao na hii ni kutokana na Mzee Magufuli Huyu Bwana Alitufungua Macho wengi sana kwamba nchi yetu Inaweza kuendelea kwa kuzitumia Vizuri Rathilimali zetu.
 
Unawaita Magaidi wa kiarabu kwa kuwa umemezeshwa hayo maneno kwenye Parokia yenu,mnaupinga mkataba kwa sababu za kidini badala ya kutumia akili kufanya reasoning

..udini ni kama hoja imezungumzwa Kanisani, na maandiko yametumika kushawishi.

..pia kiongozi wa dini huko Kanisani awahamasishe waumini ktk umoja wao kuupinga mkataba wa Dp.

..lakini kama kiongozi wa dini awe Askofu, Mchungaji, Padri, amezungumzia suala la bandari ktk majukwaa ya kisiasa, na hakushawishi kwa kutumia maandiko, sio sahihi kumtuhumu ameleta udini.

..kwa upande mwingine, kuna utamaduni wa muda mrefu wa wanasiasa na viongozi wa serikali kuchangamana na viongozi wa dini. Jana Rais SSH alihudhuria shughuli ya Kanisa la Anglikani.
 
Clip ninayo na nimeiweka humu zaidi ya mara moja as evidence.
Sasa vipi nidanganye wakati mimi mwenyewe nimeweka hio clip humu ndugu?
Hebu sikiliza vizuri hio clip
Ku suggest wananchi wanaweza pindua serikali ndio sawa na kusema NITAIPINDUA serikali au TUIPINDUE serikali? Then kupindua serikali sio maneno ni vitendo. Kesi yake hapo ni uchochezi Wala sio uhaini ni kupotezea watu muda tu.

Samia alianza vizuri ila akiendekeza huu upuuzi wa JPM atavuna alichopanda sio muda mrefu maana Hana ushawishi Wala political base so kuwa eliminated is easier than his predecessor.
 
Ku suggest wananchi wanaweza pindua serikali ndio sawa na kusema NITAIPINDUA serikali au TUIPINDUE serikali? Then kupindua serikali sio maneno ni vitendo. Kesi yake hapo ni uchochezi Wala sio uhaini ni kupotezea watu muda tu.

Samia alianza vizuri ila akiendekeza huu upuuzi wa JPM atavuna alichopanda sio muda mrefu maana Hana ushawishi Wala political base so kuwa eliminated is easier than his predecessor.
Bro labda hujui sheria inasema nini kuhusu Suala la UHAINI.
Hilo kosa la uhaini huwa linafanyika kabla ya tendo kutokea. Makosa mengine yote huwezi kuhukumiwa kabla ya kutenda ispokuwa kosa la UHAINI.

Huo unaoita uchochezi wa Uhaini tayari ni Kosa 100% la UHAINI.

Soma hapa Sheria ya Tanzania inasema nini maana ya UHAINI.
 

Attachments

  • IMG-20230815-WA0003.jpg
    IMG-20230815-WA0003.jpg
    74.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom